Suchack
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,290
- 4,623
Jf kila mtu maisha safi [emoji3][emoji3][emoji2960]View attachment 1504674hongera sie hata airport tunaishia kuziona kwenye TV tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf kila mtu maisha safi [emoji3][emoji3][emoji2960]View attachment 1504674hongera sie hata airport tunaishia kuziona kwenye TV tuu
kwan bro ulishawah kujaza choo peke ako? ndugu askupasue kchwa ukajkuta umeenda kutesa nafsi yako bure Anasemwa Ngurue na din nzima na bado ananenepa sembuse ww na ndugu hawazd ata 20Muda mwingine inakubidi , kukaa pembeni , maana wanadamu wanaokuzunguka ni shida bin taabani , mim naona uzi huu ni mzuri sana , maana una akisi uhalisia wa maisha kabisa , tena bila chenga . Inafikia hatua unaambiwa ww una jaza choo , tu unakuwa mweupe tu , na maneno mengineyo yanayoweza kuku haribu ki fikra kabisa , binafsi mimi baada ya kuona uzi huu nkaona kumbe nikiondoka hapa napokaa itakuwa vyema sana .
WazimaWajukuu wanaendeleaje?
acha uboya wewe dogo! yani unamkuta mtu jf haumjui unaanza kumpangia maisha?! mbona kuna process za ku ignore mtu kama hutaki kusoma msg zakeHuyo mtu mie ashanishindaga tabia aisee yan ye kila kitu yupo alafu full kujimwambafai au kujilegeza
Hivi wanakutaka nini hao wendavichaa!!??Pambania umaskini wako...farasi wewe!..nijilegeze kwa kipi..konyo we...ninaandika coz hakuna anayelipia pumzi yangu..hutaki niignore! Mxiew
Msenger sana wewe..Huyo mtu mie ashanishindaga tabia aisee yan ye kila kitu yupo alafu full kujimwambafai au kujilegeza
Una miaka mingap tangu uondokeSijawakimbia...nimekaa mbali na wao kuepusha migogoro zaidi kwani niliishi nao pamoja na yaliyonikuta Mungu ndio anajua.
Msweetie amelala subiri akiamka atakuja,Hivi wanakutaka nini hao wendavichaa!!??
Mbona sijawahi ona ukimkera mtu.
Hii ni mara ya pili.. Last two weeks kuna raia tena zilikuletea wenge.
Usiwajibu. 😘
Labda niwaombe waniignore...yaani wanataka nisiandike... Sijui wanasumbuka na nn na mm..Maana nikiandika naonekana najua kila kitu .tumepishana kuanzia malezi na makuzi ..jamani niignore uwe na amani na jf!💕💕! Naandika nikimaanisha.. siandiki mradi nimeiandika iweje kwanzaHivi wanakutaka nini hao wendavichaa!!??
Mbona sijawahi ona ukimkera mtu.
Hii ni mara ya pili.. Last two weeks kuna raia tena zilikuletea wenge.
Usiwajibu. 😘
Huyu chanzo Cha kunichukia Kuna Uzi mtu alisema hawez kula mihogo..acha uboya wewe dogo! yani unamkuta mtu jf haumjui unaanza kumpangia maisha?! mbona kuna process za ku ignore mtu kama hutaki kusoma msg zake
.... yap! Hauko mbali na ukweli. Silent Inn na Igongwe palimaliza wasomi wetu.Mkuu hii ni kijitonyama au nachanganya madesa[emoji23]
Huyu prof nitakuwa namjua kbc,na ile nyumba alimuachia yule mwanamke.... yap! Hauko mbali na ukweli. Silent Inn na Igongwe palimaliza wasomi wetu.
Napambana Sana Sasa hivi nilitimize hiliNjia nzuri kabisa ya kuepusha mtoto wako wa kike kunyanyaswa ni kumsomesha apate elimu nzuri. Na ikiwezekana apate exposure ya kutembelea au kukaa nchi nyingine zilizoendelea.
Kweli ngumu kumeza labda kama mama aliachwa na umri wa miaka14-16.Hii habari yako ni questionable! Mjombake mama aliondoka 1980's mama akiwa mdogo akaja kurudishwa 2000's wewe umshamaliza sekondari. Hebu eleza vizuri.
Wapuuzi hao Mie wife kanizalia mabinti tu sioni sababu ya kumnyanyasa tena tayari yupo Menopause.😆😆😆😆😆 maza mtoto wa kwanza had 3 was girls ..baba akamwambia sijakuona uzae mademu nenda kwanza kwenu😆😆! Aliporudi ndo tukapatikana sisi .hahaha..mie men wa hivyo mbona namchinja usk
Duhh hahaaMe mwenyewe ninampango nisepe nisijulikane nilipo maana nina ndugu. SIONI IMPACT YAO KABISAAAA
SadInauma Sana. Hata sisi shangazi yetu alijifungua mwaka 1963! Naskia akawa anatoka kinyesi. Jamii ikamtenga, akaona isiwe kesi. Ndo hii sasa tunaita "fistula!
Tunajiulizaga sijui alipona au alikufa! Aliondoka na mwanaye[emoji24][emoji24]
Hahaha huyo amekuwa mzimu ??Htr sn hii......ni Mambo ambayo yapo sn kwenye jamii zetu......
Nina baba yangu mkubwa yuko hivohivo hua anaonekana kila baada ya miaka 4 alafu anapotea tena
Hata mimi wame nikumbusha mbali sanaMmenikumbusha!