Miaka 76 iliyopita (mwaka 1947), hakukuwa na nchi inayoitwa Israel

Pole sana kiongozi, umejitahidi kuelezea unachofahamu na kuanzia pale unapopafahamu.
Taifa la Israel halijaanzia mwaka huo, na mwaka huo ni mwaka wa liliponyanyuka tena na kupata nguvu mpya.

Mimi sipo upande wowote lakini jaidahamu vizuri historia ya mataifa yote mawili nadhani nitaandaa andiko reeefu bukisoma utaelewa zaidi. FATILIA POST ZANGU MAANA SOON NITAPOST
 

Wewe unaonyesha wazi kabisa upo upande wa makafiri wa kiyahudi waliolaaniwa, hilo lipo wazi. Nchi nyingi wanasapoti palestina, huku Tanzania wengi wenu imani hamuna mpo upande wa makafiri wa kiyahudi, huruma hamuna, tena mnavyoona wanauliwa watoto, wazee na wajane ndio furaha kwenu enyi manaswara

Kama waspain wanaunga mkono wapalestina, wewe kama nani ushindwe kuwaunga!! Sema tu chuki dhidi ya waarabu na Uisilamu kwa ujumla zimewaja, ipo kwenye damu/vifua vyenu


الحمد الله: إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.

الحمد الله: وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 

Uisilamu ni dini ya Mwenyezi Mungu,
Lugha ya kiarabu ndio the best language kuliko yoyote ile, kwakua wewe ni mpagani huwezi elewa hili
 

Jitahidi kuusoma uislamu upate kujua, otherwise utaishia kuongea vitu usivyovijua
 
Wapalestina Walinyang'anya ardhi ya waisrael miaka 700 iliyopita na kuwafanya waisrael wawe wakimbizi europe unalijua hilo?
 
Jitahidi kuusoma uislamu upate kujua, otherwise utaishia kuongea vitu usivyovijua
Ipo wazi kihistoria uislamu ni dini ya kiarabu na inafuata tamaduni za waarabu wa kale kwa kuabudu nyota na mwezi na mungu wao allah kama kweli yupo kutokana na mapokeo ya adithi za kale za miungu ya kiarabu, ni mungu wa kiarabu tu na hajui lugha nyingine zaidi ya kiarabu.
NB:NIMESOMA SAIKOLOJIA YA DINI YA KIISLAMU NA WAUMINI WAKE.
KWANZA NI DINI ISIYOKUA NA UWAZI NDANI YAKE NA WAUMINI WAKE HAWAWEZI KUHOJI.
PIA NI DINI INAYOPROMOTE UTAMADUNI WA KIARABU PEKEE.
PIA NI DINI YA KIBAGUZI KWA KUWABAGUA BINADAMU WENGINE WENYE DINI TOFAUTI.
NB: NA KITENDO CHA KUITA WAYAHUDI KUA MAYAHUDI NA WAZUNGU KUA MAZUNGU NA WAHINDI KUA MAHINDI NA WASWAHILI KUA MASWAHILI NA WABANTU KUA MABANTU NA WAKURDI KUA MAKURDI.
KIMENIFANYA NIWAONE WANAZUONI WA KIISLAMU KUA NI WADHAIFU WA FIKRA NA WABAGUZI
 
Uisilamu ni dini ya Mwenyezi Mungu,
Lugha ya kiarabu ndio the best language kuliko yoyote ile, kwakua wewe ni mpagani huwezi elewa hili
Upo sahii kwa mwenyezi mungu wa waarabu na wafuasi wa uislamu ila sio kwa wayahudi na wakrsto.
Na kiarabu sio lugha bora duniani bali ni lugha ya watu wa jamii za kiarabu.
LUGHA BORA DUNIANI NI KINGEREZA NA KIHISPANIOLA NA KIFARANSA AMBAZO ZINAZUNGUMZWA NA KILA MTU DUNIANI MPAKA HAO WAARABU NA WABANTU PIA KAMA WEWE.
NB: NIKIENDA ZAMBIA NITAZUNGUMZA NA NANI KIARABU AU NIKIENDA CHINA NITAZUNGUMZA NA NANI KIARABU.
BALI KINGEREZA AU KIFARANSA AU KIHISPANIOLA NITAZUNGUMZA HIZO LUGHA DUNIA NZIMA.
 
Uisilamu ni dini ya Mwenyezi Mungu,
Lugha ya kiarabu ndio the best language kuliko yoyote ile, kwakua wewe ni mpagani huwezi elewa hili
Wakoloni wa kiarabu ndio walikudanganya kua dini za babu zako ni upagani na wakakukaririsha dini za babu zao na wewe kwa ufinyu wa mawazo ukawaamini.
WAAFRIKA NYINYI NI MASKINI WA AKILI SABABU YA UKOLONI WA WAARABU NA WAZUNGU.
 
FACT,S
 
Uisilamu ni dini ya Mwenyezi Mungu,
Lugha ya kiarabu ndio the best language kuliko yoyote ile, kwakua wewe ni mpagani huwezi elewa hili
Kila dini mkuu ina mungu wake na waafrika na wayahudi na wakrsto na wabudha na wahindu na watao and ect....,!!!
Hawamtambui huyo allah na sio mungu kwao.
NB: PUNGUZA USHABIKI BALI FUATILIA HISTORIA YA WATU WANAOISHI KATIKA HII DUNIA
 

Ni vizuri ungetuonyesha clip ikiwaonyesha kikundi cha kutetea haki/Hamas wakiuwa watoto, kuhusu israel tunaona wayafanyayo, sasa tuonyeshe ya hamas kama wewe ni kidume
 
Ni vizuri ungetuonyesha clip ikiwaonyesha kikundi cha kutetea haki/Hamas wakiuwa watoto, kuhusu israel tunaona wayafanyayo, sasa tuonyeshe ya hamas kama wewe ni kidume
Mkuu acha propanganda,,,kwani zile roketi wanazorusha zinachagua pa kutua.Au yale mabomu ya kujitoa muhanga na zile risasi wanapowavamia wayahudi zinachagua pa kwenda.
Mkuu tatizo lako ni imani yako inakupeleka mpaka kutetea mapungufu ya waarabu.Kua katikati bila kuegemea upande wowote afu zungumza.
NB: MAMBO YA KUULIZANA WEWE NI KIDUME AU WANAFANYA NA KUSEMA WATU WASIO NA ELIMU AU TAALUMA YA UHANDISHI WA HABARI.
MIMI NISHAVUKA HUKO NAONGEA UKWELI SIEGEMEI UPANDE WOWOTE..
TATIZO WEWE UNACHANGANYA DINI NA MIGOGORO YA KISIASA,SASA LAZIMA UTAEGEMEA UPANDE MMOJA NA HUO SIO WELEDI WA KUWASILISHA HOJA.
Na nimekujibu hoja za msingi kabisa huko juu ila umekwwpa kuzijadili,nadhani wewe sio mwanataaluma ya uandishi wa habari na matukio ya wanadamu.
 
Tatizo lenu nyinyi Waislam ni kukaririshwa na kusema Uongo kwenu ili kutetea Agenda zenu za Kishetani Wala hamuoni shida.
Kweli hakukuwa na Taifa la Israel kipindi Cha kati baadae ya Roma kuiharibu Hekalu la Daudi 70 AD mpaka 1947. Lakini vile vile hakukuwa na Taifa la Palestine.
UN mwaka 1947 ndiyo ilipitisha Azimio la kuunda Jewish state na Arab state na Jerusalem liwe Jiji la MATAIFA yote Duniani kama ilivyo New York. Waarabu walikataa wakati waisrael waliukubali na ikawa Mwanzo wa vita na hatimaye waisrael wakaunda Israel state.
Pia unaposema Jerusalem ndipo ati Ibrahim alitaka kumtoa Mwanae sadaka, na ndipo Allah akampa Kondoo, huo ni Uongo wa mchana kweupe na hauni aibu kusema; wenzio Waislam wanasema ni Macca. Na maandiko ya kiebrania Wala hayahusishi Jerusalem na Ibrahim. MUONGO NA WENZIO ATI WANA LIKE 😂
Nikwambie kitu kwenye hilo suala la Hamas, agenda zenu za kijahidina zimeamikwa wazi. Na mtashangaa this time Waislam wenzenu wa Egypt Saudia, UAE na Jordan ndiyo wataongoza kutekeleza Azimio la UN la mwaka 1947. Hizo Aya zenu za Kishetani za chuki kwa waisrael na Wakiristo mtazitapika. Hamtoboi sana sana mtaongeza Kasi ya kujilipua na hamtafanikiwa kitawala Duniani
 
Kuna kitu nimejifunza hapa kumbe wapalestina walitawaliwa na waingereza ndio maana wanaongea kingereza kizuri nimeona hadi watoto wengine wana British accent kabisa
 
Ingekua sio ngozi nyeupe kutokomeza kizazi cha watu weusi na kugawa maeneo hadi Middle East yote ingekua ya watu weusi tu (Africa)
 
Ni lini utaamka ewe muafrika na ukajua thamani yako kuliko kuhusudu za watu rudia asili yako rudia ulikotoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…