Miaka 76 iliyopita (mwaka 1947), hakukuwa na nchi inayoitwa Israel


Nani kakwepa kujibu maswali yako! Na Swali gani la msingi ulilouliza na halijajibiwa!! Tatizo wakristo wengi wenu mpo upande wa madhaalim, mnatetea maovu, mnatetea mafisadi, watu wanatetea ardhi/haki yao nyie mnakuja kuunga mkono uovu wao, kweli!!!! Qur’an haijaacha kitu, na haya yote mnayoyafanya dhidi ya Uisilamu na waislamu kwa ujumla tayari yameshasemwa kaitka Qur’an.


يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا الْيَهُودَ وَالنَّصَارَىٰ أَوْلِيَاءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ وَمَنْ يَتَوَلَّهُمْ مِنْكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ اللَّهَ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ
Al-ma'idah 51 (The table spread with food)
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.


الحمد الله: إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا سَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنْذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنْذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ
2:6 Al-Baqarah
Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.

خَتَمَ اللَّهُ عَلَىٰ قُلُوبِهِمْ وَعَلَىٰ سَمْعِهِمْ ۖ وَعَلَىٰ أَبْصَارِهِمْ غِشَاوَةٌ ۖ وَلَهُمْ عَذَابٌ عَظِيمٌ
2:7 Al-Baqarah
Mwenyezi Mungu amepiga muhuri juu ya nyoyo zao na juu ya masikio yao, na juu ya macho yao pana kifuniko. Basi watapata adhabu kubwa.

الحمد الله: وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
Hakuna mnachokijua, bendera fuata upepo, ni vile wote hamuna dini kwa maana ni wapagani mtateteana kwa nguvu zote

Ukristo ni upagani
Uyahudi ni upagani

Uisilamu pekee ndio dini ya Mwenyezi Mungu
Mtumwa wa akili wewe, hizo zote ni Dini za kuletewa. Waliokuletea huo uislam ndo waliokuaminisha hivyo lakini huna uhakika na lolote zaidi ya kumezeshwa hiyo imani unless labda kama wewe ni mwarabu.
 
Usisahau hakujawah kuwa na nchi inayoitwa Palestine pia. Kama ilikuwepo nitajie rais wake wa kwanza.
 
Akili za wapi hizi hata watoto wa madrasa wanajua israel ipo kabla Yesu hajazaliwa na mji mkuu ni Jelusalem. Yesu alizaliwa Bethelehem ya Uyahudi. Hiyo miaka sabini , hujui israel walikuwa wapi, na kwa nini walikuwa huko . Uliza ujifunze
 
kabla ya mwaka 1960 hakukuwa na nchi inaitwa Rwanda au Burundi , je hao ni wavamiz ?
 
 

Attachments

  • 17100917688817254344872823629593.jpg
    2.5 MB · Views: 4
Wayahudi wameingia katika ardhi ya wapalestina mwaka 1946 kama wakimbizi wakanogewa napo wakaona waigeuze ardhi ya wapalestina kuwa ni yao
 
Hiyo taurati kaandika nani ??
 
Umeanfika shairi refu ,nchi ilipewa Israel walipotoka utumwani Misrini Mungu ndiye Muumba aliwapatia Israel ,hivyo wote ninyi mnaozingatia mipakaya ki binadamu mnampangia Mungu nn Cha kufanya ? hata punzi unayotumia unspoandika upupu huu ni ya Mungu , ama unataka kudhibitishi kwamba hapangiwi Cha kufanya aanze na ww.
 
Hakuna mnachokijua, bendera fuata upepo, ni vile wote hamuna dini kwa maana ni wapagani mtateteana kwa nguvu zote

Ukristo ni upagani
Uyahudi ni upagani

Uisilamu pekee ndio dini ya Mwenyezi Mungu
Mungu hana dini wee panya.Unataka kusema Mungu ni muislamu?Yaani majini yawe maislamu na Mungu awe muislamu?
 
Israel ilikuwepo kuanzia zamani,,almost miaka yapata 4000 iliopita
Wapashe hawa islamists wasio na elimu, badala yake wamekalia kukariri tu hicho kitabu chao cha kishetani
Hao waingereza wenyewe licha ya kulirithi jina la Palestine toka kwa Waroma, bado waliitamba nchi hiyo kama landi of Israel. Una hicho kibandiko cha pili. Documents kama hii licence ya huyo Mwarabu zinazidi kutoa uthibitisho wa uhalali wa taifa la Israel

 
Mkuu nakushukuru Kwa hio document..Kwa mimi ninaethamini document hii ni Kama umenipatia tax clearance.
 
Mwaka 1967, Israel ilifanya mashambulizi ya kushitukiza, ikafanikiwa kuzipiga Misri, Jordan na Syria, ikatwaa West Bank na Gaza, Palestina, Peninsula ya Sinai, Misri na Golan, Syria.

Mi sijaelewa hapo. Yaani Israel aliamka tu kama kichaa akaanza kufanya mashambulizi ya kushtukiza, hapakua na sababu?
 
Miaka 76 iliyopita hata wewe hukuwepo

Ulikuja kuzaliwa na ukaja kutoa hili bandicoot lako

Hivyo hata Israeli taifa lilikuja kuzaliwa
Na kuzaliwa kwa mtu au taifa ni hekaheka uliza baba yako na Mama yako

Hata Tanzania kuzaliwa kuna watu walipita hivi chunguza utaona na kusikia
Hasa kiongozi maarufu huko Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…