Miaka 76 iliyopita (mwaka 1947), hakukuwa na nchi inayoitwa Israel

Miaka 76 iliyopita (mwaka 1947), hakukuwa na nchi inayoitwa Israel

Hiyo ndiyo biblia unayoiongelea ??
Nimekwambia nenda Kanywe ijaza uamshe akili yako iliolala usome quran...utawadhe upate udhu uswali...Kwa siku unatakiwa uswali swala 5...Acha kupoteza mda kwenye usengenyaji unaokaribia kuwa tabia yako rasmi.
 
Haikuwa nchi we mama ilikuwa ni mamlaka ya British Palestine ambayo ndani yake walikuwepo waarabu na wayahud na wasamaria na druze pamoja na mabedui. Lilikuwa ni eneo la kiutawala sio nchi. Umesomea nini huko shule. Ili nchi iwe nchi inatakiwa kuwa na sifa gani nikuulize?

Mbona hivyo dada yangu , si hapo huyo Waziri mkuu anasema alikuwa na passport ya Palestina , kumbe mamlaka zinakuwa na passport zake ??
 
Nimekwambia nenda Kanywe ijaza uamshe akili yako iliolala usome quran...utawadhe upate udhu uswali...Kwa siku unatakiwa uswali swala 5...Acha kupoteza mda kwenye usengenyaji unaokaribia kuwa tabia yako rasmi.

Pata elimu kidogo usirushe vichwa


Matoleo ya Biblia ya Kingereza

Katika utangulizi wa toleo la Biblia linalotumika sana, la Revised Standard Version, mtunzi ameandika yafuatayo:

"Biblia ya Revised Standard Version, ni marekebisho yaliyoidhinishwa ya toleo la American Standard Version, lilochapwa 1901, na ambalo nalo pia lilikuwa ni marekebisho ya toleo la King James Version, lilochapwa 1611…

Toleo la King James Version lililazimika kushindana na Biblia ya Geneva Bible (1560) juu ya kutumiwa na watu wengi; lakini hatimaye lilienea, na kwa zaidi ya karne mbili na nusu hakuna tafsiri ya Biblia kwa Kingereza iliyoandikwa na kuidhinishwa.

Toleo la King James Version likawa ndilo "toleo lililoidhinishwa" kwa wanaoongea Kingereza…

Ndio, Toleo la King James Version lina dosari kubwa mno.

Kufikia katikati ya karne ya kumi na tisa, maendeleo ya tafiti za Kibiblia vilevile kugunduliwa kwa miswada mingi ambayo ni ya kale zaidi kuliko ile iliyotegemewa na Toleo la King James Version, yamefanya toleo hilo kuwa ni wazi kuwa lina dosari nyingi na mbaya mno na kusababisha kuitishwa kufanyika marekebisho ya tafsiri ya kingereza.

Kazi ikafanywa, kwa idhini ya Kanisa la Uingereza, mwaka 1870.

Toleo la Biblia la English Revised Version lilichapwa mwaka 1881 – 1885; na Toleo la American Standard Version, lahaja zake zimejiingiza katika upendeleo wa wanazuoni wa Kimarekani walioshiriki katika kazi hiyo, nalo lilichapishwa mwaka 1901."

Toleo la King James Version la Agano Jipya liliegemea matini za kigiriki zilizovurugwa kimakosa, ikiwemo kujilimbikizia makosa ya karne ya kumi na nne ya kunukuu miswada.

Nalo kimsingi, lilikuwa ni matini ya Kigiriki ya Agano Jipya kama lilivyoandikwa na Beza, 1589, ambaye kwa ukaribu zaidi alifuata chapa hiyo ya Erasmus, 1516 – 1535, iliyoegemea juu ya miswada ya zama za kati.

Mswada wa kwanza na ulio bora zaidi miongoni mwa miswada minane aliyoishirikisha ulikuwa ni wa karne ya kumi, naye akautumia kidogo mno mswada huo kwa sababu unatofautiana sana na matini za kawaida zilizopokelewa;

Beza alipata miswada miwili ya thamani kubwa mno, ikiwa ni ya karne ya tano na ya sita, lakini aliitumia kidogo mno kwa sababu inatofautiana na matini iliyochapwa ya Erasmus."
 
Unamuelewa anachozungumzia lakini. Wote walikuwa raia ndani ya Palestine territory. Nchi gani haina rais au ufalme au waziri mkuu.

Nchi haina Raisi lakini ina Passport ya Palestine

Ama kupenda chongo unaona kengeza tu . Ukristo ni shida
 
Pata elimu kidogo usirushe vichwa


Matoleo ya Biblia ya Kingereza

Katika utangulizi wa toleo la Biblia linalotumika sana, la Revised Standard Version, mtunzi ameandika yafuatayo:

"Biblia ya Revised Standard Version, ni marekebisho yaliyoidhinishwa ya toleo la American Standard Version, lilochapwa 1901, na ambalo nalo pia lilikuwa ni marekebisho ya toleo la King James Version, lilochapwa 1611…

Toleo la King James Version lililazimika kushindana na Biblia ya Geneva Bible (1560) juu ya kutumiwa na watu wengi; lakini hatimaye lilienea, na kwa zaidi ya karne mbili na nusu hakuna tafsiri ya Biblia kwa Kingereza iliyoandikwa na kuidhinishwa.

Toleo la King James Version likawa ndilo "toleo lililoidhinishwa" kwa wanaoongea Kingereza…

Ndio, Toleo la King James Version lina dosari kubwa mno.

Kufikia katikati ya karne ya kumi na tisa, maendeleo ya tafiti za Kibiblia vilevile kugunduliwa kwa miswada mingi ambayo ni ya kale zaidi kuliko ile iliyotegemewa na Toleo la King James Version, yamefanya toleo hilo kuwa ni wazi kuwa lina dosari nyingi na mbaya mno na kusababisha kuitishwa kufanyika marekebisho ya tafsiri ya kingereza.

Kazi ikafanywa, kwa idhini ya Kanisa la Uingereza, mwaka 1870.

Toleo la Biblia la English Revised Version lilichapwa mwaka 1881 – 1885; na Toleo la American Standard Version, lahaja zake zimejiingiza katika upendeleo wa wanazuoni wa Kimarekani walioshiriki katika kazi hiyo, nalo lilichapishwa mwaka 1901."

Toleo la King James Version la Agano Jipya liliegemea matini za kigiriki zilizovurugwa kimakosa, ikiwemo kujilimbikizia makosa ya karne ya kumi na nne ya kunukuu miswada.

Nalo kimsingi, lilikuwa ni matini ya Kigiriki ya Agano Jipya kama lilivyoandikwa na Beza, 1589, ambaye kwa ukaribu zaidi alifuata chapa hiyo ya Erasmus, 1516 – 1535, iliyoegemea juu ya miswada ya zama za kati.

Mswada wa kwanza na ulio bora zaidi miongoni mwa miswada minane aliyoishirikisha ulikuwa ni wa karne ya kumi, naye akautumia kidogo mno mswada huo kwa sababu unatofautiana sana na matini za kawaida zilizopokelewa;

Beza alipata miswada miwili ya thamani kubwa mno, ikiwa ni ya karne ya tano na ya sita, lakini aliitumia kidogo mno kwa sababu inatofautiana na matini iliyochapwa ya Erasmus."
Unapoteza MDA wako,,,, uelewa wangu WA biblia wewe hauwezi kunifikia hata siku moja...Huwa napata lecture kutoka Kwa wakristo Ila wenye mtazamo unaofanana na WA kwangu..KASUKU mwenye akili ya mbuni Kama wewe Huwa unachoandika kuhusu ukristo naona ni ujinga mtupu...Yaani ni Bora uhusike na Maada nyingine Tu Kama utaweza kujitoa kwenye Hali ya kutokujitambua ulio nayo
 
Unapoteza MDA wako uelewa wangu WA biblia wewe hawezi kunifikia hata siku moja...Huwa napata lecture kutoka Kwa wakristo Ila wenye mtazamo unaofanana na WA wangu..KASUKU mwenye akili ya mbuni Kama wewe Huwa unachoandika kuhusu ukristo naona ni ujinga mtupu...Yaani ni Bora uhusike na Maada nyingine Tu Kama utaweza kujitoa kwenye Hali ya kutokujitambua ulio nayo

Tulia , vitu vitakuingia tuuuu, Piga moyo konde polepole

"… Toleo la American Standard Version lilipewa haki miliki ya kuzuia matini yake isibadilishwe bila idhini.

Mnamo 1928 haki hiyo ilipatikana kutoka katika Baraza la Kimataifa la Elimu na Dini, na kwa hiyo likawekwa katika umiliki wa makanisa ya Marekani na Canada yaliyoshiriki katika baraza hilo kwa kupitia bodi zao za elimu na uchapaji.

Baraza hilo liliainisha kamati ya wasomi kusimamia matini ya ya Toleo la American Standard Version na kufanya uchunguzi na kujua kama marekebisho zaidi yanahitajika… [Baada ya miaka miwili] uamuzi ulifikiwa; nao ni kuwa;

kunahitaji marekebisho kikamilifu katika toleo la 1901, ambalo litabakia kuwa lipo karibu na mapokeo ya Tyndale-King James kama itakavyokuwa… Mnamo 1937 na marekebisho yalipewa idhini kwa kura ya Baraza hilo."

"Wasomi thelathini na wawili walitumika kama wanakamati wa kamati iliyotakiwa kufanya marekebisho hayo, nao waliyalinda mabadiliko na kuishauri Bodi ya Ushauri ya wawakilishi hamsini wa madhehebu ili kushirikiana kufanya kazi hiyo…

Toleo la Agano Jipya la Revised Standard Version lilichapwa mwaka 1946."

Toleo la Biblia la Revised Standard Version, linajumuisha Agano la Kale na Jipya, nalo lilichapwa mnamo Septemba 30, 1952, na likakubalika sana."
 
Historia inachanganya, Ibrahim huyu huyo aliyemchinja Isaka ndio huyo huyo aliyemchinja Ismail?!
 
Inakuwaje unapenda biblia Zaidi ya quran..Naamin utaelewa ni Kwa sababu ya lugha yake rahisi..Lakini kutokana na low iq pia tafsiri imekushinda maana unajaribu kuelewa ulivyofundishwa.Huna uwezo WA kuelewa wewe binafsi.Na quran ndio uko empty kabisa....Jitahidi kutia udhu ukaswali na umswalie mtume Muhammad..Biblia haiwahusu.
 
Historia inachanganya, Ibrahim huyu huyo aliyemchinja Isaka ndio huyo huyo aliyemchinja Ismail
Uislam ulikuja ili kuzishinda dini nyingine...Quran imeandikwa wakati atakaporudi nabii issa atakuja kuvunja misalaba ilio makaburini...inaweza kuona issa wanaedai ni YESU hakuangikwa msalabani na bado wanaedai ni YESU...Yaani huyo Ishmael wanaemuita Ismail qurani iliojaa uwongo inamuelezea wakati kipindi cha Ibrahim na Ishmael hakukuwa na uislam wala Mungu wao Allah subhanna wataaala alikuwa hayupo.Kwa hio quran inakuwa Kama kitabu cha historia.
 
Uislam ulikuja ili kuzishinda dini nyingine...Quran imeandikwa wakati atakaporudi nabii issa atakuja kuvunja misalaba ilio makaburini...inaweza kuona issa wanaedai ni YESU hakuangikwa msalabani na bado wanaedai ni YESU...Yaani huyo Ishmael wanaemuita Ismail qurani iliojaa uwongo inamuelezea wakati kipindi cha Ibrahim na Ishmael hakukuwa na uislam wala Mungu wao Allah subhanna wataaala alikuwa hayupo.Kwa hio quran inakuwa Kama kitabu cha historia.

Kwani wewe ungali unaamini mtoto wa Mariamu aitwaye yesu kuwa ni mungu ??
 
Kwani wewe ungali unaamini mtoto wa Mariamu aitwaye yesu kuwa ni mungu ??
Katie udhu ukaswali umswalie mtume na wapiganaji WA jihad wanaokufa Kwa Moto WA mabomu Gaza,,sidoni,,beirut,,Sanaa na tehrani.Mungu wenu subhanna awapunguzie adhabu ya kaburi
 
Katie udhu ukaswali umswalie mtume na wapiganaji WA jihad wanaokufa Kwa Moto WA mabomu Gaza,,sidoni,,beirut,,Sanaa na tehrani.Mungu wenu subhanna awapunguzie adhabu ya kaburi

Kwani wewe ungali unaamini mtoto wa Mariamu aitwaye yesu kuwa ni mungu ??
 
Katie udhu ukaswali umswalie mtume na wapiganaji WA jihad wanaokufa Kwa Moto WA mabomu Gaza,,sidoni,,beirut,,Sanaa na tehrani.Mungu wenu subhanna awapunguzie adhabu ya kaburi

Nimetia udhu huu hapa chini usome kwa furaha lakini ukiwa nje ya box

Spirits that GOD Almighty sends down including lying ones in the Bibles:



Some of the Spirits that GOD Almighty sends down upon His creations in the Old Testament. See alsoDaniel 7:25: Christianity will change time and the Law.


Isaiah 11:1-3 "1. A shoot willcome up from the stump of Jesse; from his roots a Branch will bear fruit.

2. The Spirit of the LORD will rest on him (Jesus)-- the Spirit ofwisdom and of understanding, the Spirit of
counsel and of power, the Spirit of knowledge and of the fear of the LORD(Jesus fearing his GOD)--

3. and he will delight in the fear of the LORD. He will not judge by what he sees with hiseyes, or
decide by what he hears with his ears;"


1 Kings 22:22 " 'By what means?' the LORD asked. " 'I will go out and be a lying spirit in the mouths of all his prophets,' he said. " 'You will succeed in enticing him,' said the LORD. 'Go and do it.'

1 Kings 22:23 "So now the LORD has put a lying spirit in the mouths of all these prophets of yours. The LORD has decreed disaster for you."


Paul admitted lying (Romans 3:7). He literally said he spoke lies during his ministry. Which spirit inspired Paul to lie?
 
Kwani wewe ungali unaamini mtoto wa Mariamu aitwaye yesu kuwa ni mungu ??
Tia udhu kaswali uwaombee dua wapalestina ambalo pia ni waislam wenzio waipate nchi mnayodhania ni yenu ya Israel na mji mnoumezea mate WA Jerusalem..Nenda kaswali Acha kuhangaika na maneno na vijineno.
 
Nimetia udhu huu hapa chini usome kwa furaha lakini ukiwa nje ya box

Spirits that GOD Almighty sends down including lying ones in the Bibles:



Some of the Spirits that GOD Almighty sends down upon His creations in the Old Testament. See alsoDaniel 7:25: Christianity will change time and the Law.


Isaiah 11:1-3 "1. A shoot willcome up from the stump of Jesse; from his roots a Branch will bear fruit.

2. The Spirit of the LORD will rest on him (Jesus)-- the Spirit ofwisdom and of understanding, the Spirit of
counsel and of power, the Spirit of knowledge and of the fear of the LORD(Jesus fearing his GOD)--

3. and he will delight in the fear of the LORD. He will not judge by what he sees with hiseyes, or
decide by what he hears with his ears;"


1 Kings 22:22 " 'By what means?' the LORD asked. " 'I will go out and be a lying spirit in the mouths of all his prophets,' he said. " 'You will succeed in enticing him,' said the LORD. 'Go and do it.'

1 Kings 22:23 "So now the LORD has put a lying spirit in the mouths of all these prophets of yours. The LORD has decreed disaster for you."


Paul admitted lying (Romans 3:7). He literally said he spoke lies during his ministry. Which spirit inspired Paul to lie?
Nimekwambia ukishatia udhu kaswali..Anza kumswalia mtume maana huko aliko unaijua kinachompata...baada ya hapo mwombe fuad shukr,,esma honey ye,,hajj kisima soleiman,,na husna nasra Allah asije akafa.
 
Tia udhu kaswali uwaombee dua wapalestina ambalo pia ni waislam wenzio waipate nchi mnayodhania ni yenu ya Israel na mji mnoumezea mate WA Jerusalem..Nenda kaswali Acha kuhangaika na maneno na vijineno.

udhu mwengine huu hapa


YESU ALITUMWA KWA WANA WA ISRAELI TU

Yesu hakuwa Mungu wala mwana wa Mungu bali alikuwa Mtume wa Mungu tu.

Yeye hakupewa ujumbe wa utume kwa ajili ya watu wote wa kabila zote. Bali yeye alikuwa Mtume kwa ajili ya wana wa Israeli tu.

Mwenyewe alijua mipaka ya utume wake.

Kwahiyo alisema:

1. Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 15:24).

2. Wakati mwanamke mmoja asiyekuwa mwana wa Israeli alipokuja kwa Yesu Kristo kuomba baraka zake, Yesu akakataa na zaidi ya kukataa aliwatusi wasiokuwa Waisraeli. “Akasema si vyema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia m’mbwa.” (Mathayo 15:26, Marko 7:27).

3. Hao thenashara (kumi na mbili) Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, katika njia ya mataifa msiende, wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie. Afadhali shikeni njia kuwaendea kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli. (Mathayo 10:5-6).

4. Baadhi ya Wakristo wanadhani kwamba wakati Waisraeli wote wamefikishiwa ujumbe, kisha makabila mengine pia yahubiriwe. Lakini dhana hii si sahihi bali ni kinyume cha mafundisho ya Bwana Yesu. Yeye amesema kwamba: “Lakini watakapo wafukuza katika mji huu, kimbilieni mwingine; kwa maana ni kweli nawambia, hamtaimaliza miji ya Israeli hata ajapo mwana wa Adamu. (Mathayo 10:23).

5. Bwana Petro mwanafunzi wa Yesu Kristo aliwahubiri wasiokuwa Waisraeli. Wanafunzi wengine, baada ya kupata habari hii walimpinga Bwana Petro kwa kosa lake. Biblia inasema kwamba: “Basi mitume na ndugu waliokuwako katika Uyahudi wakapata habari ya kwamba watu wa mataifa nao wamelipokea neno la Mungu. Na Petro alipopanda kwenda Yerusalemu, wale walio wa tohara wakashindana naye, wakisema, uliingia kwa watu wasiotahiriwa ukala nao. “ (Matendo 11:1-3).

6. Aya za Biblia zifuatazo zinaeleza kwamba Bwana Yesu alikuwa mfalme na mtawala wa Mayahudi. (Mathayo 2:6, 27:29, 27:42, Yohana 1:49.

7. Bwana Paulo ambaye ni mpinzani na mhalifu (anti Christ) wa Bwana Yesu, baada ya kuchukia alianza mahubiri nje ya Wasiraeli. Biblia inasema kwamba: “Hata Sila na Timotheo walipoteremka kutoka Makedonia, Paulo akasongwa sana na bila neno, aliwashuhudia Wayahudi ya kwamba Yesu ni Kristo walipopingana naye na kumtukana Mungu,
akakung'uta mavazi yake, akawaambia, damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu, mimi ni safi; tangu sasa ninakwenda kwa watu wa mataifa. (Matendo 18:5-6).

Baadhi ya Wakristo mnayo shauku ya kugonganisha aya za Biblia. wanasema kwamba Bwana Yesu aliagiza kwamba “Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi.” (Mathayo 28:19).

1. Najibu kwamba aya hii inapinga maagizo yote ya Bwana Yesu yaliyotajwa juu. Kwahiyo haiwezi kuwa agizo la Yesu wala aya ya Injili.

2. Ya pili aya hii imeandikwa mwishoni mwa Injili ya Mathayo, na nitathibitisha baadaye kidogo kwamba aya za mwanzo na za mwisho za kila kitabu ni za kuongezwa baadaye. Aya zile siyo aya sahihi za Biblia.

3. Ya tatu katika aya 28:19 ya Mathayo neno mataifa limetumika kwa maana ya mataifa ya Israeli. Kama Biblia inavyosema kwamba: “Siku zile amri ilitoka kwa Kaisari Augusto ya kwamba iandikwe orodha ya majina ya watu wote wa ulimwengu. (Luka 2:1).

Kaisari Augusto alikuwa mtawala wa Roma tu. Hakuwa na mamlaka yoyote nje ya nchi yake juu ya ulimwengu.

Katika aya hii amri iliyotolewa kwa ajili ya ulimwengu na ya nchi ya Roma tu iliyokuwa chini ya utawala waKaisari wala siyo ulimwengu wote. Hivyo ndivyo inavyoeleweka kauli ya Bwana Yesu aliposema:

“Enendeni mkawafanye mataifa yote (ya Waisraeli) kuwa wanafunzi. (Mathayo 28:19).
 
Nimekwambia ukishatia udhu kaswali..Anza kumswalia mtume maana huko aliko unaijua kinachompata...baada ya hapo mwombe fuad shukr,,esma honey ye,,hajj kisima soleiman,,na husna nasra Allah asije akafa.


Nakutilia wewe udhu soma kwa furaha


YESU ALILETA UPANGA

Sawa na mafundisho ya Biblia tumeelewa tayari kwamba Bwana Yesu alikuwa mtume kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.

Sasa tuone kwamba Bwana Yesu Kristo alileta kitu gani na alitumwa na nini?

Mwenyewe anatueleza lengo la kutumwa kwake, anasema:

1. Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani. La, sikuja kuleta amani, bali upanga. Kwa maana nalikuja kumfitinisha mtu na babaye, na binti na mamaye, na mkwe na mkwe mtu. (Mathayo 10:34-35).

2. Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake waume na wa kike, naam na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu. (Luka 14:26).

3. Je, mwadhani ya kwamba nimekuja kuleta amani duniani? Nawaambia la, sivyo, bali mafarakano. (Luka 12:51).

4. Bwana Yesu alitayarisha wafuasi wake kwa ajili ya kuleta fujo na vurugu na aliwaamrisha akawaambia:

“Lakini sasa mwenye mfuko na auchukuwe, na mwenye mkoba vivyo hivyo, naye asiye na upanga akauze joho lake akanunuwe upanga. (Luka 22:36).

5. Siyo maneno tu bali katika maisha yake alionesha hata kwa vitendo vyake kwamba alikuwa mtu wa fujo.

Biblia inasema kwamba: “Yesu aliingia ndani ya hekalu akawafukuza wote waliokuwa wakiuza na kununua hekaluni. Akazipindua meza za wabadili fedha, na viti vyao waliokuwa wakiuza njiwa.” (Mathayo 21:12).

6. Akamwaga fedha za wenye kuvunja fedha, akizipindua meza zao. (Yohana 2:15).

7. Kwa sababu ya mafundisho yake, wanafunzi wake walikuwa wajeuri kiasi hiki kwamba walikuwa wakitumia upanga kwa ujasiri.

Biblia inasema:

”Na tazama, mmoja wao waliokuwa pamoja ya Yesu akanyoosha mkono wake, akaufuta upanga wake, akampiga mtumwa wa kuhani mkuu, akamkata sikio.” (Mathayo 26:51).
 
Back
Top Bottom