Anakombe la Dunia!?!?Gaucho matako yake. Messi habari ya mjini, kipaji kazaliwanacho.
Ni nani kaipatia mafanikio timu yake?? Ni nani kabeba ballon d'Or nyingi?? Ni nani kachukua uchezaji bora wa dunia mara nyingi?? Ni nani kaipatia makombe mengi ya La liga/uefa na mengineyo mengi tu?? Mkono umechoka kuandika....wengine waje waendelee kuweka mafanikio yake hapa. Sijamaliza bado.......
Anakombe la Dunia!?!?
kuchukua ballon d'Or sio mara zote humanisha mtu fulani bora zaidi ya mwingine hata CR7 ana ballon d'Or 5 lakini sio bora kumzidi messi!Mimi ni mtu mzima mkuu. kwenye ukweli uongo hujitenga. Messi kawapiku Maradona cruiff,de stephano,Pele na zidane .....Sembuse gaucho!!! Wakati top 10 yenyewe hayumo huyo gacho alafu umlinganishe na mchezaji bora mara 5 na ballon d'Or 5 na kaipatia timu yake makombe ya kufa mtu ukilinganisha na players waliopita na waliopo sasa. Hata mtoto mdogo atakucheka akikusikia ukimponda mfalme na kumkubali MAUNO
5[emoji15]kuchukua ballon d'Or sio mara zote humanisha mtu fulani bora zaidi ya mwingine hata CR7 ana ballon d'Or 5 lakini sio bora kumzidi messi!
kuchukua ballon d'Or sio mara zote humanisha mtu fulani bora zaidi ya mwingine hata CR7 ana ballon d'Or 5 lakini sio bora kumzidi messi!
Gaucho matako yake. Messi habari ya mjini, kipaji kazaliwanacho.
Ni nani kaipatia mafanikio timu yake?? Ni nani kabeba ballon d'Or nyingi?? Ni nani kachukua uchezaji bora wa dunia mara nyingi?? .
Kwani CR7 alichukua do'r mara ya kwanza akiwa na miaka mingapi!?!?
Ya mwaka 2016/20175 za wapi tena mkuu?
kama hayo ndo makombe makubwa ya timu taifa aliyoichukua huyu mfalme wenu ni mfalme feki!!!! yaani hata copa america hana?!Argentina 4-3 Brazil akiwemo na gaucho.
- World cup u20 kama sikosei ama 23....
- Gold medal nchini Beijing
Gaucho ana nini cha kumzidi messi mpaka umshobokee hivyo?? ..world cup/siku ya final hakuwa na mchango wowote hilo linajulikana.
Taja mafanikio yake sote tujionee!!!!
kama hayo ndo makombe makubwa ya timu taifa aliyoichukua huyu mfalme wenu ni mfalme feki!!!! yaani hata copa america hana?!
Kwani messi kamzidi Ronaldo ktk fifa player of the year? Ukijibu hilo utaondoa hyo sentensi
Akijibu nitag
Halafu wote wana 5 fifa player of the year
weka data sio porojoKing Ballon D'Or ana 5 na cr7 ana 4
King Fifa player ana 5 cr7 ana 5 pia,, tena za magumashi tu.mpira wenyewe hana/perfomance zero kabisa. Kilichomsaidia timu yake imembebea uefa cup.
Hakuna anayeweka mapenzi mbele akaukubalu ukweli.....niliacha kushabikia mpira rasmi mwaka 2010; mwaka 2015 nikaanza kurudi pole pole, mpaka sasa bado sijafikia upenzi ule niliokuwa nao ila kwenye soka nimejifunza UNAFIKI uliotukuka kuliko SIASA.King Ballon D'Or ana 5 na cr7 ana 4
King Fifa player ana 5 cr7 ana 5 pia,, tena za magumashi tu.mpira wenyewe hana/perfomance zero kabisa. Kilichomsaidia timu yake imembebea uefa cup.
Hakuna anayeweka mapenzi mbele akaukubalu ukweli.....niliacha kushabikia mpira rasmi mwaka 2010; mwaka 2015 nikaanza kurudi pole pole, mpaka sasa bado sijafikia upenzi ule niliokuwa nao ila kwenye soka nimejifunza UNAFIKI uliotukuka kuliko SIASA.
Kama utaniuliza mimi, soka safi na bora kabisa kuchezwa kwenye uso wa dunia, mwisho ulikuwa 1998 kwenye fainali za kombe la Dunia nchini France.
Baada ya hapo, mpira tuushudiao ni kama kujaribu ku-programme ROBOTS to control traffic. Saying so, Messi is nothing but the results of programming the robots.
Kumbuka; Mc Fish, Thuram, Chilavert, Davor Suker, De Lima, Cafu, Claudio Taffarel, Zizou, Petit, Bellions, Romario, Mike Schumaichel, Campos, Okocha, BabaNgida, Baba Yaro, Oliseh, Batistusta, Oriel Ortega, Dunga, Van Bommel, Franco, van Bronchorst, n.k
Nilifurahia soccer back then......kabla siasa za soccer hazijapamba moto; kabla soccer haijatawaliwa na watu wawili tu na kusahau KEY PLAYERS.
Kumbuka robo fainali kati ya Barca na Man Utd, kumbuka robo fainali kati ya Arsenal na Barca, Mattheu Flamini na yule Mbrazil wa Arsenal(Gilberto), utajua soccer ni nini na nani ni nani!
Napenda ku-declare nimeanza kuwa mshabiki rasmi wa soccer la kimataifa fainali za Mataifa uhuru afrika mwaka ule wa Bafana Bafana anampiga Tunisia goli 3 fainali mwaka 1996 kama sikosei.
weka data sio porojo
Kwangu mimi huyu ndiye chezaji bora wa wakati wote.View attachment 641701
Miaka 8 iliyopita siku kama hii ya leo, kinda wa miaka 22/Mfalme wa soka ulimwenguni kuwahi kutokea Leo Messi10 alitwaa Ballon d'Or yake ya kwanza.
Karibuni wadau na wapenzi wa soka
Cc:
- Mussolin5
- PNC
- Sergio5
- CleverKing n.k
acha blah blah weka data!!Sio lazima mimi nikuwekee,,Hata wewe unaweza kuingia na ukatuwekea...zipo wazi tu hata mtoto wa miaka 7 anajua zilipo