BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Kwangu mimi huyu ndiye chezaji bora wa wakati wote.
Soon watakuja kukubishia 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu mimi huyu ndiye chezaji bora wa wakati wote.
acha blah blah weka data!!
23Kwani CR7 alichukua do'r mara ya kwanza akiwa na miaka mingapi!?!?
na delima alichukua akiwa na umri gani?It's true kamanda...tena umeniwahi. But hiyo 23 ni ya uongo...ni mkubwa sana uyo
Gaucho ni king of kings banaHa ha haa Gaucho nae amekuwa mfalme? Itabidi na iniesta na okocha tuwape ufalme kama ni hivyo...
Gaucho ni king of kings bana
Ndo shida ya kujua mpira awamu ya Magu.....Hilo la ufalme linatoka kwa baadhi ya wabongo 😀 mara utasikia lichekinorizi linapiga kuliko Arnold shoziniga mara oh bruce lee na jaki cheni walikuwa kiboko😀😀 ndio haya tunayaona sasa...at end of the day mtakuja kutuambia OLIVIER GIROUD naye ni king😀
Messi na Gaucho ni kama unalinganisha ukali wa LION MESSI na mbwa koko...
Messi hawezi kuwa mfalme mbele gaucho