Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Miaka kumi ya ndoa mume wangu hajali hisia zangu; Nimechoka!

Hata huyo kijana uliyempata hawezi kuwa sababu ya kutulia. Mwenye tabia yake haiachi. Kila siku utakuwa unatafuta sababu mpya tu.
 
Ww usisikie ya watu pigwa mb..oo.. Utatulia ,shida nn ukose raha kabla hujazeka
 
Miaka kumi ya ndoa sasa mume wangu anafanya kazi mkoani mwaka wa pili sasa huwa anajitahidi kwa mwezi anakuja mara mbili kutusalimia mimi na watoto wetu wawili yeye ana 35 na mimi nina 32 ananibore anapokuja,huwa kazubaa yaani kadri siku zinavyoenda ndo anazidi kupoteza mzuto wa kimapenzi anapenda style ya kusoma gazet tu mimi ndo nihangaike hapo juu na akijinyoosha hapo kitandani ni kama mfu hanipapasi hafanyi chochote zaidi ya kuutunisha na kuniachia.

Mimi nihangaike nao kweli nakosa raha nikimwambia aje juu anagoma anasema anasema amechoka anastress anawaza apate kazi nyingine aje kukaa na familia yake ananichosha kweli hata kabla hajaenda mkoani kikazi alikuwa ni mtu wa nimechoka nawaza kupata kazi nzuri niwahudumie,kwa kweli huyu mchaga wangu anahangaika na kutujali sana familia yake kwenye issue za ulaji,mavazi na malazi ila mapenzi na mahaba ni extra sana kwake...

Kuna mkaka mmoja job yeye ni mnyakyusa ananifatilia sana, jamaa ananizimia ananiongeleshaga vitu vya kimapenzi sana yani nimeanza kumtamani niwenae kimapenzi atulize kiu yangu ya mda mrefu kaniambia tuwetunakula bata na kuenjoy mapenzi but tutaendelea kurespect family zetu nishaurini wakuu
Dhambi huzaa umauti! nakushauri hiyo plani yako achana nayo kabisaa kwa faida yako mbele ya mumeo, wanao na Mwenyezi-Mungu.
Yawekana mumeo ana stree kweli so fanya liwezekanaloumtoe stress na umoe matumaini mapya ili arudi kwenye mood yake ya awali juu yako. Stress zinammaliza mtu inafikia stage hata ladha ya chakula hasikii so inawezekana malalamiko ya mumeo ni ya kweli! Wewe pia waweza mchunguzaa je huyu mtu ni mkweli au ananizuga kapata kimada huko nje kinampetipeti na mm sina thamani/mvuto tena kwake.
Mara nyingi hizo ndio za wanaume waongo... katoka kwa mchepuko huko kamaliza genye unazani atahangaika na wewe?
 
Hakunaga vitu vya hvo yaani ufanye ufuska nje afu muendelee kujali familia zenu?? Lazima % zipungue lazimaaaaa
 
Wabongo bana....

Kashapata kamchepuka kake anakuja hapa kutafuta uhalali....

Nilipokua nasoma nikasema mwisho wa hii stori itaishia mahali "kuna mkaka ananifatilia.."..Thats the main point!

Huku juu kote ni blah blah tu...maana ungeongea nae muhusika ndio angetoa majibu ya kubadilika unavyotaka wewe...Humu hamna mtu anaweza kukusaidia in real sense!

Na hiyo "kuna mkaka....".....wewe chepuka bana acha kutafuta visingizio...ukishikwa na ndoa huna ili ujue maisha nini hasa!
Hakika umemwaga madini ndg nimependa san kwa kuuona ukweli

Hakika umesema ule ukweli hongera ndg kwa kuliona hilo
 
Kwa hiyo nivumilie kutokupata raha na kunamtu anataka kunipa raha maisha hayaji mara mbili
Suala hapo ni kutafuta uhalali Wa huyó mchepuko wako nyngne mbwe mbwe hakuna lolote!!!

Kama kweli ulichoandika ingekuwa kweli usingeendeleza comment za kutetea mchepuko?!!! Au nikuulize

Kama umeona kuna mbadilko kwa mme wako je kama mke umechukua hatua gani nje ya kulalamika???? Unajjipa moyo kutafuta mchepuko unadhani ndo utatimiza haja zako???? Kwann hujatafuta ushauri namna ya kumfanya mme wako akupe hitaji la motima wako????

Umekosa vingi kwa kuingiza hoja ya mchepuko ndo maana wachangiaji wengi wamekuona tofauti na unavyojiona ww!!!! Kuna ushaur ungepata Wa kudumisha mapenz na kumgmfanya mme wako abadilishe hata route!!!
 
Nimemwambia mara kibao ananijibu nivumilie mke wangu hamu inaniishia nahangaika nipate kazi huku niwe pamoja nanyi nikirudi mambo yatarudi kama zamani.Sasa mimi ntavumilia mpaka lini ikiisha stress hii inakuja nyingine na huyu kaka mwingine jaman ananiambiaga maneno mengi ya kimapenzi hadi nimeanzakuvutiwa nae
Narudia kusema ww ndyo tatzo teeena kubwa usipoangalia utaishia kudhalilishwa na watu kama MNYAKYUSA wako matokeo yake utakuwa kama wale Wa muroto japohatuombei

Unahitaji elimu ya mapenzi na pia unatakiwa ujue nafasi yako maana nmeona unaonekana hata hujui wajibu wako matokeo yake unakimbilia kwa mchepuko utadhani wenyewe utakushika unapopataka...

Nataman nkupe darasa ila koz una lako jambo basi ila pole na ipo siku kama utakuwa unampemda kwel mme wako atakukinbilia Mwenyewe nakwambia
 
Usitufanye sisi kuwa sababu ya kumegwa na huyo mnyakyusa. Kama unampa mpe tu, ila sisi hatuhusiki.
 
Wanaume cjui kwa nn wanajisahau yaan kila mara kachoka na mm mwili unahitaji kutikiswa hasa
Ww hujielewi hata kidg , angekua hatafti hela na kutunza familia ungekuja na malalamiko humu kua hutak mwanamme suruali , yy kashakueka wazi kua anawaza familia yake , apate kazi ili awe nayo karibu aishi kwa amani na furaha , ww unalalama kipumbavu sna kwann usijaribu kumuelewa kwa wakat huu na kumuombea apate hio kazi ili mfaidi mapenz na mfurahie , hivi ww haujui stress wew?

Kuna wanawake wengine ni laana kuwa nao ktk ndoa na ww ni mmoja wapo

Namuhurumia sna huyo jamaa anajitoa sna kwa familia yke , anabak na mawazo kwa ajil ya familia yake ila mke wake ni bonge la kiazi

So saaad kweli wanaume kazi tunayo
 
Umeona eeh! Yaan ni shida sasa mimi nifanyaje na nnahisia
Tatzo lako huna lengo la kumsaidia mmeo ila unataka mjadaka zaidi juu ya mchepuko wako,,,, eti ufanyaje sasa wakat UNA hisia!???hivi ungelala njaa,,, watoto nao wasingekuwa na chochote tumboni ungewaza Haya?????? Badala ya kumpa moyo mme wako wewe unaendekeza kuwaza ngono Tena kwa MNYAKYUSA!!!!
 
Nimemwambia mara kibao ananijibu nivumilie mke wangu hamu inaniishia nahangaika nipate kazi huku niwe pamoja nanyi nikirudi mambo yatarudi kama zamani.Sasa mimi ntavumilia mpaka lini ikiisha stress hii inakuja nyingine na huyu kaka mwingine jaman ananiambiaga maneno mengi ya kimapenzi hadi nimeanzakuvutiwa nae
Chepuka maana pepo la ngono linakusumbua sna ww

Usikute na hko kwengine hakuna jipya tamaa zko tu ukienda utajuta kwann umeingiwa na huyo iblisi

Mpe pia na tigo huyo jamaa maana unaonekana nyota yako ni ya laana tu
 
Pole sana...

Hakuna cha kushauriwa hapo... usha set mind yako tayari kwa kuliwa, kutoka nje ya ndoa...

Nenda ukagongwe tu, unavyotaka wewe...


Cc: mahondaw
 
Chepuka bhana mke wa mtu, maisha ni mara moja nenda kapate raha..


NB; nilkuwa na sababu millions za kuoa ila kwa haya kama yako kuoa nasogeza mbele
Mkuu , wala usihairishe kuowa kwa drama ya hili gube gube , jua kuna wanawake wanajielewa bwana

Wanajua there is more than sex ktk marriage sio huyu kenge alie na pepo ya ngono

Mm nahis all in all unakuta mtu huyu kuchepuka amekuzoea hio ndio shida mkuu

Tafuta mtu ambae utaanza nae ww kufanya napenz yaan mkuu utainjoy sna tena sna
 
Maamuzi ulishayafanya, unata ushauri wa nini! Alshabab wangekuwa wanaua watu kama hawa, ingependeza Sana.
Unacheza na akili za watu tu.
Haya, wanakuja wenzako wa kukutia Moyo kuhalalisha maamuzi ya kufanya huo uchafu.
Mkuu you are right, huyu alishafanya maamuzi hapa anatafuta justification tu kuwa ni sahihi au sio sahihi basi, ninachoweza kumshauri ni aangalie kwenye vipaumbele vyake kimaisha, kama kimoja wapo ni kuchepuka she can move forward with it, watu wengi tunakuwa failures kwenye maisha kwasababu ya kushindwa kung'amua vipaumbele vyetu na kuvisimamia, kingine kama huyu mtu ana miaka 32 sasa na ana miaka 10 kwenye ndoa means aliolewa akiwa na miaka 22,hivyo kuna ujana fulani hajala, hivyo kinachomsumbua kwa sasa ni kuna vitu aliviruka hivyo anatamani avirudie, ninachoweza kumshauri ni kuwa SUMU HAIJARIBIWI KWA KUONJWA.
 
Back
Top Bottom