Miaka michache ijayo (kama 5 hadi 10) hakutakuwa na wakala wa M-Pesa tena

Miaka michache ijayo (kama 5 hadi 10) hakutakuwa na wakala wa M-Pesa tena

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Wakuu dunia inaenda kasi ile mbaya mno, na teknolojia ya sasa inaenda kwa speed ya kutisha na watu hawalali wakiwaza jinsi ya kuleta mambo ya teknolojia.

Back to the Point, miaka kama 15 nyuma hakukuwa na hii kitu inaitwa M-Pesa na ukisoma taarifa za Safaricom ambao ndio wamiliki wa M-Pesa wanakuambia walipata shida mno siku za mwanzo kuendesha biashara ya M-Pesa.

Tanzania mtakumbuka wakati inaaza M-Pesa pia hakuna aliyekuwa anaimini na wengi waliona kama utapeli fulani au watapoteza pesa zao.

Leo hii M-Pesa inafanya transaction za trilion kwa siku tu. M-Pesa kwa sasa sio ishu tena. Ishu ni nini?

Kwa sasa M-Pesa inahama kutoka mambo ya tuma pesa katoe kwa wakala na tumia na kwa sasa inaenda kwenye kutumia Mpesa kwa manunuzi.

Kwamba hutahitajika kutoa pesa kwa wakala ili ukanunue kitu, hutahitajika kwenda kutafuta wakala yuko wapi ili utoe pesa na uzitumie.

Rejeeni MPESA Mastercard.

Tunaelekea kwenye cashless kwa sasa mambo ya kutembea na waleti imetuna pesa yatapotea.

Dunia inaenda speed sana.

So hawa mawakala ni suala la muda tu kabla hawajawa outdated kabisa. Mambo yanaenda speed sana na ukizembea unaachwa nyuma.
 
Hakuna kutoa wala kudepost mkuu.
na bank industry inabadilika kwa spidi sana.. hakutakuwa na bank tellers wengi miaka ijayo.. tutadeposit wenyewe kwa atm za ku deposit na ku with drawal yenyewe
 
Zingatia kwamba BOT tayari imeshaanza mchakato wa kuingiza mfumo wa cashless transactions uitwao TIPS (TANZANIA INSTANT PAYMENT SYSTEM), initial plan ni kwamba uanze fanya kazi july 2020.

Kwa namna ambavyo serikali ime rollout GePG system, naamini TIPS haitakawia.

yani hata ukienda nunua mkaa or nyanya gengeni ni TIPS ndio itahusika.

Huu uwakala umewapa malaki ya watanzania ajira ambazo coming july 2020 zinaanza pungua maana hakuna atayetaka atoe ela akatwe wakati kuna cashless transactions.

kama tunavyohimizwa sasa kutoa na kuomba risiti, basi tutahimizwa pia kulipa kwa TIPS. hapa ndio Tanzania itaenda kusanya kodi sahihi, pia uchumi wa kati utachochewa kwa kiwango cha juu.

Wakuu Dunia inaenda kasi ile mbaya mno, na techinilonia ya sasa inaenda kwa speed ya kutisha na watu hawalali wakiwaza jinsi ya kuleat mambo ya Techinolojia.

Back to the Point.
Miaka kama 15 nyuma hakukuwa na hii kitu inaitwa mpesa na ukisoma taarifa za Safaricom ambao do wamiliki wa Mpesa wanakuanbia walipata shida mno siku za mwanzo kuendesha biashara ya m pesa.

Tanzania mtakumbuka wakati inaaza M pesa pia hakuna alie kuwa anaimini na wengi waliona kama utapeli fulani au watapoteza pesa zao.

Leo hii M pesa inafanya transaction za Trilion kwa Siku tu.M pesa kwa sasa sio ishu tena.

Ishu ni nini?

Kwa sasa Mpesa inahama kutoka mambo ya tuma pesa katoe kwa wakala na tumia na kwa sasa inaenda kwenye Kutumia Mpesa kwa manunuzi.

Kwamba hutahitajika Kutoa pesa kwa wakala ili ukanunue kitu, Hutahitajika kwenda kutafuta wakala yuko wapi ili utoe pesa na uzitumie.
Rejeeni MPESA Mastercard.

Tunaelekea kwenye cashless kwa sasa mambo ya kutembea na waleti imetuna pesa yatapotea.

Dunia inaenda Speed Sana.

So hawa mawakala ni swala la Muda tu kabla hawajawa Outdated kabisa. Mambo yanaenda speed sana na ukizembea unaachwa nyuma
 
Mkuu malipo yatafanyika kwa simu huna haja ya kwenda kwa wakala. Hela zinahama kutoka benki zinaingia kwenye simu yako na kufanya manunuzi
Sasa Kama hujaenda kwa wakala ili azibadilishe hizo hela zako katika mfumo wa kielectronic na kukuwekea kwenye simu yako hayo manunuzi utayafanya vipi? Au hayo malipo utayafanya vipi?
 
Hata kama pesa zitakusanywa nyingi halafu bado mambo yakijinga yakaendelea kufanyika huo uchumi wa kati bado tutausikia tu kwenye redio.
zingatia kwamba BOT tayari imeshaanza mchakato wa kuingiza mfumo wa cashless transactions uitwao TIPS (TANZANIA INSTANT PAYMENT SYSTEM), initial plan ni kwamba uanze fanya kazi july 2020.

Kwa namna ambavyo serikali ime rollout GePG system, naamini TIPS haitakawia.

yani hata ukienda nunua mkaa or nyanya gengeni ni TIPS ndio itahusika.

Huu uwakala umewapa malaki ya watanzania ajira ambazo coming july 2020 zinaanza pungua maana hakuna atayetaka atoe ela akatwe wakati kuna cashless transactions.

kama tunavyohimizwa sasa kutoa na kuomba risiti, basi tutahimizwa pia kulipa kwa TIPS. hapa ndio Tanzania itaenda kusanya kodi sahihi, pia uchumi wa kati utachochewa kwa kiwango cha juu.
 
Back
Top Bottom