Miaka michache ijayo (kama 5 hadi 10) hakutakuwa na wakala wa M-Pesa tena

Tz kubwa sana,hiyo estimate ya miaka mitano labda useme mijini,sio huku kwetu.OVER
 
Mpesa haimilikiwi na Safaricom. Mpesa ni mali ya Vodafone UK hadi Safaricom ambao wanamilikiwa na Vodafone UK kwa 35pc watakapolipa umiliki na kuhamisha servers kutoka UK kuja Nairobi
 
Hii kitu nimeiona kwa I&M bank...Kuna kitu wanaita SPENN account! Lengo ni kuhamasisha cashless transactions inakuwa kama M Lipa, ni kama Mpesa tu ila yenyewe pesa unatolea Bank bure kabisa ila kupitia kwa wakala utakatwa 1% ya pesa unayotoa.
 
Technology unaondoka na ajira za watu... hilo lipo wazi
Ni kawaida tu hata kipindi simu hazijaenea na vocha kuuzwa bei ghali, kulikuwa na watu wengi wamejiajiri au kuajiriwa katika vibanda vya kupigia simu.
Na kabla ya simu janja kuenea kulikuwa na vibanda vya Internet, na wote hao walipoteza kazi zao muda ulipofika.
Sasa hivi imeanza kufanya kazi technology ya maroboti viwandani hali inayolelekea watu kupoteza ajira.
 
Itarahisha sana + usalama

Tigo tayari wana masterpass nadhani taratibu inaendelea kukua. Hii kulipia haina gharama unatuma free.
 
Sasa Kama hujaenda kwa wakala ili azibadilishe hizo hela zako katika mfumo wa kielectronic na kukuwekea kwenye simu yako hayo manunuzi utayafanya vipi? Au hayo malipo utayafanya vipi?
Mfumo wa upokeaji wa pesa utabadilika,yaani vyanzo vyako vya mapato vitapitisha pesa kwa njia ya cashless na utatoa kwa cashless hivyohivyo hata ukipiga/pigwa kizinga cha pesa upokeaji/ utoaji utakuwa kwa njia ya electronic,so hutakuwa na haja ya kuingiza pesa kwa wakala wakati utakuwa na float tyr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…