Mateja M.G Yango
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 613
- 1,093
Hata kama pesa zitakusanywa nyingi halafu bado mambo yakijinga yakaendelea kufanyika huo uchumi wa kati bado tutausikia tu kwenye redio.
Tz kubwa sana,hiyo estimate ya miaka mitano labda useme mijini,sio huku kwetu.OVERWakuu dunia inaenda kasi ile mbaya mno, na teknolojia ya sasa inaenda kwa speed ya kutisha na watu hawalali wakiwaza jinsi ya kuleta mambo ya teknolojia.
Back to the Point, miaka kama 15 nyuma hakukuwa na hii kitu inaitwa M-Pesa na ukisoma taarifa za Safaricom ambao ndio wamiliki wa M-Pesa wanakuambia walipata shida mno siku za mwanzo kuendesha biashara ya M-Pesa.
Tanzania mtakumbuka wakati inaaza M-Pesa pia hakuna aliyekuwa anaimini na wengi waliona kama utapeli fulani au watapoteza pesa zao.
Leo hii M-Pesa inafanya transaction za trilion kwa siku tu. M-Pesa kwa sasa sio ishu tena.
Ishu ni nini?
Kwa sasa M-Pesa inahama kutoka mambo ya tuma pesa katoe kwa wakala na tumia na kwa sasa inaenda kwenye kutumia Mpesa kwa manunuzi.
Kwamba hutahitajika kutoa pesa kwa wakala ili ukanunue kitu, hutahitajika kwenda kutafuta wakala yuko wapi ili utoe pesa na uzitumie.
Rejeeni MPESA Mastercard.
Tunaelekea kwenye cashless kwa sasa mambo ya kutembea na waleti imetuna pesa yatapotea.
Dunia inaenda speed sana.
So hawa mawakala ni suala la muda tu kabla hawajawa outdated kabisa. Mambo yanaenda speed sana na ukizembea unaachwa nyuma.
unatoa bank mzeeSawa sijakataa utamtumiaje Kama hujaziweka kupitia kwa wakala
na bank industry inabadilika kwa spidi sana.. hakutakuwa na bank tellers wengi miaka ijayo.. tutadeposit wenyewe kwa atm za ku deposit na ku with drawal yenyewe
Hii kitu nimeiona kwa I&M bank...Kuna kitu wanaita SPENN account! Lengo ni kuhamasisha cashless transactions inakuwa kama M Lipa, ni kama Mpesa tu ila yenyewe pesa unatolea Bank bure kabisa ila kupitia kwa wakala utakatwa 1% ya pesa unayotoa.zingatia kwamba BOT tayari imeshaanza mchakato wa kuingiza mfumo wa cashless transactions uitwao TIPS (TANZANIA INSTANT PAYMENT SYSTEM), initial plan ni kwamba uanze fanya kazi july 2020.
Kwa namna ambavyo serikali ime rollout GePG system, naamini TIPS haitakawia.
yani hata ukienda nunua mkaa or nyanya gengeni ni TIPS ndio itahusika.
Huu uwakala umewapa malaki ya watanzania ajira ambazo coming july 2020 zinaanza pungua maana hakuna atayetaka atoe ela akatwe wakati kuna cashless transactions.
kama tunavyohimizwa sasa kutoa na kuomba risiti, basi tutahimizwa pia kulipa kwa TIPS. hapa ndio Tanzania itaenda kusanya kodi sahihi, pia uchumi wa kati utachochewa kwa kiwango cha juu.
pointSasa Kama hujaenda kwa wakala ili azibadilishe hizo hela zako katika mfumo wa kielectronic na kukuwekea kwenye simu yako hayo manunuzi utayafanya vipi? Au hayo malipo utayafanya vipi?
Ni kawaida tu hata kipindi simu hazijaenea na vocha kuuzwa bei ghali, kulikuwa na watu wengi wamejiajiri au kuajiriwa katika vibanda vya kupigia simu.Technology unaondoka na ajira za watu... hilo lipo wazi
Swali Zuli MkuuSo tufanyeje maana lazima kuwe na fursa Mpya hapo
Hata Atm za Fnb bankMbona ATM za kudeposit zipo tayari.. Nenda Bacyrays pale city mall
Mkuu hapa ni kuamua na kutenda kwa wakati,hakuna muda wa kupoteza.duh nilikua na mpango nifungue kibanda cha M pesa,naona kitumbua kimeingia mchanga dadeki
hakika Mkuu Mungu akibariki mwezi wa 12 huu nafungua kiwanda cha kuchakata Pesa kwa njia ya M pesaMkuu hapa ni kuamua na kutenda kwa wakati,hakuna muda wa kupoteza.
Mfumo wa upokeaji wa pesa utabadilika,yaani vyanzo vyako vya mapato vitapitisha pesa kwa njia ya cashless na utatoa kwa cashless hivyohivyo hata ukipiga/pigwa kizinga cha pesa upokeaji/ utoaji utakuwa kwa njia ya electronic,so hutakuwa na haja ya kuingiza pesa kwa wakala wakati utakuwa na float tyrSasa Kama hujaenda kwa wakala ili azibadilishe hizo hela zako katika mfumo wa kielectronic na kukuwekea kwenye simu yako hayo manunuzi utayafanya vipi? Au hayo malipo utayafanya vipi?