Hii HatariBiashara ya Kamari: Mbadala wa Dawa za Kulevya?
Kwa wale ambao mmeshawahi kusikia namna 'punda' wa 'sembe ya mwakyembe' wanavyo 'packiwa' mizigo ya kusafirisha mtakubaliana na mimi kwamba biashara hii 'takatifu' ina faida kubwa iliyotukuka. Ni ukweli unaosikitisha kwamba 'pipi' za 'sembe' hushindiliwa kupitia njia ya nyuma mpaka tumbo lijae...www.jamiiforums.com
Hahah Kuna jamaa wa vanilla ni muhuni sana na hela zake za kufikirika..Akalime Vanilla
Najivunia kuzaliwa kabla ya mapinduzi ya teknolojia ya simu za mkononi/mitandao ya kijamii kwa ujumla.
FACTS
• 70% of Tanzania population ni vijana under 24yrs.
• Nguvu kazi ya taifa ni vijana (40m)
• Ukosefu wa ajira bado upo
• Over 40m people use mobile phone
• Kila kijana anataka mafanikio.
BETTING IS A NEW CANCER IN TZ
Tangu 2014-2016 Betting company zimekusanya OVER 30BILLION tsh
• Nguvu ya matangazo ni kubwa
• Ushawishi ushameza vijana wengi
Sasa basi
Hili tabaka lisilo na kipato cha uhakika limeshamezwa na hii addiction.
vijana washaingia kwenye future of permanent credit crisis.
KINACHOFUATA.
• Depression
• Violence
• Corruption
• Strong unemployment
Naisikitikia nchi yangu.
UTAKUA MJINGA WA KUTUPWA KWA KUTEGEMEA MAFANIKIO KUPITIA KAMALI
mkuu katika hili bandiko lako ulisema ukwel mtupu kabisa.Biashara ya Kamari: Mbadala wa Dawa za Kulevya?
Kwa wale ambao mmeshawahi kusikia namna 'punda' wa 'sembe ya mwakyembe' wanavyo 'packiwa' mizigo ya kusafirisha mtakubaliana na mimi kwamba biashara hii 'takatifu' ina faida kubwa iliyotukuka. Ni ukweli unaosikitisha kwamba 'pipi' za 'sembe' hushindiliwa kupitia njia ya nyuma mpaka tumbo lijae...www.jamiiforums.com
mikopo kwa vijana yenye masharti na fuu pia serikali kuongeza jitiada ya njia bora za maisha.
betting itakosa soko hapo
[emoji3][emoji38][emoji38][emoji38]Aisee...ulila ukasahau kucashout nn mkuu ukakuta treni limedondoka.View attachment 2031637
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Najivunia kuzaliwa kabla ya mapinduzi ya teknolojia ya simu za mkononi/mitandao ya kijamii kwa ujumla.
FACTS
• 70% of Tanzania population ni vijana under 24yrs.
• Nguvu kazi ya taifa ni vijana (40m)
• Ukosefu wa ajira bado upo
• Over 40m people use mobile phone
• Kila kijana anataka mafanikio.
BETTING IS A NEW CANCER IN TZ
Tangu 2014-2016 Betting company zimekusanya OVER 30BILLION tsh
• Nguvu ya matangazo ni kubwa
• Ushawishi ushameza vijana wengi
Sasa basi
Hili tabaka lisilo na kipato cha uhakika limeshamezwa na hii addiction.
vijana washaingia kwenye future of permanent credit crisis.
KINACHOFUATA.
• Depression
• Violence
• Corruption
• Strong unemployment
Naisikitikia nchi yangu.
UTAKUA MJINGA WA KUTUPWA KWA KUTEGEMEA MAFANIKIO KUPITIA KAMALI
Umeongea kwa uchungu na ndo ukweli huo, kila mtu apambane kutokomeza njaa anavyo juakaa kwa kutulia kijana kama una ajira ni wewe tusio na ajira unataka tukajiuze ili kulisha familia zetu huwezi elewa ugumu wa maisha kama una ajira naomba tuache kabisa.Kamali ndo ajira yetu na ndo maisha yetu acha kufatilia maisha ya wacheza kamali fanya kazi kwa bidii
😁😁😁😁😁😂Akalime Vanilla
Dah mwana kama ni ngumi umempiga za mfululizo kama yule mkongo alivomtwanga dullah mbabekaa kwa kutulia kijana kama una ajira ni wewe tusio na ajira unataka tukajiuze ili kulisha familia zetu huwezi elewa ugumu wa maisha kama una ajira naomba tuache kabisa.Kamali ndo ajira yetu na ndo maisha yetu acha kufatilia maisha ya wacheza kamali fanya kazi kwa bidii
Na kisiwa cha Macau Kule ChinaMarekani wana Mji Kabisa Maalumu kwa ajili ya Kamari, kama hujawahi usikia basi unaitwa Las Vegas. Sasa Fananisha Marekani na Tanzania.
Yap.. asante kwa kunikumbusha Mkuu, tatizo la mleta Uzi ni Ushamba tu ndio unaomsumbua.