Miaka mitano ya Hayati Magufuli taifa lilipiga hatua kubwa kuliko miaka kumi ya Jakaya

Sisi Upinzani ndugu Mataga nakujua wewe ni Musiba vipi ile fedha unayodaiwa na Membe umeshailipa?
Usiliamushe dude hapa na hizo ramli zako. Naona umanitafutia ban kwa kutaka nitaje jina lako kamili, sitaji ng'ooo!
 
Chawa kazini ! Tutajie na maiti zilizookotwa baharini basi ili tulinganishe

 

Usimlinganishe kikwete na vitu vya ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…