Wakawaida ukimlinganisha na nani kibongo bongo hapa?Apumzike panapistahili.kiukweli huwa nashangaa sana nkiona watu wanavyompa legendary status huyu jamaa.the guy was avarage at best,au ni macho yangu yanaona tafauti.kanumba alikuwa wakawaida sana
Kanumba 6/4=6+4=10Naona hizi tarehe zinahusiana kabisa maana hata kiongozi wao amefariki tarehe 6/4. Kanumba alifariki tarehe 7/4.
Hapa kiongozi wao ni Sir Chande.
Huo ni mtazamo wake.Ni jambo gumu watu wote tukatazama sawa(mtazamo mmoja)Macho yako ndo ya kawaida, acha kutupandisha hasira fall.. Wewe. Wewe una nini kisicho cha kawaida zaidi ya hivi vipost uchwara? Umejua kuandika mstari mmoja wa kiingereza nawe unajiona gwiji? Acha kudharau watu waliozitendea haki karama zao. Wewe karama yako ya umbea tu imekushinda wakati huitaji mtaji wowote zaidi ya maneno.
Ni vile kila mtu ana mtazamo wake tu, ila jamaa alikua anajua kweli.Apumzike panapistahili.kiukweli huwa nashangaa sana nkiona watu wanavyompa legendary status huyu jamaa.the guy was avarage at best,au ni macho yangu yanaona tafauti.kanumba alikuwa wakawaida sana