Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
FACTNamshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
Ngoja wale waliojibebesha "regase" migongoni wake uone watakavyovimbisha mashavu yao.Teh!Namshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
Naamini umemnukuu tu "muhishimiwa" mmiliki wa RFA?Koh!Milembe material alikuwa ikulu
Milembe material alikuwa ikulu
Mwamba wa chuki, lugha chafu, kujeruhi kwa risasasi, utekeaji, uuaji na kufukarisha wafanyabiashara.kila mnachoanya, mnatafuta justification kutoka kwenye rekodi za mwamba!
Na ushamba ulimzidi. Eti akawa anagawa hela na kula mahindi barabarani.Na akaona yeye ni bora kuliko wengine wote! Ushamba ni mzigooo [emoji23]
Acha ujingaNamshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
Ukiona hivyo ujue maono yao na uwezo wao umegota ukuta. Ww kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuinuka na kusema awamu ya tano haijafanya kitu.? Kichwa cha habari tu kinatisha kumjibu huyu jamaa.Sijasoma kontenti ila ningekuwa wa ovyo kidogo tu, ningeandika ambayo yangatafsiriwa kama lugha chafu.
Mpaka sasa hamna wa kujilinganisha nae zaidi ya huyo huyo, kila mnachoanya, mnatafuta justification kutoka kwenye rekodi za mwamba! Hamjashtuka tu kuwa hamna hoja wala maono yenu binafsi?
Kweli tumejawa na chuki zisizo maana, lakini ndo kusema hata suala la umeme tu halikuoneshi utofauti wa sasa na hapo kale?
Mmeshakopa sana, mmeshauza mpaka wamasai, mmeshasaini bogus treaty nyingi, tunasubiri tuone tangible things zinakuwa/zinaonekana! L
Waty wenye akili mmekaa kujadili na kupiga kelele kuhusu mafuta, mkaongea usiku, mkaongea bungeni, eti kushusha tshs 29? Ni nani anatumia sh 29 mtaani?
Sio ninyi wala Mentor wenu mnayeweza kufikia rekodi ya mwamba hata kwa ⅛, msihangaike kuifuta wala kuichafua, imeandikwa mioyoni mwa wanakijiji kule, sio walafi wenye access na mitandao.
Ebu kaeni kimya, fanyeni yenu, sifianeni, sisi tutaona na kusema huku mtaani.
Binadamu yeyote akiweka pembeni ukasuku, ulafi, ubinafsi na ukupe; hawezi kuendelea kuona vitu anavyoona kabla!Mwamba wa chuki, lugha chafu, kujeruhi kwa risasasi, utekeaji, uuaji na kufukarisha wafanyabiashara.