Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Mama yenu hadi sasa anatembelea nyota ya awamu ya tano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UfisadiYule hamfikii Mama hata kidogo.
Kafokaaa hadi kakata motoNamshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
Aliwakosa nini mpaka muamue kumkatishia maisha kama hakuwa threat kwenye affair zenu?.Majizi matupu.Namshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
... kama kuna kabila nchi hii watu wake hawana majigambo, kujisikia, viburi, dharau, kujiona, kujiinua, kujitukuza, n.k. basi hao ni wasukuma. Sijui yule mtu alitoa wapi hizo tabia! Hii inazidi ku-prove yule mtu hakua wa kabila aliyotaka kuaminisha watu ni kabila ya
Yote hayo yanazidiwa na Airport Kijijini.Ufisadi
Ujizi
Urasimu
Kukwepa kodi
Rushwa
Dawa za kulevya
Upigaji
Madokezo
Per diem
Vyeti feki
Watumishi hewa
Unanijua mi ni nani
Nafasi za ki-ukoo
Watumishi hewa
Merging of systems
Madaraja ya mseleleko
Annual increment
Vingapi vilipita na wewe au watu wako wa moyoni mzee!
Muda wenu imerudi, kila la kheri
... wote hao uliotaja hawajafikia hata nukta moja ya yule dhalimu kwa kujitukuza; mwanadamu aliyetamani kuwa kama malaika huyo sio wa kawaida.Wewe pimbi huwajui wasukuma! Makonda nae sio msukuma? Maana kila mtu akiwa anasimamia anachoamini mnasema sio msukuma! Je mbunge Joseph Lasheku Musukuma vipi kuhusu yeye?
... umefafanua vizuri sana. Hawezi kuwa msukuma asilia yule; wasukuma kwa asili hawana tabia za aina ile. Ule wa kwake ulikuwa usukuma wa kufikia kwa malengo yake ya kisiasa not otherwise.Yule hakuwa Msukuma bali aliutumia Usukuma ili kupata uungwaji mkono kwa sababu Wasukuma ni kabila lenye idadi kubwa sana ya watu. Wasukuma hatuko hivyo Yule ni Mhutu.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
... auwaye kwa upanga hakika msiba u malangoni pake!Karma ndiyo ilimkatishia maisha,wapi Azori Gwanda,wapi Ben Saanane,kwa nini leo hii Lissu ni mlemavu?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Au majumba Unguja, dili la mafuta na biashara za AbdulYote hayo yanazidiwa na Airport Kijijini.
Wewe mpuuzi tu! Huyo bibi yako kafanya lipi?... wote hao uliotaja hawajafikia hata nukta moja ya yule dhalimu kwa kujitukuza; mwanadamu aliyetamani kuwa kama malaika huyo sio wa kawaida.
Katika aliyoandika,kipi ni ujinga?Acha ujinga
Ulifanyika ufisadi na uharibifu wa uchumi mkuu,yule mtu wenu alikuwa foolish Sana 👇Namshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
... baada ya Lucifer next kwa roho mbaya alikuwa dhalimu yule.Wewe mpuuzi tu! Huyo bibi yako kafanya lipi?
Rais SSH ni mpango wa Mungu. Hakika baada ya yule Shetani wa Chato ambaye alikuwa anatugawa kiitikadi na kikabila, akiua na kutudanganya, tumepata kiongozi mwenye upendo, mcha Mungu na anayeipenda nchi yetu kwa dhati. Tanzania Iko salama sana mikononi mwa SamiaNamshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
Wewe ni mbwa!Namshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.