imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Unaweza kuweka ushahidi.Au majumba Unguja, dili la mafuta na biashara za Abdul
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuweka ushahidi.Au majumba Unguja, dili la mafuta na biashara za Abdul
Uko huru sasa tuambie tokea amekufa umetengeneza million miangapi?Mwamba wa chuki, lugha chafu, kujeruhi kwa risasasi, utekeaji, uuaji na kufukarisha wafanyabiashara.
Tanzania hatutaki tena aje atokee kiongozi MFITINI, mbaguzi, mwizi na MWONGO kama Magufuli. Mungu aliipenda sana Nchi yetu ndiyo maana akampeleka jehanam Magufuli siku chache tu baada ya kuiba kura za uchaguzi wa mwaka 2020. Kamwe hatatokea HAYAWANI na FEDHULI mwingine kama Magufuli.Sijasoma kontenti ila ningekuwa wa ovyo kidogo tu, ningeandika ambayo yangatafsiriwa kama lugha chafu.
Mpaka sasa hamna wa kujilinganisha nae zaidi ya huyo huyo, kila mnachoanya, mnatafuta justification kutoka kwenye rekodi za mwamba! Hamjashtuka tu kuwa hamna hoja wala maono yenu binafsi?
Kweli tumejawa na chuki zisizo maana, lakini ndo kusema hata suala la umeme tu halikuoneshi utofauti wa sasa na hapo kale?
Mmeshakopa sana, mmeshauza mpaka wamasai, mmeshasaini bogus treaty nyingi, tunasubiri tuone tangible things zinakuwa/zinaonekana! L
Waty wenye akili mmekaa kujadili na kupiga kelele kuhusu mafuta, mkaongea usiku, mkaongea bungeni, eti kushusha tshs 29? Ni nani anatumia sh 29 mtaani?
Sio ninyi wala Mentor wenu mnayeweza kufikia rekodi ya mwamba hata kwa ⅛, msihangaike kuifuta wala kuichafua, imeandikwa mioyoni mwa wanakijiji kule, sio walafi wenye access na mitandao.
Ebu kaeni kimya, fanyeni yenu, sifianeni, sisi tutaona na kusema huku mtaani.
Hizo pumba kawape nguruwe ndiyo wanastahili au wape wanao kama unao, siyo kuleta hapa JF kwenye watu wana akili ya kuchambua mambo.Kakuta umeme vijijini umefikia vijiji 4000 yeye akapeleka mpaka vijiji 14,000 (ndani ya miaka mitano tu).
Ukishakunywa mbege migombani unakuja kusema hakuna alichofanya alikuwa anabwata.
Daa.... Sisi wazaramo Mungu atatutumia kama Kuni. Ni wanafiki sana. Wanafiki Duniani sijapata Kuona. Hakuna Miaka mi5 yenye mafanikio kama ya Magufuli. Watu tumeona utendaji uliotukuka. Mimi namchukia Magufuli lakini napozunguka Tanzania naona kazi zake. Haya madaraja,Barabara, Vivuko n.k moyoni nasema jamaa alipiga kazi. Najua inabidi tule na mama pia. Lakini tusiwe wanafiki kiasi ambacho wakati mwingine hata Shetani atashangaa....Namshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
Umeandika kilakitu jumla jumla kama mjinga tu.Namshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
Sasa unasema akawape nguruwe wewe unajitoa😂 wewe unataka mashudu? Nguruwe wa kisasa si ndiyo?Hizo pumba kawape nguruwe ndiyo wanastahili au wape wanao kama unao, siyo kuleta hapa JF kwenye watu wana akili ya kuchambua mambo.
Magufuli alikuwa anatupeleka shimoni na nyinyi wajinga msio na elimu mlikuwa mnamshangilia ujinga na uwongo wake. Bila Mungu kuingilia kati hii Tanzania ilikuwa inakwenda ku collapse economically kama Zimbabwe. Rot in Hell Magufuli
Uhuru unatosha Sana. Mambo ya kuuawana na kutekana yamezikwa Chato. Na haki ya ninihino sukuma gang mtachezea benchi mpk mwisho wa dunia hiiUko huru sasa tuambie tokea amekufa umetengeneza million miangapi?
Hakuna ubabe pesaNamshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
Hahahaha, unafurahisha we jamaa, fatilia duniani kote mtu yeyote hatarishi kwenye nchi yoyote duniani unayoijua wewe mamlaka za nchi zinaweza kumuondoa muda wowote na kwa namna yoyote. Na hapa haijarishi yeye ninani, na nchi inademocrasia kwa ukubwa gani.Uhuru unatosha Sana. Mambo ya kuuawana na kutekana yamezikwa Chato. Na haki ya ninihino sukuma gang mtachezea benchi mpk mwisho wa dunia hii
Acha kutuletea hekaya za kwenye vijiwe vya kwenye kahawa na baa. Wewe migulubaja ujue nn cha maana?Hakuna ubabe pesa
Hahahaha, unafurahisha we jamaa, fatilia duniani kote mtu yeyote hatarishi kwenye nchi yoyote duniani unayoijua wewe mamlaka za nchi zinaweza kumuondoa muda wowote na kwa namna yoyote. Na hapa haijarishi yeye ninani, na nchi inademocrasia kwa ukubwa gani.
Kitu ambacho wewe hukijui nikwamba wewe unawajua watu vile wanavyoishi kwenye jamii ila wanayofanya nyuma ya pazia huyajui. Waache wanaoyajua wadili nao
Ukweli mtupuNamshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
Dalili za upungufu wa akiliNamshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.
Ngoja nikukumbusheNamshukuru mungu kwamba Samia anaoonesha Nini maana ya uongozi. Uongozi siyo kuniona wewe ndo Bora zaidi kuliko wenzako, kujisifu na kujigamba kila unapopata jukwa na kuwaponda wenzako kila dakika.
Uongozi ni hekima hasa nafasi ya juu Kama hii ya urais. Nchi iligeuka kuwa uwanja wa mauaji na kuviziana ukabila ukatamalaki mpaka usalama wa taifa.
Hakika mama mungu akupiganie Sana nchi imetulia hakuna tena ubabe wa watu wasiojulikana Wala akina ndugai hawapo tena ambao walikuwa wanajiona wao ndo wenye nchi hii na akili kuliko wengine.