mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Kabisa.Hii inaonyesha changamoto ya mitazamo ya kijamii ambayo mara nyingi huathiri watu wanaochagua maisha tofauti na yale yanayotarajiwa na jamii.
Binafsi siwezi, Ile kitu Ina refresh mwili, roho na akili, yaani unakaa mwezi ujagusa?kiongozi ebu tumia Metronidazole 400mg upoze hizo mambo, inawezekana ni maamuzi tu!
Kuna tafiti inasema wanawake kufanya ngono mara kwa mara kunaathiri uwezo wao wa kudumu kwenye ndoa.Umeolewa? Kama bado basi nakupa pole kwani unavyozidi kufanya uzinzi ndivyo unapunguza nuru na heshima yako kwa mume wako mtarajiwa.
Wanapata shinikizo na mwisho wakipata majanga kama magonjwa wanaishia kuchekwa na kuonekana wamepotea.Kabisa.
Hili suala nimekuja kulielewa hivi karibuni. Vijana wanapata shinikizo kali la kufanya ngono ili waweze kuendana na makundi(fitting in), wakati huo ulazima haujabebwa na sababu zozote za msingi.
Hiyo ni kweli kabisa, mwanamke akitumika sana anachoka na kupoteza mvuto.Kuna tafiti inasema wanawake kufanya ngono mara kwa mara kunaathiri uwezo wao wa kudumu kwenye ndoa.
Hii sielewi imekaaje, ukizingatia kuna juhudi kibao za kutoa uhuru kwa jinsia zote, kwenye mambo yote.
Mwili laimza uwake lakini urijali ni kuzishinda hisia.Mimi mara ya mwisho kuingiza kwenye tamu ni October 2023 no sex no porn no masterbation 😁😁
Ila sio poa mwili unaniwakia nimkule mtu😁😁😁
Ni raha kama ikifanywa kwa njia sahihi yaani ndoa.Hiv unajua ku to mba km ni raha jamaa yng sasa kwnn nijipunje?
Huu uzi ni wa msabato nnNi raha kama ikifanywa kwa njia sahihi yaani ndoa.
Hii mada kiujumla ni ngumu.Wanapata shinikizo na mwisho wakipata majanga kama magonjwa wanaishia kuchekwa na kuonekana wamepotea.
Mimi sio msabatoHuu uzi ni wa msabato nn
Wanashauriwa kuto kufanya ngono na kutunza miili na afya zao, pia kutokufanya hivyo husaidia kuimarisha nafsi na kutengeneza uhusiano mzuri na Mungu.Hii mada kiujumla ni ngumu.
Kama watu hawapaswi kushinikizwa kufanya ngono, je, ni katika vigezo gani wanashauriwa kufanya?(Ijadiliwe mitazamo ya kidini na ya kidunia)
Oa mjomba unawawazisha majirani, wakianza kusema kijana jogoo hapandi mtungi utawalaumu?Maisha bila uzinzi yanawezekana, na nimetambua hilo baada ya kutimiza miaka miwili+ bila kuwa na uhusiano wala ukaribu wowote wa kimwili dhidi ya mwanamke/binti yeyote ndani ya muda huo.
Changamoto pekee nilivyo Kutana nayo ni kuonekana mwendawazimu hasa kwa majirani zangu wa karibu, watu ambao wanaamini ili mwanaume ukamilike ni lazima ubadilishe wanawake kila weekend.
Kwa mtazamo wao, kutojihusisha na uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu kunaonekana kama jambo lisilo la kawaida, hali iliyofanya nionekane kama mtu asiyeeleweka au hata mwendawazimu machoni pao. Hii inaonyesha changamoto ya mitazamo ya kijamii ambayo mara nyingi huathiri watu wanaochagua maisha tofauti na yale yanayotarajiwa na jamii.
Wito wangu kwa vijana wenzangu ni kwamba wanapaswa kujua Uanaume wa kweli haupimwi kwa idadi ya wanawake bali kwa uwezo wa kujiheshimu, kudhibiti matamanio, na kufanya maamuzi yenye busara.
Kujitunza na kudhibiti hisia si udhaifu bali ni ishara ya ukomavu hasa kwa wale ambao bado hawajaingia katika ndoa.
Swali kwa vijana wenzangu, je mnaamini kuwa inawezekana kuishi bila kufanya uzinzi? Na kama ndiyo, ni muda upi mrefu zaidi umewahi kujizuia au kukaa bila ku
fanya vitendo hivyo?
Sina haja ya kufanya jambo ili kuwafurahisha watu, pia mimi ni Baba.Oa mjomba unawawazisha majirani, wakianza kusema kijana jogoo hapandi mtungi utawalaumu?
Mimi binafsi nna mwezi na nusu sijasex kabisa na mwanamke, hisia namalizia Gym tu, nadhani ni uhamuzi tu inawezekana kabisaMwanaume aliyekamilika hamalizi week 2 bila kutiana, narudia haiwezekani
Sina sababu ya kusema uongoAcha kutupiga kamba jioni hii