See For Me
JF-Expert Member
- Sep 7, 2022
- 479
- 1,495
Kutafuta "Stroke kwa lazima..kula maisha kijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samaleko ndugu yanguNoma sana chupa limeamka na chai au sio! Hivi kuna wanaume bikra, kama wapo wanatafutwa huku migodini
[emoji23]
Na kuzini hovyo ni kutafuta Ukimwi na gono kwa lazima.Kutafuta "Stroke kwa lazima..kula maisha kijana
Nakubaliana na huo utafiti, mwanamke akiwa mtu wa kufanywa mara kwa mara hasa kabla ya kuolewa anakuwa na nafasi kubwa sana ya kuiharibu ndoa yake, as wanaendeshwa na hisia kuliko uhalisia.Kuna tafiti inasema wanawake kufanya ngono mara kwa mara kunaathiri uwezo wao wa kudumu kwenye ndoa.
Hii sielewi imekaaje, ukizingatia kuna juhudi kibao za kutoa uhuru kwa jinsia zote, kwenye mambo yote.
Vyema sanaSio lazima kushiriki ktk kila pambano, mambo mengine ruhusa wengine wapate point 3 na goals za bure bila kushiriki
🤔🤔🤔 duh! Inafkirisha 2 years bila kubadilisha oil kwl, aiseee ebu nenda clinic tatzo unamatatzo ya afya ya akili lakn ujui wai mapema kwa ushaurMaisha bila uzinzi yanawezekana, na nimetambua hilo baada ya kutimiza miaka miwili+ bila kuwa na uhusiano wala ukaribu wowote wa kimwili dhidi ya mwanamke/binti yeyote ndani ya muda huo.
Changamoto pekee nilivyo Kutana nayo ni kuonekana mwendawazimu hasa kwa majirani zangu wa karibu, watu ambao wanaamini ili mwanaume ukamilike ni lazima ubadilishe wanawake kila weekend.
Kwa mtazamo wao, kutojihusisha na uhusiano wa kimapenzi kwa muda mrefu kunaonekana kama jambo lisilo la kawaida, hali iliyofanya nionekane kama mtu asiyeeleweka au hata mwendawazimu machoni pao. Hii inaonyesha changamoto ya mitazamo ya kijamii ambayo mara nyingi huathiri watu wanaochagua maisha tofauti na yale yanayotarajiwa na jamii.
Wito wangu kwa vijana wenzangu ni kwamba wanapaswa kujua Uanaume wa kweli haupimwi kwa idadi ya wanawake bali kwa uwezo wa kujiheshimu, kudhibiti matamanio, na kufanya maamuzi yenye busara.
Kujitunza na kudhibiti hisia si udhaifu bali ni ishara ya ukomavu hasa kwa wale ambao bado hawajaingia katika ndoa.
Swali kwa vijana wenzangu, je mnaamini kuwa inawezekana kuishi bila kufanya uzinzi? Na kama ndiyo, ni muda upi mrefu zaidi umewahi kujizuia au kukaa bila kufanya vitendo hivyo?
Hapana mkuu hiyo michezo sifanyiHadi nakwosa la Kusema 🤔🤣kmmae wee utakua unakula mrenda wa mikono sana
Huo ndyo mtazamo wa jamii zetu, kwamba usipo fanya ngono inaonekana una matatizo ya akili 😔😔🤔🤔🤔 duh! Inafkirisha 2 years bila kubadilisha oil kwl, aiseee ebu nenda clinic tatzo unamatatzo ya afya ya akili lakn ujui wai mapema kwa ushaur
🤣🤣🤣 sasa ww nenda umueleze doctor lazma unayo tatzoHuo ndyo mtazamo wa jamii zetu, kwamba usipo fanya ngono inaonekana una matatizo ya akili 😔😔
Yaani kuna mizigo mingi inaelekea kibra ila naipotezea 🤣🤣Mwili laimza uwake lakini urijali ni kuzishinda hisia.
sababu kuu ni ya kiimani pamoja na afya kwa ujumla.Kuna mtu hafanyi ngono ni kwa sababu hana wa kufanya nae na mwingine hafanyi kwa sababu za kiimani
Mtoa mada kwanini haujafanya for 2 years??
Tatizo unalo wewe ambaye unaamini kufanya ngono ndyo ujanja🤣🤣🤣 sasa ww nenda umueleze doctor lazma unayo tatzo
Mungu akuongoze katika hilo mkuuNataka nifike Christmas bila kula tamu 😎
Sio kweli mm naenda uwanjan kupiga soka jioni nikirud nikioga akili imechoka ni mind setMwanaume aliyekamilika hamalizi week 2 bila kutiana, narudia haiwezekani