Miaka nenda rudi sina hata pikipiki na pesa huwa napata nyingi tu. Huwa najiuliza nini kinatokea. Yawezekana napigwa kipapai?

Miaka nenda rudi sina hata pikipiki na pesa huwa napata nyingi tu. Huwa najiuliza nini kinatokea. Yawezekana napigwa kipapai?

Technophilic Pool

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2024
Posts
2,597
Reaction score
3,965
Wakuu niambieni
Ajira ya kwanza nimeajiriwa 2017 mshahara 780,000 bila makato

Kazi ya pili 2018
Mshahara 1.5M ukitoa makato 1M net mfukoni, bado safari laki 6 kila wiki mbili

Kazi ya tatu 2020
Mshahara m2.3
Ukitoa makato 1.6 M marupu rupu 70k kwa wiki
KAZI IMEISHA SASA

LAKIN HAYA YOTE SINA CHOCHOTE?
Sina gari, piki piki wala kausafiri
Sina biashara sina akiba
Nina kibanda kama geto tu.
Kifupi miaka yote hiyo ilikuwa ni ya kupoteza hela.

Siyo mlevi, nakunywa kawaida hata laki kwa mwezi haizidi kipindi nna kazi. Sio malaya kusema nahonga, kifupi mi ni bahili kisenge.

Sibeti...

Sasa kama mara mbili hivi nilipata Mganga wa kupiga ramli kuna electronics na laptop ya ofic niliibiwa katka mazingira ya kutatanisha. Kuna manzi nilikua nae ndo kaniunganisha.

Jamaaa akasema Laptop ipo na wafanyakazi wenzio itarud,,, baada ya siku tatu ikarudi (maelezo wanayoongea hata hayaeleweki)

Hapo nikapata iman ya kujiuliza ambayo huwa naona siyaelewi kwene maisha ikiwepo hili la hela.

Jamaa akaniambia Wamekutengeneza HELA ISIWE INAKAA IWE INAPITILIZA MIAKA NENDA RUDI HUTAKAA UFANYE CHA MAANA

Nikiwaza kama naamini kwan binafsi ni narafiki zangu walevi ,malayaa wanafuja hela lakini vitu wanavyofanya vinaonekana .Mi had huwa wananiuliza we jamaa unapeleka hela wap😳
 

Attachments

  • 331C1C00-21BF-420D-8C4B-E5731287E0AA.jpeg
    331C1C00-21BF-420D-8C4B-E5731287E0AA.jpeg
    1,016.7 KB · Views: 9
Huko kwenye ushirikina ndio unaenda kupotea,

Hao rafiki zako wanaoendelea hujui siri zao zote wala njia zao wanazopitia,

Ushauri wangu,
Fungua fixed acc Bank,kisha upange ni kiasi gani kiwe kinaenda huko monthly,halafu bajeti yako ya mwezi,hela unakua nazo wewe,zile za Bank usiziguse kabisa,

Jaribu hilo kwanza.
 
Huko kwenye ushirikina ndio unaenda kupotea,

Hao rafiki zako wanaoendelea hujui siri zao zote wala njia zao wanazopitia,

Ushauri wangu,
Fungua fixed acc Bank,kisha upange ni kiasi gani kiwe kinaenda huko monthly,halafu bajeti yako ya mwezi,hela unakua nazo wewe,zile za Bank usiziguse kabisa,

Jaribu hilo kwanza.
nishawai fanya ivo pia
 
Tunao amini kwenye nature tunathibitisha kua kuna nguvu Hasi na chanya na zote zinafanya kazi. Hii ukubali au ukatae,uwe unajua au hujui.
ndio ukweli.
Uchawi upo,nguvu ya mawazo inaweza kuleta athali ya moja kwa moja kwenye mwili wa nyama.
NA wachawi wapo na wanaroga bila shaka kabisa.
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Huko kwenye ushirikina ndio unaenda kupotea,

Hao rafiki zako wanaoendelea hujui siri zao zote wala njia zao wanazopitia,

Ushauri wangu,
Fungua fixed acc Bank,kisha upange ni kiasi gani kiwe kinaenda huko monthly,halafu bajeti yako ya mwezi,hela unakua nazo wewe,zile za Bank usiziguse kabisa,

Jaribu hilo kwanza.
Kwa sasa hana kazi
 
Back
Top Bottom