Miaka Tisa (9) ndani ya JF: Kumbukizi nilivyojiunga na kuishi JF nikiwa kama Mwanafunzi wa Sekondari

Miaka Tisa (9) ndani ya JF: Kumbukizi nilivyojiunga na kuishi JF nikiwa kama Mwanafunzi wa Sekondari

Mwaka 2015 upo kidato cha Kwanza, ina maana kama utakuwa ulisoma Masomo ya Sayansi na ukaenda Chuo Kikuu kusoma Engineering, utakuwa unaingia Mwaka wa nne kukamilisha miaka minne ya Engineering 🙌👏👏👏

Kweli miaka inakimbia, hongera sana
Ahsante sana , ndio bado Niko chuo mkuu
 
Back
Top Bottom