Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Hahaha wewe ni HR666, sio?Sema ID zangu nne[4] za mwanzo ziliunganishwa nikapigwa bani la maisha ningekuwa na Miaka 8 sasa tangu 2016.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha wewe ni HR666, sio?Sema ID zangu nne[4] za mwanzo ziliunganishwa nikapigwa bani la maisha ningekuwa na Miaka 8 sasa tangu 2016.
Ahsante sana mkuu , heshima muhimu ndio maana miaka yote nimejitahidi kuishi kwa kumuheshimu kila mtu na kuepuka bifu na ugomvi.Aisee kumbe sisi wengine ni watu WAZIMA sanaa
Kumbe vijana wadogo mpo wengi Sanaa na wajifunze kuheshimu wakubwa.
Hongeraaaa sanaa mkuu kwa kuishi Jf muda wa miaka 9.
All the Best.
Hahaha alikuwa mizinguo sana, nakumbuka mods waliunganisha accounts zake zilikuwa zinajiongeleshaHuyo HR666 nakumbuka alikuwa na fujo sana Zamani na alikuwa kama Muhuni wa JF haogopi kitu yaani mtu akijivagaa matusi na lugha chafu dakika mbili tu bila kuremba.
The GunMan mwenyewe 🤝🙌Begi linamaanisha
1. Masiha ya kiuanafunzi kwani nimetumia mda mrefu kuishi maisha hayo. Miaka 2 awali , 7 primary, 4 secondary , 2 advance na , 3 University. Karibu nusu ya umri nimetumikia kubeba begi kutafuta Elimu.
2. Silaha (Gun) ina Symbolize mapambano , maisha yote ya mwanadamu yanahitaji mapambano katika kufanikisha malengo ,na kuyaendae mambo kwani changamoto ni nyingi mno tukianzia watu kukuatisha ,tamaa ,kukurudisha nyuma ,kufanyia figisu , za kisaikolojia nk sasa inatakiwa kudeal nayo kwa mapambano kielimu , kiakili na mengineyo kama ikihitajia..
Sasa hiyo Gun ina wakilisha mapambano na katika mapambano katika Matumizi ya silaha Vilevile inahitajika umakini kuhakikisha unalenga panapo husika , kwa usahihi ndani ya wakati muafaka
#TheGunMan
Cc : Selikavu
We samia nyamaza hujui kitu.Vitoto vidogo vingi JF. Sishangai.
mashoga pia ni wengi sana JF kupita wakati wowote ule.
Wewe si ndiyo walewale, unafikiri hujajulikana?We samia nyamaza hujui kitu.
Kazi ya Rostam azizi ki ....Mimi JF nilijunga baada ya kuwa natumia free basic
Hii free basic ilifungwa na kupotea baada ya march 17 2021 yaani msiba wa magufuli ukivyoisha na free basic ikawa haifanyi Kazi tena
Hongera japo nimeshangaa kuona Kijana wa form two kujiunga katika familia ya great thinkers.
Halafu kuna babu anakuita MKUU humu.Ok you're right..
Duuh,2015 ndio nilimaliza standard seven.2015 ulikua form three!!!!! Kweli mbwa mm ni mtu mzima nitafute hela hizi Jf ni kujichoresha na madogo.