Miaka Tisa (9) ndani ya JF: Kumbukizi nilivyojiunga na kuishi JF nikiwa kama Mwanafunzi wa Sekondari

Miaka Tisa (9) ndani ya JF: Kumbukizi nilivyojiunga na kuishi JF nikiwa kama Mwanafunzi wa Sekondari

Aisee kumbe sisi wengine ni watu WAZIMA sanaa
Kumbe vijana wadogo mpo wengi Sanaa na wajifunze kuheshimu wakubwa.

Hongeraaaa sanaa mkuu kwa kuishi Jf muda wa miaka 9.

All the Best.
Ahsante sana mkuu , heshima muhimu ndio maana miaka yote nimejitahidi kuishi kwa kumuheshimu kila mtu na kuepuka bifu na ugomvi.
 
Huyo HR666 nakumbuka alikuwa na fujo sana Zamani na alikuwa kama Muhuni wa JF haogopi kitu yaani mtu akijivagaa matusi na lugha chafu dakika mbili tu bila kuremba.
Hahaha alikuwa mizinguo sana, nakumbuka mods waliunganisha accounts zake zilikuwa zinajiongelesha
 
Begi linamaanisha
1. Masiha ya kiuanafunzi kwani nimetumia mda mrefu kuishi maisha hayo. Miaka 2 awali , 7 primary, 4 secondary , 2 advance na , 3 University. Karibu nusu ya umri nimetumikia kubeba begi kutafuta Elimu.

2. Silaha (Gun) ina Symbolize mapambano , maisha yote ya mwanadamu yanahitaji mapambano katika kufanikisha malengo ,na kuyaendae mambo kwani changamoto ni nyingi mno tukianzia watu kukuatisha ,tamaa ,kukurudisha nyuma ,kufanyia figisu , za kisaikolojia nk sasa inatakiwa kudeal nayo kwa mapambano kielimu , kiakili na mengineyo kama ikihitajia..

Sasa hiyo Gun ina wakilisha mapambano na katika mapambano katika Matumizi ya silaha Vilevile inahitajika umakini kuhakikisha unalenga panapo husika , kwa usahihi ndani ya wakati muafaka

#TheGunMan

Cc : Selikavu
The GunMan mwenyewe 🤝🙌
 
Ndy maana sikuhz sicomment sana labda nione mkongwe wa jf kaandika kitu.
 
Mimi JF nilijunga baada ya kuwa natumia free basic

Hii free basic ilifungwa na kupotea baada ya march 17 2021 yaani msiba wa magufuli ukivyoisha na free basic ikawa haifanyi Kazi tena


Hongera japo nimeshangaa kuona Kijana wa form two kujiunga katika familia ya great thinkers.
Kazi ya Rostam azizi ki ....
 
Sasa nimeelewa kwa nini huwa una kaujinga fulani hivi
 
Back
Top Bottom