Miaka, toka kuumbwa kwa adamu hadi kufa kwa Abrahamu. Umeona nini?

Miaka, toka kuumbwa kwa adamu hadi kufa kwa Abrahamu. Umeona nini?

hivi Wewe jamaa utawatenganisha vipi wayahudi na Mila za kale za waashuru?
Tatizo lako wewe umekomaa na historia nusu ya Wayahudi bila kuona chanzo Cha mwanzilishi wa Imani hiyo Yaani Mzee abrahamu na Jamii alizotokea Mimi nimeanza kuchimbua historia ya Abraham kabla hajahama na baba yake Mzee Terra kutoka uru ya wakaldayo mpaka kwenye marago ya kaanani na kuweka makazi pale,
Sasa utamtenganishaje babu ya Wayahudi na Mila za Mesopotamian?
Kwanza huyo Mzee mwenyewe alikua anaabudu miungu ya waashuru mpaka pale Merchizedec mtawala wa Salem alipompa ujuzi wa Mungu El Murduc hapo ndipo jamaa akachange akaanza Jenga madhabahu za Mungu El na kumwabudu
Sasa turudi kwenye source ya huyo mungu wa Merchizedec alikua Mungu Gani katika Aina ya Ile miungu ya ANNUNAKI?

Utapiga chenga weeeeee ila utarudi pale pale kwenye kwenye chanzo Cha miungu napokazia Mimi!
UNALETA POROJO TU ,UNAWEZA KUIPINGA BIBLIA WEWE?

Biblia iliandikwa katika kipindi cha miaka 1,600 hivi. Historia na unabii unaopatikana ndani yake unahusiana na serikali saba kuu za ulimwengu: Misri, Ashuru, Babiloni, Umedi na Uajemi, Ugiriki, Roma, na Muungano wa Uingereza na Marekani. Serikali hizo saba zitazungumziwa katika mfululizo wa makala saba. Kusudi la makala hizo ni nini? Kuonyesha kwamba Biblia inategemeka na imeongozwa na roho ya Mungu na kwamba ujumbe wake unatoa tumaini—tumaini la kwamba matatizo yanayosababishwa na utawala mbaya wa wanadamu yatakwisha.

Yeremia na Ezra wanataja pia kuhusu Farao Shishaki aliyeivamia Yuda, wakitaja kihususa kwamba uvamizi huo ulitukia “katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu [wa Yuda],” au 993 K.W.K. (1 Wafalme 14:25-28; 2 Mambo ya Nyakati 12:1-12) Kwa muda mrefu sana, habari pekee iliyopatikana kuhusu uvamizi huo ilikuwa ile ya Biblia. Kisha mchoro ukapatikana katika ukuta wa hekalu la Karnak (Thebesi ya kale) huko Misri.

Mchoro huo unamwonyesha Shishaki akiwa amesimama mbele ya mungu Amoni, mkono wa Shishaki ukiwa umeinuliwa akiwachinja mateka. Pia majina ya miji ya Israeli iliyoshindwa imeandikwa katika mchoro huo, na mengi ya miji hiyo inahusianishwa na maeneo yanayotajwa katika Biblia. Zaidi ya hilo, maandishi hayo yanataja “Shamba la Abramu”—na hayo ndiyo maandishi ya kale zaidi ya Misri kumtaja mzee wa ukoo Abrahamu anayetajwa katika Biblia.—Mwanzo 25:7-10.

MELKIZEDEKI alikuwa mfalme wa Salemu ya kale na “kuhani wa Mungu Aliye juu sana,” Yehova. (Mwanzo 14:18, 22) Yeye ndiye kuhani wa kwanza anayetajwa katika Maandiko; Akiwa mfalme wa Salemu, jina limaanishalo “Amani,” Melkizedeki atambulishwa na mtume Paulo kuwa “Mfalme wa Amani” na, kwa msingi wa jina lake, anatajwa kuwa “Mfalme wa Uadilifu.” (Waebrania 7:1, 2) Salemu ya kale yaonwa kuwa ndiyo chanzo cha jiji lililotokea baadaye la Yerusalemu, na jina lake likaja kuwa sehemu ya jina la jiji hilo la Yerusalemu, ambalo mara nyingine huitwa “Salemu.Zaburi 76:2.
 
Sasa turudi kwenye source ya huyo mungu wa Merchizedec alikua Mungu Gani katika Aina ya Ile miungu ya ANNUNAKI?
Kuhani mkuu, nabii, na kiongozi katika Agano la Kale aliyeishi baada ya Gharika na katika wakati wa Ibrahimu. Aliitwa mfalme wa Salemu (Yerusalemu), mfalme wa amani, mfalme wa haki (ambayo kwa Kiebrania ndiyo maana ya neno Melkizedeki), na kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana.

  • Ibrahimu alilipa fungu la kumi kwa Melkizedeki, Mwa. 14:18–20.
  • Watu wa Melkizedeki walitenda haki, na wakaipata mbingu, TJS, Mwa. 14:25–40.
  • Kristo alikuwa kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki, Ebr. 5:6.
  • Melkizedeki alikuwa Mfalme wa Salemu, kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana, Ebr. 7:1–3.
 
Tatizo lako wewe umekomaa na historia nusu ya Wayahudi bila kuona chanzo Cha mwanzilishi wa Imani hiyo Yaani Mzee abrahamu na Jamii alizotokea Mimi nimeanza kuchimbua historia ya Abraham kabla hajahama na baba yake Mzee Terra kutoka uru ya wakaldayo mpaka kwenye marago ya kaanani na kuweka makazi pale,
Sasa utamtenganishaje babu ya Wayahudi na Mila za Mesopotamian?
Kwanza huyo Mzee mwenyewe alikua anaabudu miungu ya waashuru mpaka pale Merchizedec mtawala wa Salem alipompa ujuzi wa Mungu El Murduc hapo ndipo jamaa akachange akaanza Jenga madhabahu za Mungu El na kumwabudu
HUJUI VITU VINGI KAJIFUNZE KWANZA KUTOKA JINA ABRAHAMU HADI IBRAHIMU,PIA ALIANZA KUITWA NA YHWH AU MELCHZEDECK


WEWE NJOO NA HIZO STORY ZA PAUKWA PAKAWA

BIBLIA INGEKOPI HUKO KWENYE UPAGAN MNAKOLAZIMISHA ISINGEJITOSHELEZA HIVI

Yesu alisema katika Mathayo 24:2, "...amin, amin nawaambieni, halitasalia hapa jiwe ambalo halitabomoshwa".

Hii ni baada ya wanafunzi wake kumuonesha mawe ya hekalu na misingi yake ilivyo imara.

Hekalu lilikuja kubomolewa miaka 70 AD. Na sasa eneo hilo lilipokuwepo hekalu limejengwa msikiti.
Baada ya hekalu kubomolewa kabisa mpaka misingi yake na Warumi mwaka 70 A.D, halikuwahi kujengwa tena.

NINA USHAHIDI 10000000 KILICHOSEMWA NA BIBLIA NA KUTOKEA .....ACHANA NA NGONJERA ZENU
 
HUJUI VITU VINGI KAJIFUNZE KWANZA KUTOKA JINA ABRAHAMU HADI IBRAHIMU,PIA ALIANZA KUITWA NA YHWH AU MELCHZEDECK


WEWE NJOO NA HIZO STORY ZA PAUKWA PAKAWA

BIBLIA INGEKOPI HUKO KWENYE UPAGAN MNAKOLAZIMISHA ISINGEJITOSHELEZA HIVI

Yesu alisema katika Mathayo 24:2, "...amin, amin nawaambieni, halitasalia hapa jiwe ambalo halitabomoshwa".

Hii ni baada ya wanafunzi wake kumuonesha mawe ya hekalu na misingi yake ilivyo imara.

Hekalu lilikuja kubomolewa miaka 70 AD. Na sasa eneo hilo lilipokuwepo hekalu limejengwa msikiti.
Baada ya hekalu kubomolewa kabisa mpaka misingi yake na Warumi mwaka 70 A.D, halikuwahi kujengwa tena.

NINA USHAHIDI 10000000 KILICHOSEMWA NA BIBLIA NA KUTOKEA .....ACHANA NA NGONJERA ZENU
hahaahaaa daaaaa Wewe jamaa ni janga kweli kweli naona umekomaa Hadi mishipa imekutoka,eti biblia imejitosheleza yaani ulivyo mweupe unaamini biblia ilianza kabla ya civilization na sio ilikuja baada ya civilization zote kupita na kukopi huko maandiko na masimulizi
Tatizo lako Moja nimegundua wewe ni mfuasi wa dini za Abrahamic Ndio Tatizo lilipo unaendeshwa na mahaba ya hizo dini za middle east Ndio maana upo hapa kutetea Mabwana zako,
Na inaonesha hujui hata mwanzo wa hicho unachokiamini zaidi ya kukariri hicho kitabu chako unachoamini Ndio njia ya uzima,

Anyway endelea kuabudu hao mababu za wayahudi ipo siku watakupeleka pahali panaitwa mbinguni ukaenjoy ewe
black man!
😁😁😁😁😁
 
UNALETA POROJO TU ,UNAWEZA KUIPINGA BIBLIA WEWE?

Biblia iliandikwa katika kipindi cha miaka 1,600 hivi. Historia na unabii unaopatikana ndani yake unahusiana na serikali saba kuu za ulimwengu: Misri, Ashuru, Babiloni, Umedi na Uajemi, Ugiriki, Roma, na Muungano wa Uingereza na Marekani. Serikali hizo saba zitazungumziwa katika mfululizo wa makala saba. Kusudi la makala hizo ni nini? Kuonyesha kwamba Biblia inategemeka na imeongozwa na roho ya Mungu na kwamba ujumbe wake unatoa tumaini—tumaini la kwamba matatizo yanayosababishwa na utawala mbaya wa wanadamu yatakwisha.

Yeremia na Ezra wanataja pia kuhusu Farao Shishaki aliyeivamia Yuda, wakitaja kihususa kwamba uvamizi huo ulitukia “katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu [wa Yuda],” au 993 K.W.K. (1 Wafalme 14:25-28; 2 Mambo ya Nyakati 12:1-12) Kwa muda mrefu sana, habari pekee iliyopatikana kuhusu uvamizi huo ilikuwa ile ya Biblia. Kisha mchoro ukapatikana katika ukuta wa hekalu la Karnak (Thebesi ya kale) huko Misri.

Mchoro huo unamwonyesha Shishaki akiwa amesimama mbele ya mungu Amoni, mkono wa Shishaki ukiwa umeinuliwa akiwachinja mateka. Pia majina ya miji ya Israeli iliyoshindwa imeandikwa katika mchoro huo, na mengi ya miji hiyo inahusianishwa na maeneo yanayotajwa katika Biblia. Zaidi ya hilo, maandishi hayo yanataja “Shamba la Abramu”—na hayo ndiyo maandishi ya kale zaidi ya Misri kumtaja mzee wa ukoo Abrahamu anayetajwa katika Biblia.—Mwanzo 25:7-10.

MELKIZEDEKI alikuwa mfalme wa Salemu ya kale na “kuhani wa Mungu Aliye juu sana,” Yehova. (Mwanzo 14:18, 22) Yeye ndiye kuhani wa kwanza anayetajwa katika Maandiko; Akiwa mfalme wa Salemu, jina limaanishalo “Amani,” Melkizedeki atambulishwa na mtume Paulo kuwa “Mfalme wa Amani” na, kwa msingi wa jina lake, anatajwa kuwa “Mfalme wa Uadilifu.” (Waebrania 7:1, 2) Salemu ya kale yaonwa kuwa ndiyo chanzo cha jiji lililotokea baadaye la Yerusalemu, na jina lake likaja kuwa sehemu ya jina la jiji hilo la Yerusalemu, ambalo mara nyingine huitwa “Salemu.Zaburi 76:2.
Wewe jamaa una vituko wapi nimeipinga biblia?
Kwanza Hiyo biblia hua naisoma kama kitabu Cha marejeo tu na ni kitabu kama vitabu vingine vya morals and dogma chenye masimulizi ya kujenga na ya kihistoria ila hata chenyewe hakijakamilika kama unavyotupiga Kamba hapa eti imekamilika wakati hata waandishi wa hio biblia kitu wanachokikataa na wamekuambia nenda kasome vitabu vilivyo nje bible Ili uunganishe dot halafu wewe unakomaa hapa oooh imekamika kati ya Mimi na wewe nani mwongo?
Kingine umeanza kutupiga fix zako hapa za kuwa bible imetaja mpaka nchi za Uingereza na USA kitu ambacho ni uongo mkubwa na propaganda utaweza thibitisha Hilo?
 
Miaka 2 m umepata wapi wakati modern human kulingana na evolution alitikea miaka laki mbili iliyopita?
Hizi habari zipo kwa biblia, katika sehemu nyingi biblia imeonyesha kuwa ni kitabu sahihi kihistoria. Mambo mengi ya kihistoria yaliyozungumzwa na biblia yameonekana kuwa ni kweli.
Achana nae...

Huwa anakurupuka sana.
 
Mambo yaliyo juu ya uwezo wako ni mepesi na si kitu mbele za mungu, kitendo cha mariam kupata mimba bila kufanya tendo la ndoa na mwanaume yeyote ni muujiza tosha na ni ishara kwamba kwa mungu kuna uwezekano akawa na mtoto bila kuwa na mke
Ungekuwa Yusufu ungekubali hiyo mimba kama Yako?
 
Malaika walikuwa beings kutokea sayari zingine nje ya our Solar system. Watu Hawa walikuwa wenye teknolojia ya juu sana kuwawezesha kusafiri interstellar space Hadi duniani na wakaitwa na wayahudi Elohim(powerful ones/wenye nguvu), pia wakaitwa Anunnaki kule Sumeria, ndio miungu wa Kigiriki kama vile Zeus, ndio miungu ya Misri ya kale, ndio miungu ya Wahindi na walisafiri Kwa vyombo vilivyojulikana Kama Vimana(uwezo wa kusafiri duniani Hadi Kwa mwezi) na Garuda(chombo kiliweza kusafiri interstellar space Yani kutokea Kwa jua Hadi jua nyingine).
 
Kibiblia Abel hakua na mtoto but Cain alikua na watoto, however Biblia huwa inaongelea kizazi cha Seth maana ndio lineage ya Yesu na wao pekee ndio walianza kumuabudu Mungu Yahweh/Elohim.

Ukisoma mwanzo 5 inaonyesha Seth ndio replacement ya Abel na ndio waliokua wana wa Mungu.

Wana wa Cain tokea issue ya laana ndio wakawa marginalized na Biblia, wanasifiwa tu kwa ujuzi wao wa kugundua silaha na vyuma n.k ila hawaonyeshwi kuwa na affiliation na Mungu Yahweh.

Hivyo basi kibiblia inaonyesha wanefili ni mixture ya Wanadamu na Hao malaika wachafu. Ambao ndio waliwafundisha hizo teknolojia kali.

Since gharika liliangamiza vizazi vyote (Kibiblia dunia ilikia centered around middle East maana ilikua ni bara moja tu) therefore kizazi chote cha Cain kilifia hapo
Yahweh ni tofauti sana na Elohim. Elohim maana yake ni the powerful ones Yani iko plural au Kwa wingi.
 
kinachofanya niamini kuwa garikani ni tukio la kweli na lilitukia na kufunika Dunia mzima ni kitendo cha Baadhi ya mabaki ya viumbe Bahari kupatikana jangwani.
nje na maandiko ya Bible hii ni moja fact muhimu kwangu ya kuamini kuwa garika sio ngano bali ni kitu halisi.
jambo la muhimu tunaeendelee kunifunza.
ila kwangu mimi hakuna maktaba nzuri kama biblia.
Gharika Hii katokana na nyakati za Ice age? Na ni ice age ipi? What if gharika kaletwa na introduction ya mwezi Kwa orbit ya Dunia?
 
Haina hata haja ya kubishana kuhusu origin ya mwanadamu na uwepo wa Mungu kwa maneno. Maana hatusaidiki kukataa au kukubali na kuamini yale tusiyoyafahamu kwa uthibitisho

Tuingie mtaani tukajifunze yanayotendeka LEO hii, tuifahamu nguvu inayotumika kutenda na asili ya nguvu hiyo kisha turudi kumjadili Homosapiens na Adam
 
Back
Top Bottom