Miaka, toka kuumbwa kwa adamu hadi kufa kwa Abrahamu. Umeona nini?

Miaka, toka kuumbwa kwa adamu hadi kufa kwa Abrahamu. Umeona nini?

lazima iwaongelee maana masimulizi mengi Kwenye bible verses wamecopy Kwenye Accient writings za Mesopotamian!
Sawa.
nini hasa kinafanya waandishi wa biblia ndiyo wawe wamekopi na sio kinyume chake?

hivi unajua masimulizi Mafuriko makubwa ya kufunika Dunia na watu kadhaa kuokolewa katika mtumbwi yalikuwepo kuanzia:,

Africa
Asia
Ulaya
na America ya kusini.

Sasa nani nani alimkopi mwenzie?.
je, cultures za America ya kusini nao walienda Sumeria kukopi masimulizi hayo?.

mimi kuwepo kwa simulizi ili kila jamii(japo linasimuliwa kwa namna tofauti tofauti) hakunifanyi ni hisi ni tungo badala yake kunifanya nijue madai ya biblia kuwa wakati fulani watu waliwai kuwa sehemu moja ni kweli mtupu ndiyo maana wanastory za kufanana.
 
rudia kusoma ulichokiandika then utatambua nani mpumbavu.
unaandika vitu unconscious then ukikumbushwa unawakia kwenye gia.
Shida nini hasa, au hiyo mimba ya uzeen ndiyo inakupa changamoto ya kupoteza kumbukumbu haraka?.
Usitafute kiki kwangu. Shenz type
 
Mzee upinde wa mvua haujaletwa na matokeo ya gharika. Hiyo ni pure science Mzee. Pale maji yanapoingiliana na mwanga katika angle fulani unapata rangi saba za light.

Mzee hiyo ni practical unaweza kuifanya kwenye maabara. Watoto na watu wasio na elimu ya sayansi unaweza kuwadanganya kuhusu upinde wa mvua kuwa ni agano.
Huwezi ona upinde wa mvua usiku.
Umenikumbusha practical ya light form 3. Halafu mtu anasema baada ya gharika ila imani hizi basi tu
 
Usitafute kiki kwangu. Shenz type
siwezi tafuta kiki kutoka kwa mtu aliebadili jinsia.
alafu mimi mwenyewe kik how come nitafute kikizingine?.
unabahati we haramu kwangu na ulivyo mlaini hivyo🙂🙂.
et, shenz type.teh teh rate ya ngoshas inaporomoka mithili ya Barafu ya Mt kilimanjaro.
 
Sawa.
nini hasa kinafanya waandishi wa biblia ndiyo wawe wamekopi na sio kinyume chake?

hivi unajua masimulizi Mafuriko makubwa ya kufunika Dunia na watu kadhaa kuokolewa katika mtumbwi yalikuwepo kuanzia:,

Africa
Asia
Ulaya
na America ya kusini.

Sasa nani nani alimkopi mwenzie?.
je, cultures za America ya kusini nao walienda Sumeria kukopi masimulizi hayo?.

mimi kuwepo kwa simulizi ili kila jamii(japo linasimuliwa kwa namna tofauti tofauti) hakunifanyi ni hisi ni tungo badala yake kunifanya nijue madai ya biblia kuwa wakati fulani watu waliwai kuwa sehemu moja ni kweli mtupu ndiyo maana wanastory za kufanana.
Ngoja nikwambie kitu kimoja ambacho labda hukijui
Wakati Dunia inatembelewa na viumbe kutoka anga za juu,Yaani alien invasion wakuitwa ANNUNAKI nyakati zile za kale walitua mlima Hermon na wakasambaa Kwenye jamii nyingi sana wakieneza ustaarabu mkubwa sana kuanzia kuwatoa Watu kutoka kua primitive mpaka kua modern human lengo lao kubwa walitaka collaboration kutoka Kwa wenyeji wa Duniani na wakasambaa Kwenye jamii nyingi kama Assyrian, Sumerian, Babylon, Egyptian,Dogon,Kush, Aztec, Maya, Peru, Indus valley, china, India na inasadikika wakajenga base Yao kubwa huko Antarctica
Na ndio maana ukienda sehemu hizo utaona ustaarabu unao fanana Kwa kiasi kikubwa kuanzia utamaduni,Uhandisi, Hesabu, Tiba na mambo mengine na Hao Alliens walikuja Kwa project Moja kubwa ilikua ni kuchimba gold
Na ndio maana utaona bronze za utambulisho wao gold na ndio signs za waabudu miungu wengi utaona wanapamba vitu Kwa dhahabu kwenye vinyago vyao,mahekalu na madhabahu zao
walikua hawafanyi vile kujifurahisha la hasha Bali baada ya viumbe wale kurudi kwenye sayari zao Watu wakaanza kuwaabudu kama miungu wakitegemea ipo siku watarudi na zile Neema walizowaachia,
Huo ukawa mwanzo wa kuzaliwa Kwa Dini na Imani na ndio maana ukienda kwenye jamii za wa Aztec, Maya na Peru wao walitoa mpaka kafara za Binadamu kama sadaka wakiamini ya kwamba wale miungu walioondoka Miaka Ile warudi na huu utamaduni ukiendelea mpaka Miaka ya 1500"s pale Hernan Cortez the conquistador alipowakomesha Kwa kuwavamia na alikuata gold nyingi mno kwenye mahekalu Yao ambazo waliziweka wakiamini ipo siku miungu jua watarudi kuzichukua!

Hapa utapata mwanga kwanini jamii hizo zilifanana kiutamaduni maana huko kote Kuna Pyramids ambazo ndio utambulisho wa ANNUNAKI !
 
Inaonekana ni dunia nzima. Kuhusu upinde wa mvua, inaonekana kabla ya Noah mvua ilikuwa hainyeshi, bible inasema ardhi ilinyeshwa kwa umande. Na ndiyo sababu watu walishindwa kumuamini Noah. So upinde ukaanza kuonekana baada ya mvua kuanza.
hivi unajua ukimwangilizia maji kwa kutumia mpira lile jua likipiga kwenye yale maji unaona rainbow...., ( reflection, refraction and dispersion of light in water droplets resulting in a spectrum of light ...)

Hao hapo wakati namwagilizia Mungu anajaribu kuniambia nini ?
 
Ukiangalia hiyo chart Kuna watu Wana miss au hawajawekwa je ? Je Hawa watu ni watoto wa nani? Kaini ma Abeli ni watoto wa nani?
Kibiblia Abel hakua na mtoto but Cain alikua na watoto, however Biblia huwa inaongelea kizazi cha Seth maana ndio lineage ya Yesu na wao pekee ndio walianza kumuabudu Mungu Yahweh/Elohim.

Ukisoma mwanzo 5 inaonyesha Seth ndio replacement ya Abel na ndio waliokua wana wa Mungu.

Wana wa Cain tokea issue ya laana ndio wakawa marginalized na Biblia, wanasifiwa tu kwa ujuzi wao wa kugundua silaha na vyuma n.k ila hawaonyeshwi kuwa na affiliation na Mungu Yahweh.

Hivyo basi kibiblia inaonyesha wanefili ni mixture ya Wanadamu na Hao malaika wachafu. Ambao ndio waliwafundisha hizo teknolojia kali.

Since gharika liliangamiza vizazi vyote (Kibiblia dunia ilikia centered around middle East maana ilikua ni bara moja tu) therefore kizazi chote cha Cain kilifia hapo
 
hekaya za kitoto kivipi wakati jamii zote za Assyrian, Sumerian, Babylon, Egyptian, Kush, Aztec, Maya, Peru, Indus valley, china Wote Wana Accient writings kuwahusu Hawa viumbe mpaka ushahidi upo ya kwamba ndio viumbe wa kwanza kuwapa ustaarabu Watu?
Kuna mpaka michoro na bronze zake zikowaonesha viumbe Hawa wakiwa kama miungu waliotoka anga za juu na kuja Duniani Kwa mission maalumu,
Nenda Kasome kuhusu
Rama setu bridge lililokatiza bahari huko Tamil Nadu to Sri Lanka lilijengwa maelfu ya Miaka BC Kwa kutumia teknolojia ya Hali ya juu sana na katika hizo hizo hekaya za kihindi zinasema walijenga Vanaras viumbe kutoka galaxies za juu huko!

Ktakuaje hekaya zifanane Kwa Kila jamii?
Biblia haikatai uwepo wa early civilization ila ukisoma mwanzo 6 na pia Yuda 13, and ufunuo kuhusu kuzimu ya Euphrates, na genealogy ya Cain kwenye mwanzo 4 utaona ni kwamba Biblia inasema hao viumbe WANEFILI ndio walikua mixture ya Extraterrestrial beings na binadamu.

So haipingi ila haijaweka wazi kwamba wanefili waliexist before Adam ila inakiri kuwa walikuepo na watakuwepo among us.

Sema wanefili ukienda kwa Quran utaskia ni AD people, ukienda kwa kina Gilgamesh utaskia Enkidu na Utnapishtim, ukienda kwa waebrania utaskia Annak people n.k

Hyo ndio theological perspective at least from a neutral point of view
 
hivi unajua ukimwangilizia maji kwa kutumia mpira lile jua likipiga kwenye yale maji unaona rainbow...., ( reflection, refraction and dispersion of light in water droplets resulting in a spectrum of light ...)

Hao hapo wakati namwagilizia Mungu anajaribu kuniambia nini ?
Ni kweli, ila swala lililopo ni kuwa kabla ya gharika hakujawahi kuwa na upinde wa mvua sababu hakujawahi kuwa na mvua kabla ya gharika. Dunia ilinyeshwa kwa ukungu na umande.
 
Mkuu hivi huyu ndie Nabii Hud wa kwenye Suray Hud ya Quran aliyeenda kuwahubiria Watu wa Ad (Giants) kabla ya gharika?
Hili sijawahi lijua. Lakini biblia kwenye mwanzo 6 inataja juu ya magiants(wanefili/nephillim) waliozaliwa kati ya binadamu na malaika. Waliokuwa hodari sana na waovu. Inawezekana vinahusiana na hiyo sura.
 
Ngoja nikwambie kitu kimoja ambacho labda hukijui
Wakati Dunia inatembelewa na viumbe kutoka anga za juu,Yaani alien invasion wakuitwa ANNUNAKI nyakati zile za kale walitua mlima Hermon na wakasambaa Kwenye jamii nyingi sana wakieneza ustaarabu mkubwa sana kuanzia kuwatoa Watu kutoka kua primitive mpaka kua modern human lengo lao kubwa walitaka collaboration kutoka Kwa wenyeji wa Duniani na wakasambaa Kwenye jamii nyingi kama Assyrian, Sumerian, Babylon, Egyptian,Dogon,Kush, Aztec, Maya, Peru, Indus valley, china, India na inasadikika wakajenga base Yao kubwa huko Antarctica
Na ndio maana ukienda sehemu hizo utaona ustaarabu unao fanana Kwa kiasi kikubwa kuanzia utamaduni,Uhandisi, Hesabu, Tiba na mambo mengine na Hao Alliens walikuja Kwa project Moja kubwa ilikua ni kuchimba gold
Na ndio maana utaona bronze za utambulisho wao gold na ndio signs za waabudu miungu wengi utaona wanapamba vitu Kwa dhahabu kwenye vinyago vyao,mahekalu na madhabahu zao
walikua hawafanyi vile kujifurahisha la hasha Bali baada ya viumbe wale kurudi kwenye sayari zao Watu wakaanza kuwaabudu kama miungu wakitegemea ipo siku watarudi na zile Neema walizowaachia,
Huo ukawa mwanzo wa kuzaliwa Kwa Dini na Imani na ndio maana ukienda kwenye jamii za wa Aztec, Maya na Peru wao walitoa mpaka kafara za Binadamu kama sadaka wakiamini ya kwamba wale miungu walioondoka Miaka Ile warudi na huu utamaduni ukiendelea mpaka Miaka ya 1500"s pale Hernan Cortez the conquistador alipowakomesha Kwa kuwavamia na alikuata gold nyingi mno kwenye mahekalu Yao ambazo waliziweka wakiamini ipo siku miungu jua watarudi kuzichukua!

Hapa utapata mwanga kwanini jamii hizo zilifanana kiutamaduni maana huko kote Kuna Pyramids ambazo ndio utambulisho wa ANNUNAKI !
unachokiandika hapa ninakijua na kwa wakati
fulani nimewai kuwasimulia kitu hiki wana wangu.
nadhani tunapoachania njia ni kuhusu tukio la garika:, sijajua msimamo wako ni upi kuhusu garika "kwako garika ni ngano zilizotungwa na watu tu, ama unakubali garika ni tukio halisi ila sumerian walilisimua kwanza then wayaudi wakalichukua/kuiba na kuliweke katika vitabu vyao?.
iki ndicho kitu pekee ambacho sijakijua toka kwako.
na zaidi:, kuhusu dai la aliens kuanziasha dini ninakubaliana nalo 101%.

mwaka juzi niliwai sikiliza audio moja ya mahojiano ya jamaa mmoja na Dada mmoja kwa maelezo yake huyo dada ana dai ni Allien{kuamini kuwa ni kweli ama si kweli ni baina ya mtu na mtu}.
huyu bidada anaongea mengi sana.
anadai kuwa wao walikuwepo katika hii dunia kabla ya binaadam kuwepo, na wapo hadi leo hii. anadai binadamu ndio wavamizi katika hii dunia.
na hii dunia ili wai kaliwa na Alliens wa aina tofauti tofauti zaidi ya aina 15.
katika hayo maelezo kuna sehemu anaongelea kuhusu dini, anachokiongelea yeye ndicho ulichokiandika hapa.

na zaidi anapinga madai ya wanasayansi wanao dai kwamba Dinosaurs waliuawa na na kimondo. yeye ana dai kwamba:, miaka Milion kadhaa uko nyuma(anaongea kama shuhuda) kulitoka vita ndani ya jamii za Alliens zilizokuwa zikiishi hapa duniani na vita hiyo zilitumika siraha kubwa za nyuklia.
na matokeo ya siraha hizo ndizo ziliua dinosaurs na viumbe wengine wengi(kumbuka Hivi karibuni Gabon wanasayansi waligundua mlipuko wa nyuklia wa miaka million kadhaa iliyopita)
so, madai ya kuwa kimondo kilidondoka na kuua dinosaurs ni uongo bali ni vita ya Alliens ya wao kwa wao.
baada ya vita hiyo Alliens wengine waliondoka na kuelekea sayari zingine ila wao walibaki hapa hadi leo wapo na wanauwezo wa kuchukua umbo la kiumbe yoyote.
ila makazi yao ni hapa,wana dai wao ndio wanyeji wa hii dunia na binadamu wamewakuta hapa.

huyo dada anawaulaum Illojim, illojim waliitembelea hii dunia kwa mara kwanza na wakaumba binadamu(sisi) then illojim wakaondoka kurudi walikotokea.
baada ya miaka maelfu kadhaa wakarudi tena,wakakuta ninabinadamu wameongezeka ila hawamu hii waliporudi walizuia binadamu kushirikiana nasi kwa madai kuwa sisi(jamii ya huyo dada) ni viumbe waovu.
[Ngoja nifupishe story]
then illojim waliondoka na kuahidi kurudi, ila hadi leo ni maelfu ya miaka Hawajarudi tena.
sasa anasema:, katika binadamu kuna mgawanyiko, wapo wanao amini kuwa sisi ni viumbe waovu kama walivyo ambiwa na waumbaji wao(ILLOJIM) na wapo wanatuchukulia kuwa sisi ni viumbe rafiki kama viumbe wengine.
Nb:
Aisee, ninaandika uku nimeshatumia mmea na lager sijui ikiwa ninaeleweka.
very sorry kwa kutoeleweka kwa baadhi ya sentence.
 
Ni kweli, ila swala lililopo ni kuwa kabla ya gharika hakujawahi kuwa na upinde wa mvua sababu hakujawahi kuwa na mvua kabla ya gharika. Dunia ilinyeshwa kwa ukungu na umande.
na maziwa bahari na mito nayo ilifluctuate kwa ukungu na umande ? Au rate of evaporation katika water bodies kipindi hicho ilikuwa ndogo.., Na vipi huko antartica na kwenye baridi na snow ? au navyo vilikuja baadae baada ya the Almighty kubadilisha mawazo....
 
Ngoja nikwambie kitu kimoja ambacho labda hukijui
Wakati Dunia inatembelewa na viumbe kutoka anga za juu,Yaani alien invasion wakuitwa ANNUNAKI nyakati zile za kale walitua mlima Hermon na wakasambaa Kwenye jamii nyingi sana wakieneza ustaarabu mkubwa sana kuanzia kuwatoa Watu kutoka kua primitive mpaka kua modern human lengo lao kubwa walitaka collaboration kutoka Kwa wenyeji wa Duniani na wakasambaa Kwenye jamii nyingi kama Assyrian, Sumerian, Babylon, Egyptian,Dogon,Kush, Aztec, Maya, Peru, Indus valley, china, India na inasadikika wakajenga base Yao kubwa huko Antarctica
Na ndio maana ukienda sehemu hizo utaona ustaarabu unao fanana Kwa kiasi kikubwa kuanzia utamaduni,Uhandisi, Hesabu, Tiba na mambo mengine na Hao Alliens walikuja Kwa project Moja kubwa ilikua ni kuchimba gold
Na ndio maana utaona bronze za utambulisho wao gold na ndio signs za waabudu miungu wengi utaona wanapamba vitu Kwa dhahabu kwenye vinyago vyao,mahekalu na madhabahu zao
walikua hawafanyi vile kujifurahisha la hasha Bali baada ya viumbe wale kurudi kwenye sayari zao Watu wakaanza kuwaabudu kama miungu wakitegemea ipo siku watarudi na zile Neema walizowaachia,
Huo ukawa mwanzo wa kuzaliwa Kwa Dini na Imani na ndio maana ukienda kwenye jamii za wa Aztec, Maya na Peru wao walitoa mpaka kafara za Binadamu kama sadaka wakiamini ya kwamba wale miungu walioondoka Miaka Ile warudi na huu utamaduni ukiendelea mpaka Miaka ya 1500"s pale Hernan Cortez the conquistador alipowakomesha Kwa kuwavamia na alikuata gold nyingi mno kwenye mahekalu Yao ambazo waliziweka wakiamini ipo siku miungu jua watarudi kuzichukua!

Hapa utapata mwanga kwanini jamii hizo zilifanana kiutamaduni maana huko kote Kuna Pyramids ambazo ndio utambulisho wa ANNUNAKI !
🐵🐕‍🦺🦁 haya ndo madhara ya kuchanganyikiwa ndugu zangu unajenga juu ya mchanga badala ya kujenga juu ya MWAMBA?? subiri mafuriko yakuje uone🦍
 
Back
Top Bottom