Miaka, toka kuumbwa kwa adamu hadi kufa kwa Abrahamu. Umeona nini?

Miaka, toka kuumbwa kwa adamu hadi kufa kwa Abrahamu. Umeona nini?

Adam atafufuliwa na hao mitume wote pia watafufuliwa kama sisi kwa mujibu ya imani yangu ya dini ya kiislam. Sijuwi wenzangu Wakristo imani yenu inasemaje kuhusu kufufuliwa kwa Adamu?
Hakuna kitu kama kufufuliwa...

Ukifa basi...
 
Namwamini mungu baba mwenyezi
Muumba mbingu na nchi
Na yesu kristo mwana wake pekee, bwana wetu
Aliyechukuliwa mimba kwa uweza wa roho mtakatifu
Akazaliwa na bikira mariam
Akateswa zamani za pontio pilato
Akasulubiwa
Akafa
Akazikwa
Siku ya 3 akafufuka
Akapaa mbinguni
Ameketi mkono wa kuume wa mungu baba mwenyezi
Kutoka huko atakuja kuwahukumu wahai na wafu
Namwamini roho mtakatifu
Kanisa takatifu cartholic
Ushirika wa roho mtakatifu
Kufufuliwa kwa mwili
Na uzima wa milele
Amen
 
Adam atafufuliwa na hao mitume wote pia watafufuliwa kama sisi kwa mujibu ya imani yangu ya dini ya kiislam. Sijuwi wenzangu Wakristo imani yenu inasemaje kuhusu kufufuliwa kwa Adamu?

Kumbe.
 
Kwahiyo unakubaliana na suala la Nuhu kuweka wanyama wote ndani ya safina!? Mbona issue hii ni simple tu haihitaji rocket science!?

Maana yake Nuhu aliweka wanyama kwenye safina pamoja na chakula cha chao cha kula siku zote hizo mpaka maji yalipokauka.

Kumbuka baada ya gharika, Nuhu alichinja kondoo, maana yake wanyama walikuwa wanazaliana ndani ya safina.

Use common senses kijana. Acha kulishwa matango pori.
Dinosaur ziko wapi katika safina ya Nuhu? woolly mammoths? Sabre tooth
Duuu mkuu hebu gusia hiyo ya mwezi kutokua angani niongezee maarifa Aisee maana haya mambo ni makubwa Sana Kwa sisi tulio free mind tunaenda kuingiza kitu kipya Kila siku!
🙏🙏🙏
Nitakupa hio pia Kwa kifupi...je wajua Wazulu Wana haditthi ya kuwa Mwezi ni kama Ganda la Yai bila Mgando? Kadhibitishwa na NASA baada ya kuangusha module Yao mwezini na sauti iliyotoka kafananishwa na Ile ya kengele(Gong) Kwa muda wa masaa kumi na minne( reverberations).

Greek Philosopher Aristotle kaandika kuwa Kuna watu waliishi kabla ya mwezi kuingia orbit ya Dunia zaidi ya 180,000 years ago.
Gand la Mwezi katengenezwa Kwa chuma alafu kaongezwa mawe juu. Ndio sababu ya craters zake kuwa sawa/Even in terms of depth. Tazama Hii hapa chini utaelewa zaidi.
 
Hebu tupatie hizo ngano
Adamu na Awa
Namwamini mungu baba mwenyezi
Muumba mbingu na nchi
Na yesu kristo mwana wake pekee, bwana wetu
Aliyechukuliwa mimba kwa uweza wa roho mtakatifu
Akazaliwa na bikira mariam
Akateswa zamani za pontio pilato
Akasulubiwa
Akafa
Akazikwa
Siku ya 3 akafufuka
Akapaa mbinguni
Ameketi mkono wa kuume wa mungu baba mwenyezi
Kutoka huko atakuja kuwahukumu wahai na wafu
Namwamini roho mtakatifu
Kanisa takatifu cartholic
Ushirika wa roho mtakatifu
Kufufuliwa kwa mwili
Na uzima wa milele
Amen
Kama Yesu ni Mwana wa Mungu, je Mama yake Yesu ni nani au Bibi/Mke wa Mungu ni nani?
 
Adamu na Awa

Kama Yesu ni Mwana wa Mungu, je Mama yake Yesu ni nani au Bibi/Mke wa Mungu ni nani?
Mambo yaliyo juu ya uwezo wako ni mepesi na si kitu mbele za mungu, kitendo cha mariam kupata mimba bila kufanya tendo la ndoa na mwanaume yeyote ni muujiza tosha na ni ishara kwamba kwa mungu kuna uwezekano akawa na mtoto bila kuwa na mke
 
Kwa biblia Dunia haizidi miaka 6000. Kwa uhalisia Dunia ni zaidi ya miaki bilioni 4.5 na binadamu amekuwa muda huo wote ila maafa Kwa njia ya mafuriko, Asteroids, Alien invasion na mengine mengi yamekuwa yakitokea na yataendelea kutokea. We are not the first technologically advanced civilization and neither are we the last.
Muwe mnasoma Biblia mnaielewa, kwa sababu haisemi hivyo kama ulivyoandika wewe hapa.

Biblia inasema hivi, "Hapo Mwanzo Mungu aliziumba Mbingu na Nchi...... "". Baada ya kuwa ameziumba mbingu na nchi, ulipita muda ambao urefu wake haujatajwa na baada ya hapo, mbele ya safari akaamua tena kumuumba Adam, ( na actually hakumuumba siku hiyo kwa sababu alitumia udongo ambao tayari alikuwa ameshauumba huko nyuma miaka mingi ila tunasema alimuumba kwa sababu udongo huo aliupulizia pumzi ya uhai siku hiyo), miaka takribani 6000 iliyopita.
Siku anamuumba Adam, tayari alikuwa ameshaumba mbingu na nchi muda mrefu nyuma, na katika wiki hiyo Mungu hakufanya uumbaji, bali alifanya modification tu ya kile alichokuwa ameshaumba siku ya kwanza kabisa alipokuwa anaumba mbingu na nchi, yaani kile kilichokuwa kipo tayari na kilikuwa kinaonekana kwa macho ya nyama muda huo.

Kwa hiyo kwenye hiyo wiki aliyomuumba Adam, Mungu hakuumba bali alifanya marekebisho tu ya kile alichokuwa ameumba siku nyingi. Kwa hiyo wana Sayansi wanaposema kuna miamba ina mabillion ya miaka, wanakuwa wako sahihi na hawapingani na Biblia. Mungu hawezi kuwadanganya wanadamu, ila anaweza kuwaficha baadhi ya mambo na si kuwadanganya. Nimeongea kwa kifupi na sijui kama unanielewa
 
Hizi stories za adam na Eva ni vigano na visassili vya wa Sumerian vilivyokuwa vikisimuliwa na mtawala mbabe wa dunia, ndugu yangu na rafiki yangu Gilgamesh
Hata hivyo mafuliko yanayoongelewa kwenye kitabu hicho kitakatifu, ni mafuliko yaliyotokea katika nchi aliyokuwa akiitawala Gilgamesh ikijumuisha mji wa UR inasadikika alikotoka Ibrahim.

Kuna mito miwili Tigris na Euphrates inaingia kwenye Persian Gulf, mvua kubwa ilinyesha na kuleta maafa maeneo ya Ur na miji ya karibu.

View attachment 2030014
Eish!!!
jamaa kaleta habari isiyo na chembe ya :, INASEMEKANA " ila umeibuka na kuipinga habari yake kwa kutumia habari yenye vipande vya INASEMEKANA .
Sasa hapa mpotishaji ni huyu mleta habari ambayo hakutia neno INASEMEKANA ama wewe mwenye habari ya inasemekana?.

japo habari yako yenye matege umeiweka kama changamoto tu, ila ulipaswa kui- frame vizuri.
 
Eish!!!
jamaa kaleta habari isiyo na chembe ya :, INASEMEKANA " ila umeibuka na kuipinga habari yake kwa kutumia habari yenye vipande vya INASEMEKANA .
Sasa hapa mpotishaji ni huyu mleta habari ambayo hakutia neno INASEMEKANA ama wewe mwenye habari ya inasemekana?.

japo habari yako yenye matege umeiweka kama changamoto tu, ila ulipaswa kui- frame vizuri.
Toa upumbavu wako hapa. Nimeandika wapi neno INASEMEKANA!? Unadhani mimi ni mbumbumbu kama wewe.
 
Nakuunga mkono mkuu,Dunia Ina muda mrefu sana Toka mwanzo wake,Mimi nakazia hapo kwenye Allien invasion ndio chanzo Cha kuibuka Kwa Hizi dini,Kuna watu hua nawaambia hao viumbe wanaoitwa Mungu,Malaika,shetani,jini na jamii zao nyingi ni Aliens walioivamia Dunia na wakazi wake hapo kale na kuwapa ustaarabu wao,

Kutokana na ujuzi wao mkubwa na uwezo wao wa kufanya mambo ya kushangaza kutokana na kua high science advanced watu wakaanza kuwahusudu kama ni miungu,
Angalia zile civilization za kale kama Sumerians, Assyrian,Misri,Aztec,Indus valley nk lazima utaona masimulizi ya viumbe vya ajabu vilivyotenda mambo makuu na wao kuviita miungu ila wale wote ni Alliens wa kale waliopata kuitembelea Dunia!
Vizuri.
ila nikukumbushe jambo moja "kuna wakati biblia inatumika kama ushahidi wa wale wanaokubali uwepo wa aliens".

Bible inatambua uwepo wa Aliens(Annunak), sio kwamba inakataa, na imewaongelea kwa upana.
ilo tu litoshe kusema kuwa iki unachokiandika hapa leo wao walikijua kitambo.
 
Toa upumbavu wako hapa. Nimeandika wapi neno INASEMEKANA!? Unadhani mimi ni mbumbumbu kama wewe.
rudia kusoma ulichokiandika then utatambua nani mpumbavu.
unaandika vitu unconscious then ukikumbushwa unawakia kwenye gia.
Shida nini hasa, au hiyo mimba ya uzeen ndiyo inakupa changamoto ya kupoteza kumbukumbu haraka?.
 
Tafuta Epic of Gilgamesh.Viongozi wa Dini za Dunia haswa Islam, Christianity na Judaism hawataki wafuasi wao wafahamu haya mambo ili wazidi kuwafyonza Kwa Hali na Mali. Je wajua Kuna nyakati mwezi haukuwa angani?
mbona mi ni Christian na ninazijua hizo story toka niko Msingi na sijawai zuiwa na mtu yoyote?
 
Dinosours waliishi kabla ya wanadamu, hawakuwepo kipindi cha gharika.
hata kama walikuwepo wakati wa Nuhu shida iko wapi Dinosaur kuingizwa ndani ya Safina?.
Safina haikujengwa kwa matakwa Nuhu, Safina ni agizo la Mungu mwenyewe, so kitu kinaposimamiwa na Mungu mwenyewe ondoa akili za kibinadamu.
 
Wakana MUNGU habar zenu (the bible the letter of ALMIGHTY GOD TO humam race ) thanks JESUS for ure grace💯💜❣🙏🤲
 
Vizuri.
ila nikukumbushe jambo moja "kuna wakati biblia inatumika kama ushahidi wa wale wanaokubali uwepo wa aliens".

Bible inatambua uwepo wa Aliens(Annunak), sio kwamba inakataa, na imewaongelea kwa upana.
ilo tu litoshe kusema kuwa iki unachokiandika hapa leo wao walikijua kitambo.
lazima iwaongelee maana masimulizi mengi Kwenye bible verses wamecopy Kwenye Accient writings za Mesopotamian!
 
Back
Top Bottom