Miaka ya 2000 mwanzoni UKIMWI ulikuwa tishio, ule wakati ulikuwa ukipata slim unageuka kuwa kama zombi huku watu wakikuhesabia siku. Tusichukulie poa

Usiombe hali hiyo irudi babu, tutakimbiana! Wagonjwa walikonda balaa! Vichwa vilibaki mafuvu, mifupa mitupu mwili mzima umepotea. Wagonjwa walijiharia vitandani full kukohoa. Kuuguza mgonjwa wa UKIMWI mapaka siku ya kufa ifike ilikuwa shughuli pevu nyumbani mnaachiana zamu usiku na mchana. Ilikuwa ni kasheshe kazeze!
 
Hakukuwa na Arv wala haikujulikana namna ya kujikinga. Is why hali zilikuwa zinafika critical. Lakin ungewakuta watu wamejipanga, ARV, semina na elimu . Hali isingekuwa mbaya sana
 
Tramp kapiga mkwara misaada yake, maisha yataendelea, ARV zitaendelea kupatikana kwa namna nyingine serikali haitakubali wananchi wake wafe kwa kukosa dawa hizo
 
Tramp kapiga mkwara misaada yake, maisha yataendelea, ARV zitaendelea kupatikana kwa namna nyingine serikali haitakubali wananchi wake wafe kwa kukosa dawa hizo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila still chukua hatua mzee
 
Ngoma umeme miwaya ngwengwe luku gridi ya taifa moto..
Hayo meneno yatarudi kwa kasi kitaa!
 
Tramp kapiga mkwara misaada yake, maisha yataendelea, ARV zitaendelea kupatikana kwa namna nyingine serikali haitakubali wananchi wake wafe kwa kukosa dawa hizo
Wewe sema vile tu prem court imestopisha hiyo amri. Else walishaanza kutoa mlio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…