Miaka ya 2000's nlifungua Internet Cafe. Ndipo nlipoanzia kupiga bingo na kupasua mioyo

Miaka ya 2000's nlifungua Internet Cafe. Ndipo nlipoanzia kupiga bingo na kupasua mioyo

Hahahah kila kitu cha zamani kweli kilikuwa kizuri.hata watu walikuwa wakinywa sumu wanalewa tuu.kunywa sumu sasahivi uone dkk 2 unauma ulimi.
Kabisa mambo yamebadilika sana....tena dk 2 nyingi.sekunde tu umekauka. Miaka ile mtu anakunywa sumu anaishia kusinzia tu. Akinyweshwa maji anatapika.
 
Miaka hiyo kutumia saa moja internet ilikuwa tsh 500 hadi 1000. Kumfungulia mtu email ilikuwa tsh 1,000. Ni miaka ambayo nlitengeneza sana pesa. Maana nlikuwa na ofisi mbili za internet.

Moja sinza na nyingine Kijitonyama. Mi nazunguka tu na Baloon kutembelea ofisi. Watu wanachat kupitia Yahoo Messenger au Hotmail. Miaka hiyo kuna Darhotwire. Huko nako tulikuwa tunakutana na wadau mbalimbali na kuunga udugu au kuanzisha mahusiano.

Maisha tumekula sisi miaka hiyo bwana... Watoto walikuwa wabichi kweli kweli milage unakuta bado ipo vizuri haijaenda sana kama hawa wa sasa. Milage imeenda na kuchoka halafu hawana akili.

Miaka hiyo usingesikia mtu analalamikiwa kibamia au nguvu za kiume. Maana kulikuwa na utoshelevu mzuri. Siyo sasa kumejaa minungayembe mtaani.

Anyway...mimi nlikuwa mjanja miaka hiyo siyo kama siku hizi bwege flani tu mademu wananilia pesa zangu na halafu wanalala mitini. Nlikuwa nipo fresh sana Unyakyusa mwingi sana na Unyamwezi. Mastaa kibao wa miaka hiyo nlifanikiwa kuwa check.

Watangazaji,waimbaji na waigizaji....ukiwacheck sasa wamechoooka. Nami nimechoka kidogo akili sababu ya mibangi. Tumetoka mbali sana. Maisha haya zichange muda huu kama unaweza fainali uzeeni.

Sasa nakula nchi tu huku nakuja tibuana mara moja moja na watu humu JF. Maana mimi ni kama Kubwa Jinga, Kubwa Bwege. Acha maisha yaende. Pesa zipo matumizi tu ndo shida. Sometime unaona ukikosa kitu cha kununua basi ununue hata Ugomvi...
Pole kubwa jinga,na bwege nituzie
 
hahahaha hata sasa watakuambia wanakula bata na zama zile tulikuwa wanashamba tu.
 
Nimbuzz
Hi5
Waptrick
MSN.com
skype

Floppy disk
Walkman sony CD

Maisha haya yana kwenda kasi kipindi hiko uwezi kuangalia Video kwenye internet kama ujaweka Flashplayer soft.

Kompyuta za zamani zilisumbua driver kama sound na graphic.
 
Kwa mlioluwa na café enzi hizo Kongole kwenu💪 Mm nlkua nafanya Cafe 1 Somewhere Town You Know! Kuna mzee mmoja alkuwa anakuja kucheck P0rn anakaa more than 2 hr sasa na mm ndio nlkua Server Controll namchekibtu sites anazoperuz asee ilkua ni balaa Sema saiv namm niko napiga mishe zangu kama sio uzembe ningekuwa na Nyumba 5 saiv ukiacha zile za Kivule,Magomeni na Mw/nyamala anyway kagari ninacho cha Kuzugia too japo ka-Toyota Harrier🤣😁
 
Nimbuzz
Hi5
Waptrick
MSN.com
skype

Floppy disk
Walkman sony CD

Maisha haya yana kwenda kasi kipindi hiko uwezi kuangalia Video kwenye internet kama ujaweka Flashplayer soft.

Kompyuta za zamani zilisumbua driver kama sound na graphic.
Zile computer memor Ram 250 MB.... na hard disk 20GB 🤣🤣🤣🤣
 
Nimbuzz
Hi5
Waptrick
MSN.com
skype

Floppy disk
Walkman sony CD

Maisha haya yana kwenda kasi kipindi hiko uwezi kuangalia Video kwenye internet kama ujaweka Flashplayer soft.

Kompyuta za zamani zilisumbua driver kama sound na graphic.
Kbsa ww unajua sana hizi mambo
 
Kwa mlioluwa na café enzi hizo Kongole kwenu💪 Mm nlkua nafanya Cafe 1 Somewhere Town You Know! Kuna mzee mmoja alkuwa anakuja kucheck P0rn anakaa more than 2 hr sasa na mm ndio nlkua Server Controll namchekibtu sites anazoperuz asee ilkua ni balaa Sema saiv namm niko napiga mishe zangu kama sio uzembe ningekuwa na Nyumba 5 saiv ukiacha zile za Kivule,Magomeni na Mw/nyamala anyway kagari ninacho cha Kuzugia too japo ka-Toyota Harrier🤣😁
🤣🤣🤣🤣 Hebu mtafute huyo mzee siku moja aliyekuwa anakuja kuongeza maujuzi..... Utakuta mzee mmoja anaheshimika kitaa... Wanamwita Mzee wa Kanisa au Ustaadhi.
 
  • Thanks
Reactions: Gef
Kwa DAR internet cafe
*sinza kuanzia mugabe mpaka sinza kijiweni.
*magomeni mwembe chai sasa ni marehemu na kuna dada mmoja simkumbuki.
*magomeni mapipa hapo sea boyz na wengine.
*makumbusho milineum tower kwa MC michael na viunga vyake.
*Posta samora hapo na viunga vyake.

Maisha haya
 
🤣🤣🤣🤣 Hebu mtafute huyo mzee siku moja aliyekuwa anakuja kuongeza maujuzi..... Utakuta mzee mmoja anaheshimika kitaa... Wanamwita Mzee wa Kanisa au Ustaadhi.
Huyo mzee alkua na heshima sana enzi hizo alikuwa na Land Cruiser Tx watu wote walikuwa wanamheshimu hapo Stand
 
Kwa DAR internet cafe
*sinza kuanzia mugabe mpaka sinza kijiweni.
*magomeni mwembe chai sasa ni marehemu na kuna dada mmoja simkumbuki.
*magomeni mapipa hapo sea boyz na wengine.
*makumbusho milineum tower kwa MC michael na viunga vyake.
*Posta samora hapo na viunga vyake.

Maisha haya
Tumetoka mbali sana.... Hapa nisiseme sana huchelewi kunigundua mimi ni nani....maana humu ndani ngoja tubaki hivi hivi tu.....🤣
 
Kipindi hicho tupo mzizima ...wanafunzi wanatoka school kwenda kucheki porns kwenye internet cafe za wahindi pale upanga!! Dah time flies so fast!!

Enzi za VHS na VCD...I got my first desktop in early 2000
 
Kipindi hicho tupo mzizima ...wanafunzi wanatoka school kwenda kucheki porns kwenye internet cafe za wahindi pale upanga!! Dah time flies so fast!!

Enzi za VHS na VCD...I got my first desktop in early 2000
Wewe ulikuwa mjanja miaka hiyo kuwa na computer. Mimi laptop yangu nliipata 1999 ilikuwa nzito balaa.... Tunacheza games za karata kwa sana. Baadaye game ya Draft ya kuwavua nguo wale warembo.....
 
Back
Top Bottom