Time flies. Mwaka 2004 napata Ngamizi/Computer yangu ya kwanza IBM toka Jozi kwa Madiba,ina Window 98, RAM 512MB, Floppy Disck, CD writer na Mouse yake ya goroli. Hii ni baada ya Mjomba wangu (RIP) kuzamia huko mwaka 98 na kuja bongo 2004 akiniletea Radio ya CD Aiwa na Amplifier aina ya Kenwood na nikaona nifungue studio. Nikafungua Studio yangu mjini kati. Basi unaambiwa kazi yetu ilikuwa kukopi CD albam kali enzi hizo na kuzichoma katika CD za kawaida kila video tukifanya TSH 2000.
Nakumbuka nimewahi mchomea Mhindi albam ya R.Kelly TP2.com na Coast to Coast ya Westlife kwa Tsh 70k ya wakati huo.
Mtoa mada umenikumbusha mbali sana ngoja niishie hapa.
2000's truly gave me some of the best moments of my life.