Miaka ya 2000's nlifungua Internet Cafe. Ndipo nlipoanzia kupiga bingo na kupasua mioyo

Miaka ya 2000's nlifungua Internet Cafe. Ndipo nlipoanzia kupiga bingo na kupasua mioyo

zama na wakati wake.Kipind cha kuweka windows 95- xp zilitupa pesa sana install windows shiling 50000 alafu unawateja kama 20 siku moja.

Kuingiza nyimbo kwenye CD hii madj wa redio walitamba sana kuuza kazi za wasanii.

Playstation 1 na 2 mara ya kwanza pale sinza majaa wawili wameingiza miaka 90's walipiga pesa.

Enzi za kuuza samaki wa bichi mida ya jioni ni wa shua tu.
Mkuu hapa nadhani umechanganya madesa, ps1 na ps2 zote zimeanza mwaka 2000, ps ndio ilianza mwaka 94 so utakuwa unazungumzia playstation only ila matoleo ya mbele (ps1 na ps2) yenyewe hayakuwepo miaka ya 90s
 
Miaka hiyo kutumia saa moja internet ilikuwa tsh 500 hadi 1000. Kumfungulia mtu email ilikuwa tsh 1,000. Ni miaka ambayo nlitengeneza sana pesa. Maana nlikuwa na ofisi mbili za internet.

Moja sinza na nyingine Kijitonyama. Mi nazunguka tu na Baloon kutembelea ofisi. Watu wanachat kupitia Yahoo Messenger au Hotmail. Miaka hiyo kuna Darhotwire. Huko nako tulikuwa tunakutana na wadau mbalimbali na kuunga udugu au kuanzisha mahusiano.

Maisha tumekula sisi miaka hiyo bwana... Watoto walikuwa wabichi kweli kweli milage unakuta bado ipo vizuri haijaenda sana kama hawa wa sasa. Milage imeenda na kuchoka halafu hawana akili.

Miaka hiyo usingesikia mtu analalamikiwa kibamia au nguvu za kiume. Maana kulikuwa na utoshelevu mzuri. Siyo sasa kumejaa minungayembe mtaani.

Anyway...mimi nlikuwa mjanja miaka hiyo siyo kama siku hizi bwege flani tu mademu wananilia pesa zangu na halafu wanalala mitini. Nlikuwa nipo fresh sana Unyakyusa mwingi sana na Unyamwezi. Mastaa kibao wa miaka hiyo nlifanikiwa kuwa check.

Watangazaji,waimbaji na waigizaji....ukiwacheck sasa wamechoooka. Nami nimechoka kidogo akili sababu ya mibangi. Tumetoka mbali sana. Maisha haya zichange muda huu kama unaweza fainali uzeeni.

Sasa nakula nchi tu huku nakuja tibuana mara moja moja na watu humu JF. Maana mimi ni kama Kubwa Jinga, Kubwa Bwege. Acha maisha yaende. Pesa zipo matumizi tu ndo shida. Sometime unaona ukikosa kitu cha kununua basi ununue hata Ugomvi...
enzi za

1. Raha dotcom
2. Africa online
3. Cats

na wengineo.
 
Mimi nakumbuka nikikuwa na simu yangu ya tatu ilikuwa siemens c55, ilikuwa na game flani linaitwa prince of persia ilikuwa hatari sana.

Simu yangu ya kwanza ilikuwa philips savy maarufu kidole gumba.
 
Time flies. Mwaka 2004 napata Ngamizi/Computer yangu ya kwanza IBM toka Jozi kwa Madiba,ina Window 98, RAM 512MB, Floppy Disck, CD writer na Mouse yake ya goroli. Hii ni baada ya Mjomba wangu (RIP) kuzamia huko mwaka 98 na kuja bongo 2004 akiniletea Radio ya CD Aiwa na Amplifier aina ya Kenwood na nikaona nifungue studio. Nikafungua Studio yangu mjini kati. Basi unaambiwa kazi yetu ilikuwa kukopi CD albam kali enzi hizo na kuzichoma katika CD za kawaida kila video tukifanya TSH 2000.
Nakumbuka nimewahi mchomea Mhindi albam ya R.Kelly TP2.com na Coast to Coast ya Westlife kwa Tsh 70k ya wakati huo.
Mtoa mada umenikumbusha mbali sana ngoja niishie hapa.

2000's truly gave me some of the best moments of my life.
 
Time flies. Mwaka 2004 napata Ngamizi/Computer yangu ya kwanza IBM toka Jozi kwa Madiba,ina Window 98, RAM 512MB, Floppy Disck, CD writer na Mouse yake ya goroli. Hii ni baada ya Mjomba wangu (RIP) kuzamia huko mwaka 98 na kuja bongo 2004 akiniletea Radio ya CD Aiwa na Amplifier aina ya Kenwood na nikaona nifungue studio. Nikafungua Studio yangu mjini kati. Basi unaambiwa kazi yetu ilikuwa kukopi CD albam kali enzi hizo na kuzichoma katika CD za kawaida kila video tukifanya TSH 2000.
Nakumbuka nimewahi mchomea Mhindi albam ya R.Kelly TP2.com na Coast to Coast ya Westlife kwa Tsh 70k ya wakati huo.
Mtoa mada umenikumbusha mbali sana ngoja niishie hapa.

2000's truly gave me some of the best moments of my life.
🤣🤣🤣 Safi sana. Ungeendelea kutiririka usikatishe story .. aiseee kitambo sana. Uncle bado yupo? Huyo mhindi akikuona kwa sasa anacheka sana....
 
Mkuu hapa nadhani umechanganya madesa, ps1 na ps2 zote zimeanza mwaka 2000, ps ndio ilianza mwaka 94 so utakuwa unazungumzia playstation only ila matoleo ya mbele (ps1 na ps2) yenyewe hayakuwepo miaka ya 90s

umazaliwa mwaka gani !.
Ps 1 mwaka 1994 ya kwanza baada ya miezi 5 kutoka inakuja naona kwa jamaa sasa anaishi UK kaletewa. usikalili labda ulikuwa unasubilia vichelewe uje kupokea.
 
Miaka hiyo kutumia saa moja internet ilikuwa tsh 500 hadi 1000. Kumfungulia mtu email ilikuwa tsh 1,000. Ni miaka ambayo nlitengeneza sana pesa. Maana nlikuwa na ofisi mbili za internet.

Moja sinza na nyingine Kijitonyama. Mi nazunguka tu na Baloon kutembelea ofisi. Watu wanachat kupitia Yahoo Messenger au Hotmail. Miaka hiyo kuna Darhotwire. Huko nako tulikuwa tunakutana na wadau mbalimbali na kuunga udugu au kuanzisha mahusiano.

Maisha tumekula sisi miaka hiyo bwana... Watoto walikuwa wabichi kweli kweli milage unakuta bado ipo vizuri haijaenda sana kama hawa wa sasa. Milage imeenda na kuchoka halafu hawana akili.

Miaka hiyo usingesikia mtu analalamikiwa kibamia au nguvu za kiume. Maana kulikuwa na utoshelevu mzuri. Siyo sasa kumejaa minungayembe mtaani.

Anyway...mimi nlikuwa mjanja miaka hiyo siyo kama siku hizi bwege flani tu mademu wananilia pesa zangu na halafu wanalala mitini. Nlikuwa nipo fresh sana Unyakyusa mwingi sana na Unyamwezi. Mastaa kibao wa miaka hiyo nlifanikiwa kuwa check.

Watangazaji,waimbaji na waigizaji....ukiwacheck sasa wamechoooka. Nami nimechoka kidogo akili sababu ya mibangi. Tumetoka mbali sana. Maisha haya zichange muda huu kama unaweza fainali uzeeni.

Sasa nakula nchi tu huku nakuja tibuana mara moja moja na watu humu JF. Maana mimi ni kama Kubwa Jinga, Kubwa Bwege. Acha maisha yaende. Pesa zipo matumizi tu ndo shida. Sometime unaona ukikosa kitu cha kununua basi ununue hata Ugomvi...
Haaa enzi za tagged, myspace, msm messenger, na Yahoo's messenger,

Mileage za watoto kwa sasa zimefunjwa na Badoo!!!
 
Back
Top Bottom