chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
[emoji38] HTC ilikuwa ni simu ya heshima mkuu!
HTC alikuwa smart sana ila kilicho mponza ni jeuri ya bado kuwaza hakuna mpinzani kama BB na Nokia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji38] HTC ilikuwa ni simu ya heshima mkuu!
🤣🤣🤣🤣Aiseeee.....i wish angekuwepo atupe uzoefu wake....ndo maana wabunge wakiwa bungeni wengi wanawaza hayo madude.Umenikumbusha ndugu yangu mmoja ni marehemu Sasa.....alikuwa anaishi maisha ya kipedeshee kwa kuuza CD za ngono......alikuwa anaheshimika Sana Kwa wateja wake.... alikuwa anawauzia mpaka wabunge na mawaziri.......
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aiseeee.....i wish angekuwepo atupe uzoefu wake....ndo maana wabunge wakiwa bungeni wengi wanawaza hayo madude.
Na night kali tulikuwa tunangoja kucheki movie zenye nudity kwenye channel e ya south Africa.Cd na VHS za porno zilikuwa zinauzwa bei sana na kila nyumba ya mkubwa lazima ukute ila kama hana familia ila akiwa na familia zipo chumbani kwake na Tv yake.
Nakumbuka miaka ya 90 ile tabata baracuda yote ni porini dadeki...kinyerezi ni shambani kabisa!! Yaani ukivuka tabata relini tu pale ukipandisha mbele huko ni shambani ,viwanja vya kumwaga ila watu walikuwa hawataki kwenda kuishi.Miaka 90 benzi beach yote,mwenge,tegeta,kimara,tabata,kigamboni,mbagara na airpot ni shamba
Walk man cd sony mkuu umenikumbush mbaliNimbuzz
Hi5
Waptrick
MSN.com
skype
Floppy disk
Walkman sony CD
Maisha haya yana kwenda kasi kipindi hiko uwezi kuangalia Video kwenye internet kama ujaweka Flashplayer soft.
Kompyuta za zamani zilisumbua driver kama sound na graphic.
Kwa mlioluwa na café enzi hizo Kongole kwenu[emoji123] Mm nlkua nafanya Cafe 1 Somewhere Town You Know! Kuna mzee mmoja alkuwa anakuja kucheck P0rn anakaa more than 2 hr sasa na mm ndio nlkua Server Controll namchekibtu sites anazoperuz asee ilkua ni balaa Sema saiv namm niko napiga mishe zangu kama sio uzembe ningekuwa na Nyumba 5 saiv ukiacha zile za Kivule,Magomeni na Mw/nyamala anyway kagari ninacho cha Kuzugia too japo ka-Toyota Harrier[emoji1787][emoji16]
Cd na VHS za porno zilikuwa zinauzwa bei sana na kila nyumba ya mkubwa lazima ukute ila kama hana familia ila akiwa na familia zipo chumbani kwake na Tv yake.
Wadau wa pilau walikuwa wakiingia cafe hawataki computer za mwanzoni!! Utakuta mtu anaenda kujificha mwishoni kabisa ili acheki porns..ukipita unaona mtu katoa macho, jicho jekundu kama kala weed kumbe anacheki pilau. Hadi wamama walikuwa wanalipa kucheki porns
Kufungua page moja kwenye website unafungua unaenda oga, ukirudi unavaa ndo unakuta imefika nusu .ukivaa na kunywa chai ndo inafunguka imekamilika.....
Alikuwa anapata hela nyingi sana..... imagine VCD alikuwa anauza mpaka 80,000/= na zile alizokuwa anasema ni za kibongo( akimaanisha za kiTanzania) aliuza mpaka 100,000/=.......alikufa na ugonjwa wa kisasa baada ya miaka kadhaa ya starehe na kujirusha..... kwenye kumbi za starehe na wanawake mbali mbali🤣🤣🤣🤣Aiseeee.....i wish angekuwepo atupe uzoefu wake....ndo maana wabunge wakiwa bungeni wengi wanawaza hayo madude.
Hiyo sikuitumiaumesahau mig 33 [emoji2][emoji2]
Hiyo ilikuwa ni 2009.Yeaaah.....upo sahihi ilikuwa maarufu sana miaka hiyo ya 2000s hadi mwishoni jamaa yangu akaja akakamatwa aliyekuwa anendesha ule mtandao. Namfahamu vizuri sana yule bwege.
Chai.😅😅Hilo neno sukari...uliwahi kunipa chai nimekurudishia kikombe mkuu.
Hatujambo mkuu..
Niko jf kuangaza watoto wazuri🤣🤣🤣