Miaka ya 2000's nlifungua Internet Cafe. Ndipo nlipoanzia kupiga bingo na kupasua mioyo

Miaka ya 2000's nlifungua Internet Cafe. Ndipo nlipoanzia kupiga bingo na kupasua mioyo

HTC alikuwa smart sana ila kilicho mponza ni jeuri ya bado kuwaza hakuna mpinzani kama BB na Nokia
Saana. Nakumbuka BBM nilikuwaga na mtoto mkali kipindi hiko ndio iko hot. Ilikuwa ni hakuna kulala! 😀
 
Miaka 90 -2000 wenye pikipiki walikuwa wachache na hata muhimbili ikutarajia kuwa na kitengo kwa jina bodaboda wodi yao.

Toyota Baloon,escudo,Mark 2,Pegoti na n.k wajanja wa mjini.

Kubeba sanduku la mkononi unaonekana ndio mjanja.

Posta ndio sehemu kila kitu tanzania unapata mpaka sahii ya raisi.

Ukiishi kino,kijitonyama,masaki,mikocheni,makumbusho na sinza basi unaogopwa na maeneo mengine
 
Miaka 90-2000
Demu anayesoma jangwani anaonekana kichwa sana alafu kicheche
 
Miaka 90-2000
kuna watoto waleo sijui kama wanafahamu jiwe la fatuma.
sijui kama wanafahamu antena ya makopo ya castle na mifupa ya samaki.

Gari ya saibaba na ile iliyokuwa chinja chinja.

Miaka hiyo sabasaba ilikuwa sabasaba kweli na nanenane kweli.

Panasonic,JVC,Nation na hitach uwezi kukosa nyumba ya mtu.

Makongo kipindi cha kina marehemu ngwear na afande miraji.

wemesepetu na kajala mpaka leo walitakiwa waitwe bibi.

Chesko mzee wa matunda alitamba sana clouds fm bado hipo posta karibu na IFM.

Dar ya zamani ilikuwa nzuri sana
 
Ila miaka 90 mpaka 2003 kila eneo lilijulika lina watu waina gani na makuzi gani.
Ukienda TMK ni watu wa kuzamia na mabaharia
ukienda Magomeni ni wauza unga na mashangingi
Ukienda sinza ni wakishua na watafutaji
ukienda mazenzese,buruguni na tandika ni sehemu
za waswahili
ukienda ubungo,gongo lamboto,tabata,airport na mwenge ni wazee wastaafu wa jeshi na waliochelewa kuja mjini kumiliki katikati mjini
ukienda ilala,msimbazi,kinondoni na magomeni kidogo wenye mji wao Mzizima na wajanja wa Dar
Kabisa.... Upo sawa.
 
Miaka 90-2000
kuna watoto waleo sijui kama wanafahamu jiwe la fatuma.
sijui kama wanafahamu antena ya makopo ya castle na mifupa ya samaki.

Gari ya saibaba na ile iliyokuwa chinja chinja.

Miaka hiyo sabasaba ilikuwa sabasaba kweli na nanenane kweli.

Panasonic,JVC,Nation na hitach uwezi kukosa nyumba ya mtu.

Makongo kipindi cha kina marehemu ngwear na afande miraji.

wemesepetu na kajala mpaka leo walitakiwa waitwe bibi.

Chesko mzee wa matunda alitamba sana clouds fm bado hipo posta karibu na IFM.

Dar ya zamani ilikuwa nzuri sana
Chesco mzee wa matunda yupo wapi? Zamani sana. Akina bokoman mwanamkongo man, tewa s tewa, father nagumo fanani comoro?
 
Wadau wa pilau walikuwa wakiingia cafe hawataki computer za mwanzoni!! Utakuta mtu anaenda kujificha mwishoni kabisa ili acheki porns..ukipita unaona mtu katoa macho, jicho jekundu kama kala weed kumbe anacheki pilau. Hadi wamama walikuwa wanalipa kucheki porns
Hawa ndo walikuwa wateja sana.... Akiinuka unamwona anashindwa hata kutembea....jicho jekundu.... Unacheka tu.. anakuja mwingine na makaratasi kibao kama ana issue ya msingi vile. Anakwambia nina issue nyeti nataka computer ya sehemu tulivu. Kumbe anataka akacheck porno.
 
Umenikumbusha myaka hiyo nilimiliki desktop pekee kitaani.
Basi masela walikuwa hawakauki magetoni kipindi hicho nina ots turntable ma dj wa uswazi hawakauki achana na wale wanakuja kucheza need for speed.
Kulikuwa na need for speed underground na mortal combat...baadaye ikaja GTA
 
Miaka 90-2000
kuna watoto waleo sijui kama wanafahamu jiwe la fatuma.
sijui kama wanafahamu antena ya makopo ya castle na mifupa ya samaki.

Gari ya saibaba na ile iliyokuwa chinja chinja.

Miaka hiyo sabasaba ilikuwa sabasaba kweli na nanenane kweli.

Panasonic,JVC,Nation na hitach uwezi kukosa nyumba ya mtu.

Makongo kipindi cha kina marehemu ngwear na afande miraji.

wemesepetu na kajala mpaka leo walitakiwa waitwe bibi.

Chesko mzee wa matunda alitamba sana clouds fm bado hipo posta karibu na IFM.

Dar ya zamani ilikuwa nzuri sana
Wengi hawajawahi hata kulisikia jiwe la fatuma. Ukisikia Kiih.... Tayari jamaa wamo ndani.
 
Miaka hiyo kutumia saa moja internet ilikuwa tsh 500 hadi 1000. Kumfungulia mtu email ilikuwa tsh 1,000. Ni miaka ambayo nlitengeneza sana pesa. Maana nlikuwa na ofisi mbili za internet.

Moja sinza na nyingine Kijitonyama. Mi nazunguka tu na Baloon kutembelea ofisi. Watu wanachat kupitia Yahoo Messenger au Hotmail. Miaka hiyo kuna Darhotwire. Huko nako tulikuwa tunakutana na wadau mbalimbali na kuunga udugu au kuanzisha mahusiano.

Maisha tumekula sisi miaka hiyo bwana... Watoto walikuwa wabichi kweli kweli milage unakuta bado ipo vizuri haijaenda sana kama hawa wa sasa. Milage imeenda na kuchoka halafu hawana akili.

Miaka hiyo usingesikia mtu analalamikiwa kibamia au nguvu za kiume. Maana kulikuwa na utoshelevu mzuri. Siyo sasa kumejaa minungayembe mtaani.

Anyway...mimi nlikuwa mjanja miaka hiyo siyo kama siku hizi bwege flani tu mademu wananilia pesa zangu na halafu wanalala mitini. Nlikuwa nipo fresh sana Unyakyusa mwingi sana na Unyamwezi. Mastaa kibao wa miaka hiyo nlifanikiwa kuwa check.

Watangazaji,waimbaji na waigizaji....ukiwacheck sasa wamechoooka. Nami nimechoka kidogo akili sababu ya mibangi. Tumetoka mbali sana. Maisha haya zichange muda huu kama unaweza fainali uzeeni.

Sasa nakula nchi tu huku nakuja tibuana mara moja moja na watu humu JF. Maana mimi ni kama Kubwa Jinga, Kubwa Bwege. Acha maisha yaende. Pesa zipo matumizi tu ndo shida. Sometime unaona ukikosa kitu cha kununua basi ununue hata Ugomvi...
Yaani Kwa hicho kichwa nilijua lazima unavuts bangi
 
umeacha bangi wee mzee? 😀 au bado unashtua mara moja moja 😀
Sasa unaachaje Bhangi ndugu yangu? Yaani niache bhangi nivute hewa tu? We mwenyewe mbali na kunywa maji kuna vitu vingine unakunywa....uongo?
 
Wazee wa Java tulikuwa tukijifungia ndani kusaka magemu kwenye Waptrick. 😆

Nashangaa watoto wa Android na IOS wanavimba!
Achana games za waptrick na java, watu tumeanza kuperuzi kwa Siemens zile zinatoa mwanga wa orange
 
Wewe ni mwanamke? Utakuwa wa kwanza mimi kumsikia amecheza GTA.
yap ni mwanamke, hio need for sped nilikia siiwezi naona imekaa kiume ume sana lakini GTA na ile sjui ni bar sjui ni club inaitwa MALIBU nimecheza mnoo mpaka bas
 
Back
Top Bottom