De Opera
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 780
- 1,664
Saana. Nakumbuka BBM nilikuwaga na mtoto mkali kipindi hiko ndio iko hot. Ilikuwa ni hakuna kulala! 😀HTC alikuwa smart sana ila kilicho mponza ni jeuri ya bado kuwaza hakuna mpinzani kama BB na Nokia