Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
-
- #21
Kabisa mambo yamebadilika sana....tena dk 2 nyingi.sekunde tu umekauka. Miaka ile mtu anakunywa sumu anaishia kusinzia tu. Akinyweshwa maji anatapika.Hahahah kila kitu cha zamani kweli kilikuwa kizuri.hata watu walikuwa wakinywa sumu wanalewa tuu.kunywa sumu sasahivi uone dkk 2 unauma ulimi.
Pole kubwa jinga,na bwege nituzieMiaka hiyo kutumia saa moja internet ilikuwa tsh 500 hadi 1000. Kumfungulia mtu email ilikuwa tsh 1,000. Ni miaka ambayo nlitengeneza sana pesa. Maana nlikuwa na ofisi mbili za internet.
Moja sinza na nyingine Kijitonyama. Mi nazunguka tu na Baloon kutembelea ofisi. Watu wanachat kupitia Yahoo Messenger au Hotmail. Miaka hiyo kuna Darhotwire. Huko nako tulikuwa tunakutana na wadau mbalimbali na kuunga udugu au kuanzisha mahusiano.
Maisha tumekula sisi miaka hiyo bwana... Watoto walikuwa wabichi kweli kweli milage unakuta bado ipo vizuri haijaenda sana kama hawa wa sasa. Milage imeenda na kuchoka halafu hawana akili.
Miaka hiyo usingesikia mtu analalamikiwa kibamia au nguvu za kiume. Maana kulikuwa na utoshelevu mzuri. Siyo sasa kumejaa minungayembe mtaani.
Anyway...mimi nlikuwa mjanja miaka hiyo siyo kama siku hizi bwege flani tu mademu wananilia pesa zangu na halafu wanalala mitini. Nlikuwa nipo fresh sana Unyakyusa mwingi sana na Unyamwezi. Mastaa kibao wa miaka hiyo nlifanikiwa kuwa check.
Watangazaji,waimbaji na waigizaji....ukiwacheck sasa wamechoooka. Nami nimechoka kidogo akili sababu ya mibangi. Tumetoka mbali sana. Maisha haya zichange muda huu kama unaweza fainali uzeeni.
Sasa nakula nchi tu huku nakuja tibuana mara moja moja na watu humu JF. Maana mimi ni kama Kubwa Jinga, Kubwa Bwege. Acha maisha yaende. Pesa zipo matumizi tu ndo shida. Sometime unaona ukikosa kitu cha kununua basi ununue hata Ugomvi...
🤣🤣🤣🤣Pole kubwa jinga,na bwege nituzie
Daaaah.....utanifanya nitokwe machozi. Raha.Com moja ya mitandao ya kujamiiana ambayo nlisikitika ilipokufa. Na hilo Tangazo lao.....I gotta hook up Raha dot com
Zile computer memor Ram 250 MB.... na hard disk 20GB 🤣🤣🤣🤣Nimbuzz
Hi5
Waptrick
MSN.com
skype
Floppy disk
Walkman sony CD
Maisha haya yana kwenda kasi kipindi hiko uwezi kuangalia Video kwenye internet kama ujaweka Flashplayer soft.
Kompyuta za zamani zilisumbua driver kama sound na graphic.
Kbsa ww unajua sana hizi mamboNimbuzz
Hi5
Waptrick
MSN.com
skype
Floppy disk
Walkman sony CD
Maisha haya yana kwenda kasi kipindi hiko uwezi kuangalia Video kwenye internet kama ujaweka Flashplayer soft.
Kompyuta za zamani zilisumbua driver kama sound na graphic.
🤣🤣🤣🤣 Hebu mtafute huyo mzee siku moja aliyekuwa anakuja kuongeza maujuzi..... Utakuta mzee mmoja anaheshimika kitaa... Wanamwita Mzee wa Kanisa au Ustaadhi.Kwa mlioluwa na café enzi hizo Kongole kwenu💪 Mm nlkua nafanya Cafe 1 Somewhere Town You Know! Kuna mzee mmoja alkuwa anakuja kucheck P0rn anakaa more than 2 hr sasa na mm ndio nlkua Server Controll namchekibtu sites anazoperuz asee ilkua ni balaa Sema saiv namm niko napiga mishe zangu kama sio uzembe ningekuwa na Nyumba 5 saiv ukiacha zile za Kivule,Magomeni na Mw/nyamala anyway kagari ninacho cha Kuzugia too japo ka-Toyota Harrier🤣😁
Huyo mzee alkua na heshima sana enzi hizo alikuwa na Land Cruiser Tx watu wote walikuwa wanamheshimu hapo Stand🤣🤣🤣🤣 Hebu mtafute huyo mzee siku moja aliyekuwa anakuja kuongeza maujuzi..... Utakuta mzee mmoja anaheshimika kitaa... Wanamwita Mzee wa Kanisa au Ustaadhi.
Tumetoka mbali sana.... Hapa nisiseme sana huchelewi kunigundua mimi ni nani....maana humu ndani ngoja tubaki hivi hivi tu.....🤣Kwa DAR internet cafe
*sinza kuanzia mugabe mpaka sinza kijiweni.
*magomeni mwembe chai sasa ni marehemu na kuna dada mmoja simkumbuki.
*magomeni mapipa hapo sea boyz na wengine.
*makumbusho milineum tower kwa MC michael na viunga vyake.
*Posta samora hapo na viunga vyake.
Maisha haya
Just imagine sasa.... Leo hii utamkuta sehemu anausia vijana.....🤣Huyo mzee alkua na heshima sana enzi hizo alikuwa na Land Cruiser Tx watu wote walikuwa wanamheshimu hapo Stand
Saiv wawwza kuta anahangaika kuomba vijana wamdownlodie VPN🤣🤣Just imagine sasa.... Leo hii utamkuta sehemu anausia vijana.....🤣
Wewe ulikuwa mjanja miaka hiyo kuwa na computer. Mimi laptop yangu nliipata 1999 ilikuwa nzito balaa.... Tunacheza games za karata kwa sana. Baadaye game ya Draft ya kuwavua nguo wale warembo.....Kipindi hicho tupo mzizima ...wanafunzi wanatoka school kwenda kucheki porns kwenye internet cafe za wahindi pale upanga!! Dah time flies so fast!!
Enzi za VHS na VCD...I got my first desktop in early 2000
Acha waje tu....mi nipo kila wakati nimejaa tele.