Miaka ya 90 pale uwanja wa ndege mzee Mwinyi aliwahi kunipa hela, fulana kwa mkono wake mwenyewe kisha akanambia maneno haya...

We jamaa umeamua kutuchekesha msibani😀
 
Maisha ya mwanadamu ni hadithi tu....

Ishi utakavoishi hatimaye utaingia mavumbini...

....ukifa tutasimulia habari zako aidha kwa wema au ubaya wako....tujitahidi kuishi kwa wema ili watu wasimuliwe kuhusu wema tulioufanya kwa watu!

Hesabu ya mzee imekamilika naye yupo kwa Mola kupambana na hali yake, vipi wewe na mimi hesabu yetu ipoje?

Tuishi kwa wema....!
 
Naam 🙏
 
Kuhusu hazina kua tupu.......kwani hazina ni makabati ya kuifadhia pesa mkuu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…