Miaka ya themanini Wazo Hill, Bunju, Boko na Tegeta kulikuwa na swala, digidigi na sungura wengi sana. Sasa hivi hawapo

Hata Kimara, Mbezi,Goba kulikuwa na sungura wengi pamoja na nguruwe pori, nimekula sana nguruwe pori kutoka mapori ya Goba/Mbezi na Kimara
 
Sasa kama miaka hiyo nje ya mji ni Magomeni na Ilala au sinza ulitegemea nini maeneo ya Bunju?
 
Miaka ya themanini wasukuma walikua wachache sana Dar.
 
Duuh hii kampeni ina mtu mzito nyuma yake.

Wakuu tukae mkao wa kupata mshtuko mwingine.

Hawa jamaa watawahamisha kweli na hakuna kitu watafanywa.
 
huko mbali SINZA ile kuanzia whiteinn kushuka chini kijiweni mpk Simu 2000 tulikuwa tunaenda kuwinda ndege enzi hizo CHANGANYIKENI kulikuwa na CHATU kabisa tulikuwa tunaogopa kuvuka upande wa CHUO KIKUU
yote tisa 10 mikocheni ile ilikuwa ni BONDE la mpunga mwezi huu watu tunajiandaa kupanda mpunga
hiyo GOBA sasa eeeh hilo li msitu nilikuwa nalisikia tu sikuwahi kukanyaga
 
Shua kabisa mzee wangu aliwahi nunua pori sinza ss hivi kila akinipigia story hizo namuona fala kwa nini alinunua sehemu ndogo akati alikua na uwezo wa kununua ekari kabisa.
SINZA kulikuwa pori ila kulipimwa na hta mabomba ya maji sinza yalianza kabla hata maisha ya watu tunaenda kuwinda NDEGE tunafungua mabomba tunakunywa majihvyo
Sinza hakukuwa na ile mtu sijui ana heka 10 sijui 20
unanunua kiwanja tu kilichopimwa tayari
kwakuwa kulikuwa Pori waliona uvivu kushika viwili viwili yaan hata kimoja mtu alikuwa ananunua anaambiwa na mwenzie kuna viwanja huko SINZA ananunua kwa kujivutaaa pori tuu
edhi hizo tunaenda kuwinda NDEGE nakumbuka mbunge sijui diwani alikuwa MZUNGU zamani

 
Bryson, kiwanja ilikua T.sh 600/=
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…