Moto wa volcano
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 1,148
- 2,815
Hii Dunia imetoka mbali miaka ya nyuma ilikuwa mtu ukimiliki Television mtaa mzima unaheshimika kuna watu hadi walioa kwa sababu ya kumiliki TV na wengine walikuwa wanapata shikamoo kila kona mtaani sababu ya kumiliki TV , ikitokea nyumba inawaka moto mtu alikuwa yupo tayari kumbukumbu zake za picha na nyaraka zake muhimu ziteketee lakini aanze kuikoa TV sasahivi hadi teja anamiliki runinga yake