[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] kumbe kadogooHongera sana dadangu mzuri..
Kipindi hicho sijui ndo nilikuwa mwaka wa kwanza jamaniii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera kwa ID "Khantwe" kufikisha miaka nusu dazeni.
Nilivyo na ID nyingi sijui niichague ipi niifanyie birthday.
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pimbavu [emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi huyo jamaa kwenye avatar bado anashikilia kiti cha Uwaziri?
teh teh teh huwa nashindwa kuiona sehemu ya kucomment.Hahaha sunbaenim...leo umekuja na wewe chitchat? Nishakuwa ahjumma tayari ujue
Wewe pia una miaka sita boss
Yeah
Mbona mi mwenyewe nimeshawasamehe wengi tu lakini nawe ni listi ya wachache ambao sijawasamehe?Habari zenu wakuu,
Leo nimetimiza miaka sita tangu nimejiunga na huu mtandao wetu pendwa (yaani nilijiunga nikiwa kijana mpaka nimekuwa mzee hahaa). Nampongeza sana mwanzilishi wa JamiiForums kwa kuanzisha hii platform maana ni ya kipekee na ina ladha ya peke yake.
Kusema kweli nimejifunza mengi sana kupitia mada za hapa na zimenisaidia sana katika kubadili mtazamo kuhusu maisha achilia burudani zisizokwisha aisee kweli hii ni stress free zone.
Hum ndani kuna kila kitu, kuna wakati utafurahi, utajifunza,utapenda, utapendwa, utahuzunika, utaumia, yote tumeumbiwa wanadamu cha muhimu ni kusonga mbele huku ukimtegemea Mungu na kuzichukua changamoto kama sehemu ya maisha.
Cha mwisho ninashukuru miaka yangu yote hii sijawahi kula ban [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hili nalo la kujivunia eti, si kwamba mimi ni mwema sana kuzidi akina fulani wanaokula ban kila baada ya siku mbili ( siwataji [emoji87]), ni neema tu.
Nawapenda nyoote hata msionipenda naomba niwatakie heri ya Christmas na mwaka mpya.
NB
Kwa mtu yeyote niliyewahi kumkwaza katika kipindi nilichokuwepo Jf naomba anisamehe hata akinifungukia hapa sehemu niliyomkwaza au ambayo huwa namkera. Mimi wengi nimewasamehe bado wachache tu [emoji87][emoji87][emoji87]
Haha sunbae una maneno mtu anaweza kusema anachat na mtu wa miaka 50 unavyojua kuyapanga hayo maneno, asante sana nakuombea pia upate marafiki wema na tayari maombi yameshaanza kujibiwa maana tayari umeshanipata mimi teh.teh teh teh huwa nashindwa kuiona sehemu ya kucomment.
kuna wengine kadri wanapo ongeza umri basi uwezo wao wa kufikiri na hekima hupungua humu ndani lakini kiupande wako kadri umri wako unavyo ongezeka na maarifa yako na busara zako zinazopitiliza kiwango cha lami huzidi kuchanua kama maua nyakati za vuli na kipupwe.
nakutakia tena kheri ya miaka 6 ndani ya JF noona, nyakati hizi jua linapotaka kwenda kupumzika acha nimuombe Mungu mkuu anijaalie nguvu ya marafiki wa ukweli japo nusu tu ya wale unaowamiliki wewe.
ngoja nikutanie kidogo: hivi upo kwenye foleni muda huu?
hahahahaaaa mbona unataka kuniangusha dada yangu.Haha sunbae una maneno mtu anaweza kusema anachat na mtu wa miaka 50 unavyojua kuyapanga hayo maneno, asante sana nakuombea pia upate marafiki wema na tayari maombi yameshaanza kujibiwa maana tayari umeshanipata mimi teh.
Nikijibu swali lako, siko kwenye foleni labda kama sijaelewa swali maana we nae huishiwi vituko.
Nje ya mada, huyo kwenye avatar ni nani?
hahahahaaaa mbona unataka kuniangusha dada yangu.
hivi jana hukubahatika kumsikiliza baba mwenye nyumba akizungumzia ishu ya foleni?
huyu aliye kwenye avatar muda huu anaitwa nikola tesla (July 10, 1856 to January 7, 1943).
Na sisi wenye zaidi ya miaka 8 na hatujawahi kuwa banned tunacomment wapi?
Walai kipindi najiunga ndo nilikuwa nimemaliza Form Six .....
Inategemea mkuu, kama ulijiunga una miaka 19 we bado kijana
Asee ,safi sana.Kimbe mimi mzee.....nina miaka 7 ya JF