Miaka yangu 6 Jf

Hahahaha safi Sana ,uko vzr bibie
Bruno kims nadhani aliwahi kukamatwa kwa kosa la kukashifu polisi

Niliacha FB Ccm walivyotoka Dodoma kuchaguana
Hahaa mimi 2014 ndio nimeacha, nawakumbuka baadhi ya memba akina Kimeta wa Mpui, Bruno Kims, mheshimiwa Bananga, akina Ben daah magroup yalikuwa hot yale
 
Hahahaha, nilichanga km Rafiki tu ,sikua na chama na sikua mchangia Mada za siasa zaidi ya kuzisoma tu

Ingawa washikaji wengi walikua watu wa siasa
Haha mlichangia wote au CCM tu? Mimi nnapojoin alikuwa ndio katoka kuoa
 
Mhenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…