Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Kufanya miamala kwa kutumia M-PESA , Tigopesa , Aitel Money, Halopesa nk ni gharama sana hasa kwa maisha ya Mtanzania.
Siku hizi karibu kila mtu ana akaunti number ya benk, na matawi ni mengi sana nchi nzima. Hata Wakala wa NMB, CRDB wametapakaa kote nchini.
Ni njia rahisi na bei yake ni ndogo ukilinganisha na huu ujinga am ao umeanza.
Ukishindwa kabisa tumia hata konda wa basi akupelekee .
Siku hizi karibu kila mtu ana akaunti number ya benk, na matawi ni mengi sana nchi nzima. Hata Wakala wa NMB, CRDB wametapakaa kote nchini.
Ni njia rahisi na bei yake ni ndogo ukilinganisha na huu ujinga am ao umeanza.
Ukishindwa kabisa tumia hata konda wa basi akupelekee .