MiBS pale ni vipi?

Uko serious Kasie "bibi malovee"??
 
Huduma ya happy end ipo? Naomba tuandalie na warembo wa 4 pisi kali ili tujumuike kwenye mziki.
 
duh sis hapa mwanza tuna cask ila haiko vibaya sana lakini
 
Njooni micasa tabata.unakula mdudu first class na totoz za kimbulu zimekuzunguka
 
Kasie mahaba katika ubora wako, hizo kilo 3 duh hata nikija mwenyewe??, tutamaliza kweli au una familia kubwa😀😀
 
jina kubwa ila huduma mbovu napajua hapo wanazidiwa hata na tips aiseeee........au pale lily's pub
 
Mkuu Kuna maua sana hapo eeeeh!!

Tuanza kujongea mdogo mdogo
hao wapo wengi sana mdau halafu wamekimbia kule ilipo governer nyuma kule nimepasahau jina.....hao nao wapo vizuri kwenye mdudu wa kuchoma daaah halafu sahani zao za mbao mie nilivutiwa mno na pilipili yao.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…