Michael B Jordan na Taraj P Henson wanauhusiano gani na kiswahili?

Kuna watu wanaitwa malaika hawana uhusiano wowote na Tanzania ni majina tu wanayapenda. Wengine hupenda kutumia majina ya nchi au miji. Kuna Paris. Na wengine wanaitwa Kenya.kama Maria Carey mtoto wake mmoja anaitwa Moroccan na Alicia keys mtoto wake mmoja anaitwa Egypt.
 
Bila shaka unamaanisha WHY Did I Get Married... na kama usingeitaja Desparate Housewives, ningesema huyo kivuruge chamdomo bila shaka atakuwa Tasha Smith!

 
Waamerika weusi wanapenda sana kujiita majina ya kiswahili. Kule California kunafanyika sherehe za kwanzaa festival kila December. Na hayo majina yao ya kiswahili huyapata kwa kutumia Google search, mfano unakwenda Google halafu unaandika swahili names boom walaa.
Kuna siku nilipokuwa kule USA nilikutana na mdada mmoja yupo light skin(mix) jina lake anaitwa Malay...a. na kweli ameemdana na jina lake wala halikumtupa😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…