Michael Ballack ndiye mpiga mashuti bora kwenye mchezo wa soka

Michael Ballack ndiye mpiga mashuti bora kwenye mchezo wa soka

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Tangu nimeanza kushuhudia kabumbu miaka ya 1993 mpaka leo nadiriki kusema hakuna mcheza mpira aliyejaaliwa kupiga mashuti kama Michael Ballack. Mjerumani huyu hana mpinzani kabisa, je tunakubaliana wakuu kwa hili?
 
Hayo ni mahaba yako tu mdau.....mie ni rob van persie
Tangu nimeanza kushuhudia kabumbu miaka ya 1993 mpaka leo nadiriki kusema hakuna mcheza mpira aliyejaaliwa kupiga mashuti kama Michael Ballack. Mjerumani huyu hana mpinzani kabisa, je tunakubaliana wakuu kwa hili?
 
05e67566f0bb4ce3166898d3aba837d8.jpeg
688c4f421f75b8ed7fd531572a4c0d18.jpeg
 
Back
Top Bottom