Michael Jackson Alimdharau Mzee Mwinyi, Alijiachia Ka Baba ake

Michael Jackson Alimdharau Mzee Mwinyi, Alijiachia Ka Baba ake

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,277
Reaction score
8,860
ImageUploadedByJamiiForums1452234309.636851.jpg

Hutu tu michael tulikuwa na dharau sana.Tunawekaje miguu juu mbele ya Rais?Au alimwona mzee mwinyi dhaifu.Ingekuwa wakati huu Magufuli angemkata makofi na kumpa masaa 24 awe amerudi kwao.
 
mkuu acha kumsema mfu kwa ubaya hata kama kakosea kumbuka hakuna mkamilifu sisi wote ni wakosaji na mbona ana sifa nyingi tu nzuri kwa nini usizitaje hizo?mojawapo Michael alikuwa mpole na mwema sana kwa watoto wake,muangalie huyu mwanawe Paris anasema nini katika hii video
 
mkuu acha kumsema mfu kwa ubaya hata kama kakosea kumbuka hakuna mkamilifu sisi wote ni wakosaji na mbona ana sifa nyingi tu nzuri kwa nini usizitaje hizo?mojawapo Michael alikuwa mpole na mwema sana kwa watoto wake,muangalie huyu mwanawe Paris anasema nini katika hii video

Mkuu umenikumbusha machungu yaliyoanza kupotea!
Ile siku nililia sana kwa maneno ya huyu mtoto,hadi nimetoa chozi!
 
Hivi kumbe alifanyaga naye mazungumzo,maana stori za mtaani wanasema aliishia uwanja wa ndege
Hili hata mimi niliwahi sikia sana,eti wanasema alikataa sababu bongo kunanuka!
 
Hakuna alipokosea. Ni nidhamu zetu tu za uoga watu wa Africa. Tunaona kama rais ndo mungu
 
Na wale wanaoongea na mh.Rais wakakunja nne,mbona huwasemi,tena mwenyewe kashika mikono kuonyesha unyenyekevu
 
That was a casual pose hata ukimwona mwinyi karelax kifriendly tu jmn. Watanzania mambo mengine mnaboa
 
Back
Top Bottom