Michael Jackson hajawai kuwa na wa kumfananisha naye

Michael Jackson hajawai kuwa na wa kumfananisha naye

Mnyama
pBg1EbmygvQm.jpg
 
Hajamfikia Elvis Presley hata robo.

naam uje na hoja sasa boss wangu..

wote tunamjua elvis ni King of Rock na one of the greatest talents...

Lakini... Je wajua kutokana na guiness Book of records mwanamuziki mwenye mafanikio zaidi kushinda wote waliowahi kuwemo chini ya jua ni MJ?

Je unafahamu tuzo ya mwanamuziki bora wa karne aliichukua MJ mbele ya elvis na wengineo?

sasa kipimo cha kumfikia elvis hebu njoo nacho hapa tuone mpambano
 
SIKU ALIVYOTANGULIA NILIKUWA SIMFAHAMU SASA MEDIA ZOTE ZIKAWA ZINUONGELEA, AISEEH NILIVYOSIKILIZA NYIMBO ZAKE MMMMH MMMMH MMMMMH MMMMH BAAASSS HADI LEO NINABENG""" NAZO ILE ILE KAMA VILE YUPO HAI YAN.HUYU JAMAA NI HATARI SANA KWA KWEL
 
Ukisema alikua na kipawa cha kuimba na kucheza nakuelewa, ukisema alikua na akili sana sikuelewi, hakua na akili yoyote.

Binadam mwenye akili ya kawaida tu kwanza anaanza kujikubali alivyo, mtu asiejikubali ni kwamba ana mapungufu katika mfumo wake wa kufikiri.

Tofautisha kipaji na akili. MJ hakua na akili.
.
ah ah ah lost id kweli umelost asee, MJ hakua na akili seriously,comeooon mkuu,unadhalilisha utu wako
 
Kwa ambao tumeona kazi za Michael Jackson hasa akiwa kwenye peak miaka ya 80.. hutakaa uje uone kipya kwa mwanamuziki kama The weekend chrisbrown bila kumsahau Bruno mars..


Kuanzia video zao(Fine china ya chris brown kaiga kabisa you rock my world video, one in a million ni copy ya video ya the way you make me feel), style za kucheza na mambo mengine mengi ni replica ya Mj..
sahihi kabisaa
 
Michael alianza kuonekana ana kipaji toka mdogo, hii ni show yao ya kwanza kabsa kama kundi la jackson 5 akiwa na kaka zake
 
Back
Top Bottom