Michael kyando wa kipindi cha ujue usafiri wako (ITV)

Michael kyando wa kipindi cha ujue usafiri wako (ITV)

Agera 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
4,088
Reaction score
4,226
Huyu jamaa huwa anatumia syllabus gani...mbona kama namna anaelezea mifumo ya engine na utendaji wa magari ni wa zamani ..

Ni sawa na mm kusoma kitabu cha zaman kinachoelezea namna engine za petrol na diesel zinafanya kazi where utakuta kitabu cha mwaka 70 huko ambavyo ndo vingi vimejaa ma library ya shule za sekondar wanaposoma vijana wetu

Utakuta wanasema petrol zinatumia carburettor na diesel inaanza ingia hewa kisha ikisha kuea compressed mafuta yatapulizwa huko

Sasa ukitumia hizo syllabus kwa sasa utakuwa unapotea mtaja bishana na watu hadi koo zikauke, sababu utaambiwa gari hazina carburettor utaendelea kubisha,

Huyo mwandisi kipindi cha leo aliulizwa kwann exhaust ikitoboka mafuta yanalika mengi akaanza tupiga chenga hapo ..namna amejibu akatetea diesel haitaishiwa nguvu sababu inaanza ingia hewa kwanza kisha ndo mafuta ila petrol ni vote kwa pamoja..

Swali inamaana mwandisi hajawah kutana hata na GDI? Hata D4 kina mark x , crown na baadh ya magari hajakutana nayo au yeye huwa anakutana na land rover za zaman kina leyland huko ndo magari yake...

Pili akaulizwa mbna racing car mufler zimetobolewa na zinakimbia sana hapo pia akaensa OP sasa huyu jamaa sielewi anafundisha ..yani me sijasomea huko ila labda naweza elezea vizuri kuliko yeye

Badae anasema et pakiwa wazi kwenye mufler kama imetoboka valve za exaust zinaweza chelewa funguka hii mbna haiingiii akilini.
 
Yes that's true mifumo ya sllabus kwa nchi yetu upande wa auto mobile bado wako nyuma sana narudia bado sana wakajifunze kenya bado wanawaza magari Yenye carburetor ,magari Yenye umeme ,mifumo ya control box katika magari ndio maana sishangai hata watu wakiendelea kukariri toyota
 
Unategemea mwalimu wa chuo atakupa madini gani tofauti na ya kitabuni
Kwa kweli bado tuna safari ndefu sana..mbaya zaidi waone unabishana nae ..utaulizwa unabishana na mwandisi...
 
Yes that's true mifumo ya sllabus kwa nchi yetu upande wa auto mobile bado wako nyuma sana narudia bado sana wakajifunze kenya bado wanawaza magari Yenye carburetor ,magari Yenye umeme ,mifumo ya control box katika magari ndio maana sishangai hata watu wakiendelea kukariri toyota
Ukiyaelewa hayakupi shida..hata wauza magari wanaokujaga huku anatoa somo badae anakwambia anauza magari...Sasa ukimuhoji haelewi anakwambia D4 ni mbovu tu
 
Itabid Benjamin awe ana waalika na mafundi wetu walioko garage zaid

Mwandishi huyo jamaa unae msema ni engineer kabisa usimuhukumu ilikuwa ni swala la kutolea maelezo tu
 
Itabid Benjamin awe ana waalika na mafundi wetu walioko garage zaid

Mwandishi huyo jamaa unae msema ni engineer kabisa usimuhukumu ilikuwa ni swala la kutolea maelezo tu
Sio kukataa kwamba ni engineer ..shida ame fanya update ya data zake kichwani?

Ili uwe engineer inatakiwa nini? Au hujui mtu mnaweza pata GPA sawa ila kichwa yako ni empty kuliko ya mwengne ulie score nae?
 
Sio kukataa kwamba ni engineer ..shida ame fanya update ya data zake kichwani?

Ili uwe engineer inatakiwa nini? Au hujui mtu mnaweza pata GPA sawa ila kichwa yako ni empty kuliko ya mwengne ulie score nae?
Na mm nikikuwa nakazia hapo huenda labda alikosea
 
tatizo wanaweka watangazaj wasio na hobbie na magari let say mtu hafuatilii mpila thn unampa kipindi cha michezo atangaze. Juz nilikua namckiliza yupo na mwalim wao wa NIT anasema engine ya 2ZN ipo kwenye harrier nilicheka kufa
 
Hayo ndio matokeo ya kumeza masomo badala ya kuelewa. Halafu watanzania wanapenda kuonekana wanajua pekee yao yaani mfano unakuta huyo jamaa kwa sasa kwenye industry ya maswala ta gereji gari za distributor hazipo sasa yeye kwasababu ameshadeal nazo tokea zamani then atataka kuprove kuwa yupo vema sana katika gari za kizama ni na hakuna anayejua kumshinda.

Wengine utakutana nao kwenye udereva, utasikia kama hauwezi kuendesha gari manual wewe sio Dereva kabisa, khaaaaaah sasa wewe manual ni technology ya zamani. Why nihangaike kujifunza na wakati magari ya automatic kwa sasa ndio habari ya mjini manual ni nadra sana kukutana nayo.
 
Back
Top Bottom