Michael Macharia Njiri (Dj Brownskin) aliyemrekodi mkewe akijiua ashtakiwa kwa kusaidia kujiua

Michael Macharia Njiri (Dj Brownskin) aliyemrekodi mkewe akijiua ashtakiwa kwa kusaidia kujiua

Mzee hata kama sio kurekodi tukio zima.fikiria hao watoto wanavokua na kuona hio video unazan watamchukuliaje baba yao.je ndugu wa upande wa mke nao?
Sema noma sana, watoto wataona live mama yao alivyojiua. Ila binafsi niliona poa tu mwamba alivyofanya, kumwacha mwanamke afanye alichokidhamiria. Huenda jamaa angerekodi anavyomzuia, angeshtakiwa tena kwa kuingilia uhuru wa mtu. Wanawake wangemchachamalia jamaa kuonesha mfumo dume😃
 
Mzee hata kama sio kurekodi tukio zima.fikiria hao watoto wanavokua na kuona hio video unazan watamchukuliaje baba yao.je ndugu wa upande wa mke nao?
Na sasa adhabu inayomkabili ni kufungwa kifungo cha maisha. Sijui watoto wataichukuliaje serikali kuwaondolea mzazi wao aliyebaki.
 
Daah nahisi hakudhani kama ange kufa ukweli maana alisema ndo tabia ya mkewe kutishia kufa
 
Watu wafupi akili zao sijui zipogi wapi!!!

Yaani akaacha mke aliyemzalia watoto ajiue huku aki-record tukio halafu akaenda kupiga picha mbele ya kaburi lake kisha akatuma kwa mpenzi wake aliye ng'ambo?
Mkuu samahani nikusahihishe ,Dj Brown skin si mfupi ...2weeks ago nilikutana naye maeneo ya mahakamani na alikua akinieleza hiko kisa

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Daah nahisi hakudhani kama ange kufa ukweli maana alisema ndo tabia ya mkewe kutishia kufa
Kwao ni kama kuna shida kidogo ya akili maana mama yake wiki iliyopita amekamatwa Uganda na madawa. Na huyo marehemu alizaa na mjaluo ndio wakaja kuzaa na Dj Brown Skin

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom