Michael Noel wa RFA acha kupotosha, SGR sio Stiglers Gorge

Yuko mmoja wa redio moja ya kijamii alisema zaidi ya mara 3 jina la Naibu rais wa Kenya alietolewa kuwa ni William Gachagua badala ya Rigathi Gachagua. Wengi ni empty set
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Pia mchambuzi wa soka Ali Mayai aliwahi kusema Mourinho yeye hatengenezi wachezaji, yeye anasajili wachezaji ambao ni.....
already 'maded'

yaani hiyo 'maded' akimaanisha made (past participle of make)
 
Watangazaji wa siku hizi ni vilaza wakubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…