Michael Scofield Ajitangaza yeye ni SHOGA


Kweli mkuu jamaa anataka kutuaminisha ujinga na upumbavu mtupu
 
Kwa mawazo kama haya soon mtasikia wabunge wakija na muswada wa kuwatambua rasmi!!!!

Siyo jambo la kushangaza kwa wabunge wetu wale wa ndiyooo! Alafu baadae wakija kwa wananchi wanajitetea sijui ilipita je maana siyo maadili ya kiTz kabisa
 
Du jamaa na kipaji chote Mungu alichomjalia anashindwa kumshukuru na kuamua kumwasi kabisa yani? Dah walimwengu sasa hatumwogopi Mungu hata kwa nukta yani
 

huyu hajaongozwa na roho mtakatifu kama wenzake???
 
Pole najua a kitamboooooo

Bado upo kumbe? Wasalaam. Ulijuaje? Kuna mdada anamzimiaga huyu jamaa.

Siku moja nikamkuta anaangalia Prison Break, nikasema mbona jamaa anaonekana kama ni nanii?

Akanimwagia matusi ya kutosha. Sasa nitamvaa tena na prima facie evidence kutoka kwa Maria Roza.
 
Last edited by a moderator:
Kimsingi Ushoga sio jambo geni katika masikio na macho ya wengi, tangu zama hizo za nabii Ruth, na kwa sababu ambazo Mwenyezimungu anazijua na alizitoa katika vitabu vyote vya dini kuu mbili(Uislam na Ukristo) amekataza matendo hayo na kuyaita matendo machafu kabisa na hata kufikia hatua ya kuwaangamiza wote waliofanya vitendo hivyo na waliowezesha kufanyika kwa matendo hayo, na katika hili nadhani ya kuwa hawa wanaojiita wanapigania haki za mashoga kama wangekuwa wanamuona ama alipo wangemshtaki kwa kuwaua watu wa sodoma na gomola, nami huwa nawaona wajinga tu wapumbavu na hawana maana yoyote nao pia wanastahili kuuliwa kama wale wa sodoma na gomola. Laana ya mwenyezimungu iwe juu yao wote.
 
jamani 2mrudie mungu lolote anaweza kulifanya ama ku2shushia kwa hasira kutokana na matendo maovu ya wanadamu yaliyokidhiri
 
gay are naturally born people just like albino, you and me!!!! they are God people just like everybody so there is nothing to be suprised about for someone to be gay!!!
Can you explain scientifically why we don't have gay animals?...like gay goat,gay lion, gay croc or gay chimp for that matter?Why should such abnormal genetic strain be only a human thing and not at least a mammal thing since we are mammals?......this is a satanic agenda and people in the know are very aware of this!
 
Ulikuwa hujui mbona kitambo huyo ni "1 4the road"
 
I like your view point lakini kutokuweka sheria huoni kwamba ni kuruhusu "passively" haya mambo?Hata Mungu ktk vitabu vyake kakataza haya mambo lakini watu wanafanya bado na kuweka sheria kunaonyesha kwanza kutokubaliana na haya mambo(hata kama yatafanywa na watu mafichoni) lakini pili ni kuwa na social guidline moral stand kama jamii!
 
bado kutangazwa kwamba all usa residents are gay... Dunia imekwisha, tuombe Mungu sana atuepushe na hii laana.
 

It is useless kuweka sheria kuzuia hivyo vitendo passively. Ni unafiki.

Hakuna haja ya kuwa na sheria, if you can't enforce it. Passive laws are useless.

Nimeuliza hapo juu si kuna sheria dhidi ya vitendo vya ushoga?

Lakini pamoja na hiyo sheria mbona ushoja umeenea kona zote za nchi?

Because of passive laws, isn't it?
 

Umetumia lugha ambayo nadhani EMT atakuelewa zaidi.Sheria kuwepo haina maana haitavunjwa.Nadhani kama tunavyopenda kukopi sera za wazungu basi tukopi hii sheria ya Russia.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna tatizo la mtu kuwa gay labda kwa nyie wanafiki tuu.
 
Don't be too much concerned with what someone does privately in his room with anyone, as long as both are sane, consenting adults. Jamani sisi watanzania tuna matatizo mengi sana ya kuweza kutufanya tuwe busy...............why are we too much obsessed with others' private lives????
 
Ndo maana alikua hawez kupiga risasi.... Star wangu atakua fernando...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…