WE TAHIRA MPAKA DICTATOR UCHWARA ALIAMUA UCHAGUZ USIWEPO MTANGAZWE HAKUTEGEMEA KUPELEKESHWA NA LISSU KIASI KILE MOJA SABABU ILIYOMPELEKA JEHANAMU MAPEMA NI UCHAGUZ ULE MPK KAMPEN ZNAISHA HAKUWA SAWA KIAFYA KBS. TAHIRA WEWEKwani Lisu huwa hatoa speech tangia amekuwa huko nccr na Sasa CDM? Lini umeona wananchi wakihangaiika Naye? Watanzania wanafuatilia CCM kwa kuwa ndio yenye ajenda na Sera zinazogusa maisha ya watanzania
Unamzungumza Lisu huyu huyu aliyekuja kuwalaghai watanzania kuwa anataka Urais wakati huo huo ameficha Tiketi ya ndege mfukoni? Hakuna chama wala mtu yeyote Yule mwenye ubavu wa kuitikisa CCM nchi hii, Kama huamini andamana au ingia ulingoni upambane na CCM uone Kama utaambulia kitu mbele ya CCM hii imaraWE TAHIRA MPAKA DICTATOR UCHWARA ALIAMUA UCHAGUZ USIWEPO MTANGAZWE HAKUTEGEMEA KUPELEKESHWA NA LISSU KIASI KILE MOJA SABABU ILIYOMPELEKA JEHANAMU MAPEMA NI UCHAGUZ ULE MPK KAMPEN ZNAISHA HAKUWA SAWA KIAFYA KBS. TAHIRA WEWE
Demokrasia ipi mnayoitaka? Mbona mnatukana matusi mpaka ya nguoni lakini bado mnapuuzwa tu? Au nyie demokrasia mnayoitaka mpewe Ni ipi?
Demokrasia siyo Kama sare kwamba itafanana mahali pote, wewe huwezi ukajiuliza uchaguzi wa Marekani mwaka 2016 mama Hillary Clinton alipata kura nyingi Sanaa za wananchi kumzidi TRUMPH lakini mwisho wa siku hakuwa Rais? Unajuwa Ni kwanini? Hiyo ndio nao Ni demokrasia yao, kwa hapa kwetu mh Rais wetu mpendwa mama Samia amejitahidi na anaendelea kufanya kazi kubwa Sana ya kuimarisha demokrasia yetu,Kama wewe ni mtoto nisamehe bure lakini kama ni mtu mzima uwezi hata kuangalia demokrasia ya Kenya ukalinganisha na sisi!. Kila siku ni kulalamikia wapinzani wakati CCM ndiyo ina tawala. Tanzania hata mikutano kufanyika ya vyama ni mpaka kamati ya Raisi. Mabatia kuongea tu na waandishi wa habari kwenye hoteli kazuiliwa kwa maagizo kutoka serikalini!. Unafikiri Watanzania ni wajinga wajinga tu na hawaelewi mambo.
Kama kweli tunataka hii nchi iendelee tuweke demokrasia ya kweli na uwazi serikalini. Ukifuatilia mimi nina muunga mkono Rais Samia kwenye sehemu nyingi sana fanya utafiti wa topic zangu lakini mimi sio mnafiki na wala sina Chama.
Demokrasia siyo Kama sare kwamba itafanana mahali pote, wewe huwezi ukajiuliza uchaguzi wa Marekani mwaka 2016 mama Hillary Clinton alipata kura nyingi Sanaa za wananchi kumzidi TRUMPH lakini mwisho wa siku hakuwa Rais? Unajuwa Ni kwanini? Hiyo ndio nao Ni demokrasia yao, kwa hapa kwetu mh Rais wetu mpendwa mama Samia amejitahidi na anaendelea kufanya kazi kubwa Sana ya kuimarisha demokrasia yetu,
Hapo Kenya tu unapowasifia hujasikia akina Raia Odinga wanalia Lia kuwa haki haijatendeka? Au wewe kuwekwa matokeo mtandaoni na kupakuliwa Kama movie ndio demokrasia? Huoni kuwa Jambo lile linaweza hatarisha usalama wa Taifa na kuchochea machafuko hasa pale kila mtu anapokuwa na matokeo yake na kujijumlishia kivyake vyake kwa vituo vyake atakavyochagua?
Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania
Upinzani hata muungane bado hamuwezi kuitikisa CCMUkitoa nguvu ya jeshi kwa ujumla CCM ni watu dhaifu .
Kwani nchi gani hawapo chini ya Amiri Jeshi mkuu, CCM Ni Kama maji msipoyanywa mtayaoga TuShkuru janja yenu ya kuwafanya Afande wote kuwa chini ya Amiri jeshi anaepatikana kisiasa.
Wachumia tumbo nyie.
#Whitecolar criminals 😤
Huoni namna nchi yetu inavyo paa kimaendeleo katika uongozi huu wa serikali y CCM chini ya mama shupavu mama SamiaHamnidhuru kitu wezi mnaokongoroa nchi Mana hakuna mnawaza Zaid ya kuiba
Hapana huwezi ukakuta watu wa Rika zote na maeneo yote wamekaa wanajadili habari za CDM, lakini ukienda kwa wakulima utawakuta wakulima wanajadili habari za CCM juu ya kuwawezesha kupata mbolea za Ruzuku, ukienda kwa vijana utakuta wanaizungumza CCM kuwasaidia kupata ajira na mikopo ya riba nafuu kupitia halmashauri, ukienda kwabodaboda utakuta wanajadili CCM kwa namna inavyowasaidia na kuwapunguzia kero ya kubuguziwa na Askari na Sasa asikari Ni rafiki zao, ukienda kwa wafanyabiashara utakuta wanaijadiri CCM kwa namna ilivyo wapunguzia kero, ukienda kwa machinga,mama ntilie, wanafunzi wa vyuo, wazee wote Wana Iman kubwa Sana na CCM hii imara chini ya mama Samia suluhu Hassani
Kwani Tanzania ya miaka ya 60 inafanana na Tanzania ya leo katika kila secta? Au wewe upo Somalia?Maendeleo gani unayoyaongelea na unayapimaje hayo maendeleo ?
Sioni hata tunaelekea wapi labda ndio maendeleo unayoyaongelea.
NashukuruMahaba ya dhati kwa CCM.... Hongera