Michakato ya kidemokrasia inachelewesha sana mambo

Michakato ya kidemokrasia inachelewesha sana mambo

Leo wakisema ndugu yako anyongwe bila kujitetea, anyongwe?

Wakisema wachukue fedha kwenye account yako wajenge reli, wachukue?

Wakisema uende kuchimba mtaro hela utakayopata uchangie mshahara wa Diwani, uende?

Waje wakuhunguze kwako na mkeo usiku, waje?


Huelewi kitu kaa kimya.


Pato la mtu china ni $11,713
US pato la mtu ni $66,144
Tanzania ni $1,132
nduguyo hanyongwi kwa watu kusema,ni mpaka awe amefanya kosa linalotaka anyongwe.
sasa nikuulize wewe,una mchango gani mahakamani kwenye kesi ya kunyongwa nduguyo kupitia hiyo democrasia???maana democrasia ni sauti ya wengi.

idadi ya watu
USA=300mln uchumi $19 tril
CHINA=1.7 bln uchumi $12 tril
TZ =60mln uchumi $60mil
 
nduguyo hanyongwi kwa watu kusema,ni mpaka awe amefanya kosa linalotaka anyongwe.
sasa nikuulize wewe,una mchango gani mahakamani kwenye kesi ya kunyongwa nduguyo kupitia hiyo democrasia???maana democrasia ni sauti ya wengi.

idadi ya watu
USA=300mln uchumi $19 tril
CHINA=1.7 bln uchumi $12 tril
TZ =60mln uchumi $60mil
Una maarifa kidogo sana.

Limited knowledge.

Unaielewa bahari na sio tone la maji ndiyo shida hiyo.
 
Una maarifa kidogo sana.

Limited knowledge.

Unaielewa bahari na sio tone la maji ndiyo shida hiyo.
hii ni jamii forums sio facebook,huruhusiwi kuandika andika unachojisikia.

lazima kiwe ni facts na kimezingatia umri timamu kwa wasomaji.

angalia hapa unashambulia mwandishi na hoja zake umeziacha mbali kwa uzito wake.
 
Cheki mchakato kama wa wabunge kumi na tisa wa CDM. Nikupotezeana tu muda. Mwananchi anafaidika nini? Leo nchi kama US wanahangaika na habari za bunduki lakini hawawezi kufanya kitu sababu ya michakato ya kidemokrasia yenye kuchosha. Leo China inaweza anzisha sera kwaajili ya maendeleo ya nchi na kesho kuitekeleza. Ikisema inajenga reli ya mwendo kasi inajenga fasta. Marekani wameshindwa kabisa kujenga reli kama hizo sababu ya michakato ya kidemokrasia.

Demokrasia ni janga kwa mwanadamu. Haiwezekani nchi ikaongozwa na raia wote.
CHINA WANA DEMOKRASIA
 
Back
Top Bottom