Michango kuwanusuru viongozi: CHADEMA imekubali hatia?

Nafikiri kesi hukuielewa mauaji halikua shm ya mashitaka wamehukumiwa kwa uchochez na sio mauaji
 
Toeni tena a/c ya michango tuwachangie majeruhi waliopo hospital wapate nguvu haraka kama kuwatoka kwa pesa mingi iliwezakana hatuwezi shindwa za hospital karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi wa kikuda kwenye afya ya binadamu tena kinamama waliodhumiwa, kwa kufanyiwa ukatili wa ajabu na wanaume makamanda wa Jeshi!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiandae na corona maana inawatafuta wajinga kama wewe
Toeni tena a/c ya michango tuwachangie majeruhi waliopo hospital wapate nguvu haraka kama kuwatoka kwa pesa mingi iliwezakana hatuwezi shindwa za hospital karibuni

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…