Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No mkuu unakosea,usichukue kadi ya mtu kama unajua hutompa hela mara mia ukamwambia ukweli utamsaidia sana kujua afanyenye.Changamoto kweli,mimi nilioa miaka kumi na sita iliyopita tena ndoa ya bomani tulikuwa mimi,mke wangu,rafiki wa mke wangu,rafiki yangu (mashahidi) na mpiga picha Jumla tulikuwa 5 baada ya hapo tutafuta sehemu tukala bia zetu na nyama jioni rafiki akatupa lift katupitisha kwangu,maisha yakaendelea hadi wa leo tunaishi kwa furaha with five kids.Tulitumia pesa chini ya laki 5,make hata pete hatukununua.Simple like that.
Ila nashangaa michango michango inakaribia kutumaliza.Mimi siku hizi ukiniletea kadi ya mchango nakuahidi mpk unaoa mchango sikupi.
Vijana mnatuuua jamani
Harusi chanzo kipya cha umasikiniHapa ndipo napowapendea wale wenzetu wa upande wa pili
Dini ya haki haina harusi za michango kma ivoNikiangalia kadi nilizonazo zinazodai michango Ni Kama kumi. Kiwango Cha chini Ni laki mojà. Hivyo nahitaji milioni Moja mpàka end of May kukidhi michango hiyo.
Sawa ni hitaji la kijamii, lakini ni changamoto! Lazima michango iwepo ila, Swali langu kuu Ni Hili:
Je tunawezaje kufanya harusi zetu bila michango mikubwa au harusi bila michango?
Yani hii imekuwa kero sana mtu akuganda sana utafikiri kuoa ni suala la emergency [emoji22]Nikiangalia kadi nilizonazo zinazodai michango Ni Kama kumi. Kiwango Cha chini Ni laki mojà. Hivyo nahitaji milioni Moja mpàka end of May kukidhi michango hiyo.
Sawa ni hitaji la kijamii, lakini ni changamoto! Lazima michango iwepo ila, Swali langu kuu Ni Hili:
Je tunawezaje kufanya harusi zetu bila michango mikubwa au harusi bila michango?
Mwombe Mungu akuondolee umaskiniNikiangalia kadi nilizonazo zinazodai michango Ni Kama kumi. Kiwango Cha chini Ni laki mojà. Hivyo nahitaji milioni Moja mpàka end of May kukidhi michango hiyo.
Sawa ni hitaji la kijamii, lakini ni changamoto! Lazima michango iwepo ila, Swali langu kuu Ni Hili:
Je tunawezaje kufanya harusi zetu bila michango mikubwa au harusi bila michango?
Ukiachana na umaskini pia mda mwingine ni usumbufuHarusi chanzo kipya cha umasikini
Nani kakupangia hicho “kiwango cha chini”?Nikiangalia kadi nilizonazo zinazodai michango Ni Kama kumi. Kiwango Cha chini Ni laki mojà. Hivyo nahitaji milioni Moja mpàka end of May kukidhi michango hiyo.
Sawa ni hitaji la kijamii, lakini ni changamoto! Lazima michango iwepo ila, Swali langu kuu Ni Hili:
Je tunawezaje kufanya harusi zetu bila michango mikubwa au harusi bila michango?
Pole, Ada ni lazima, michango ni jambo la uhiari. Hata hivyo, fanya kwa kadiri ya uwezo na si vinginevyo! Jitahidi kupangilia mambo tu na vyote vitaenda vema.Nikiangalia kadi nilizonazo zinazodai michango Ni Kama kumi. Kiwango Cha chini Ni laki mojà. Hivyo nahitaji milioni Moja mpàka end of May kukidhi michango hiyo.
Sawa ni hitaji la kijamii, lakini ni changamoto! Lazima michango iwepo ila, Swali langu kuu Ni Hili:
Je tunawezaje kufanya harusi zetu bila michango mikubwa au harusi bila michango?
Mo Dewjiau Bakheresa hata apeleke kasi za michango laki moja haimpi shida kuchangia