Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiangalia kadi nilizonazo zinazodai michango Ni Kama kumi. Kiwango Cha chini Ni laki mojà. Hivyo nahitaji milioni Moja mpàka end of May kukidhi michango hiyo.
Sawa ni hitaji la kijamii, lakini ni changamoto! Lazima michango iwepo ila, Swali langu kuu Ni Hili:
Je tunawezaje kufanya harusi zetu bila michango mikubwa au harusi bila michango?
Mkuu kama ulifanya shughuli yako ukachangiwa yakupa nawe kuchangia tuNikiangalia kadi nilizonazo zinazodai michango Ni Kama kumi. Kiwango Cha chini Ni laki mojà. Hivyo nahitaji milioni Moja mpàka end of May kukidhi michango hiyo.
Sawa ni hitaji la kijamii, lakini ni changamoto! Lazima michango iwepo ila, Swali langu kuu Ni Hili:
Je tunawezaje kufanya harusi zetu bila michango mikubwa au harusi bila michango?
Kuna jamaa nilimchangia laki na ni kama alichangiwa km 21milioni make tulikuwa tunaona kwa group tena ndoa yenyewe ilikuwa ya kupasha kiporo kwani walikuwa na watoto 4.Sasa sisi wala pombe ambao tunaendaga harusini tumeishakula makwetu tukajua pombe zitatuua,pyuuuu!!!Tulikuta meza zimejaa nyuki na maji,Ile ndoa sitaisahau bahati nzuri pale ukumbini kulikuwa na bar kwa nje ikabidi tujiongeze kupiga gambe kwa pesa zetu hata muda wa zawadi unafika hakuna aliekuwa na habariNikuulize mkuu
Hizo kadi kumi hao wote walikuchangia na wewe ktk harusi yako?au jambo lolote ktk circle ya maisha yako lenye thamani ya kuwapa kila mmoja 100K even nusu ya hiyo pesa?kama hapana then achana nao.
Mimi mapema kabisa mtu akija na haya mambo ya kuchangiana harusi simung'unyi maneno namwambia kama hujawahi kutia hata cent tano ktk mzunguko wa maisha yangu then tuendelee kusalimiana kwa mbali kwanini mtu akutie hasara zisizokuhusu?
Ndugu kadi unalazimishwa na husipochukua ndo mambo yanaanza kuwa magumu anakukasilikia,majungu nk. Ni heri umpe moyo chukua kadi kadri siku zivosogea unakuwa unampoza kwa maneno matupu upo unapambana mwisho wa siku unamwambia hali imekuwa tete au ikishindikana nawe unampelekea kashida kako humo katkat aidha akukope hela kidogo ulipe karo ya mtoto,akikupa unaitunza harusi ikikaribia unamrudishia na kumshukuru na kumwambia bado unapambana.,akikunyima ndo vile tena ngoja droo hatorudi kwako tena.No mkuu unakosea,usichukue kadi ya mtu kama unajua hutompa hela mara mia ukamwambia ukweli utamsaidia sana kujua afanyenye.
Hakuna kitu kibaya kama umaskini uogope kama ukoma vikao vya harusi vya matajiri wala hata hawapangiani viwango
Wanauliza bajeti shilingi ngapi ? anaibuka mmoja tu anaandika cheque ya bajeti yote anasema pelekeni kadi bure kwa ndugu na marafiki waje hakuna mchango ila zawadi kuja nazo ruksa ruksa
Umaskini ndio Tatizo usipochangia kiharusi cha mtu anaapa kutokuchangia chochote cha shida au kufika hata msiba wa familia yenu kisa wewe lofa hukumchangia kaharusi kake au nduguye kanakomhusu!!!
Umaskini mbaya sana
Yes! Unapangaje harusi ya gharama wakati wewe maskini?Ukiwa tajiri unachangisha mchango wa nini?
Wanaochangisha michango ndio maskini au wana mawazo ya kimasikini.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]watu makomedianiiSitasahau kuna siku nilikuwa nimelewa kwenye kikao nikaahidi kutatua changamoto zote.
Hata ukumbi waliopendekeza nikasema haufai, nikapendekeza wa bei ya juu zaidi watu makofi wa wa wa wa wa!
All are close friends. Si unajua kuna "significant others"..... Lakini tunawezaje kuacha kchanga hizi hela bila kuua mahusiano? Mtihani huu umekuwa mgumu kwangu!Kimsingi kiwango elekezi kinawahusu wale wanaohusika moja kwa moja kwenye Harusi na wanaonekana kuwa na uwezo. Sina hakika kwa harusi zote hizo wewe unahusika moja kwa moja?
Lakini pia watu hutoa udhuru kuwa tayari wana harusi nyingine ili wasiwekwe kwenye kundi lenye kiwango elekezi....
Harusi ninazochanga ni za ndugu zangu wa karibu sana ambao wapo wachache.
Wengine am sorry..macho makavu kabisa sichangi.
Ndio sina hela!
sikutegemea matusi kutoka thread hii. It is a pity umeamua kutukana. Let me think my response to you!Michango ya harusi sio mzigo umaskini wako ndio mzigo wewe mleta mada
Pambana na umaskini wako utoke mleta mada .Umaskini ukikutoka hutaona michango ya harusi mzigo lofa mkubwa wewe pamoja na malofa wenzie walio like mada yako na kukuunga mkono
Mo Dewjiau Bakheresa hata apeleke kasi za michango laki moja haimpi shida kuchangia
Ulofa unakusumbua
Muulize mama yako atakwambia kama mimi lofa.Kifupi ukiona mtu analalamikia michango ya harusi kuwa ohhh imezidii ujue huyo lofa sana. Full stop
Aende kwa Mwamposya akaombewe apate Pesa
Huu ujinga upo tz only.Nikiangalia kadi nilizonazo zinazodai michango Ni Kama kumi. Kiwango Cha chini Ni laki mojà. Hivyo nahitaji milioni Moja mpàka end of May kukidhi michango hiyo.
Sawa ni hitaji la kijamii, lakini ni changamoto! Lazima michango iwepo ila, Swali langu kuu Ni Hili:
Je tunawezaje kufanya harusi zetu bila michango mikubwa au harusi bila michango?
Unaweza ukalala njaa kisa mchangoDaaah! Dada kauzu sana wewe
Hahhaha mwenza natamani ningekuwa na hii roho yakoHarusi ninazochanga ni za ndugu zangu wa karibu sana ambao wapo wachache.
Wengine am sorry..macho makavu kabisa sichangi.
Ndio sina hela!