Michango ya rambirambi ya ajali ya ndege team ya Chapecoense.

Michango ya rambirambi ya ajali ya ndege team ya Chapecoense.

KUTOKANA NA KUGUSWA NA AJALI YA WACHEZAJI KUFARIKI DUNIA BAADHI YA WATU NA TEAM. WAMETOA MICHANGO YAO KWAAJILI YA FAMILIA NA TEAM YAO


CHELSEA have informed FIFA that they will donate €80M to Chapecoense

CLASS: State Radio reports PSG have informed FIFA that they will donate €40 million to Chapecoense.

Unbelievable gesture. [emoji122] SPORF on Twitter


manchester UnitedOfficial have informed FIFA that they will donate €89M to Chapecoense

@FC Barcelonaofficial have informed FIFA that they will donate €160M to Chapecoense

@ArsenalOfficial have informed FIFA that they will donate €4M to Chapecoense
ahahahahahahaa nimewaza2 hawa wezi wa kwetu wasije wakatufungulia account MFUKO WA MAAFA Chapecoense
 
Lini na saa ngapi maana sijaona popote pale alipochangia hizo hela
1480501761187.jpg
 
[quote uid=87723 name="MPALESTINA MWEUSI" post=18693932]Duh, hizo Pesa ni kuchangia wahanga tu, kwanini hizo Pesa wasizielekeze kwa watu maskini wote maana ni nyingi sana
<br />Una undugu na JPM?


Mpaka sasa tu imeshakaribia euro 390 million sawa Na wastani wa Tsh Trillion moja, hivi kweli hizo unawapa watu 70 tu, is it fair tuwe realistic[/QUOTE]
yaani ni wastani wa zaidi ya Billions 15 za kitanzania kwa kila familimia maana familia zipo 70
Lakini kifo ni kifo tu bado pengo lake ni kubwa kwenye familia
 
Kama namuona Maharage ......................vipi miundombinu?
 
Mzee Wenger
The best 'mchumi' katika ulimwengu wa soka.

Ziende direct kwa wahanga (timu /families), siyo kujengea miundo mbinu ya FIFA

KADA
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mmoja alifia Hospital, wamepona wachezaji wawili, Kipa na Beki hafu waliopona walikaa seat za jirani!
Hawa waliopona , wanakuwa traumatized sana , kudigest kilichotokea itawasumbua mno kisaikolojia
 
Back
Top Bottom